SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Jim gani huyo ana vimeo kibaoJamaa kakonda au anaenda jim kila saa, tujifunze majivuno, dharau haifai kwenye harakati na jamaa alikua mfitini na mchonganishi inaeza kua sababu ya watu kufurahia anguko lake
Labda ubalazi wa Pepsi/Coca Cola
kipindi kile hata Manji sikumtambua kutokana na zile ndevuJapo Mimi ni mwana Simba SC kama Yeye ( Mpuuzi ), ila hakuna Jambo lililoniuma kama la kwenda Sea View Kuzoa Bilioni Tatu za Yusuph Manji.
Haka kajamaa Ni kapumbavu Sana,hakajawahi kufanya bar examination ,kanajichanganya na hakajui kanaongea nini.Kanasema operation ukuta ilikuwa idea yake na waliiacha baada ya kuona haina tija kwa taifa ,kwa hiyo yeye anatoa idea ambazo hazina tija na maslahi kwa taifa.Anadai Magufuli alikuwa hajawa mgombea Bado,kwani Lissu si alisema ikiwa watamuwekea pingamizi kwamba anafanya kampeni kabla ya wakati na yeye ndo atamuwekea Magufuli?huyu mpuuzi anaelekea kuishi kama shetani laana ni mbaya sana hii ni sherehe kwasisi roho mbaya
Tukutane OctoberTundu Anthipas Lissu atakuwa Rais wa Watanzania wanaoishi nchi Ubelgiji
Inashangaza kwann itafutwe namna ya kipekee kumuondoa. Kwann haikuwezekana kumuondoa kabla kama alichokwa. Inashangaza ila sijauliza swali.Uwezo wako wa Kufikri ni mdogo mno na ndiyo maana mara kwa mara huwa 'nakudharau' sana hapa Jamvini ( JF ) Hivi Mbunge wa Kuteuliwa huwa anakuwa na Mvuto kama yule Mbunge aliyechaguliwa na Wananchi kwa Kumuamini na Mapenzi yao Kwake? Hata kama 'Babaake' sijui atamteua kama ambavyo Wewe unataka ila ukweli utabaki pale pale kuwa katika 'Mchakato' mzima kuanzia Kutia Nia Kwake na hadi kusubiria Matokeo rasmi huku Dodoma hakuaminiwa na ametoswa kama hivi.
Na ili ujione kuwa kweli huna Akili ( yaani ni Mpumbavu Mwandamizi ) hapa Jamvini sasa kama kumbe huyo 'Mpuuzi' wako alijua kuwa 'Babaake' iwe isiwe katika zile nafasi zake Kumi ( 10 ) atamteua ilikuwaje akatia nia? Kwanini asingeendelea tu na Nafasi aliyokuwa nayo ili asubirie huko Kuteuliwa? Na kama alijua kuwa anaweza kuja 'Kuteuliwa' imekuwaje ametumia Pesa nyingi sana 'Kuhonga' Wajumbe huko Kigamboni?
Labda nimalizie tu kwa Kukuuliza Swali je, umeshajiuliza ni kwanini hivi sasa huyo 'Mpuuzi' ameanza 'Kukonda' na hata 'Nuru' yake inaanza Kupotea? Sikutaka Kukuambia hili ila sasa nakuambia kwamba hata 'Babaake' amefurahi Yeye 'Kuanguka' kwani 'alishamchoka' Kitambo sana na alikuwa anatafuta tu sababu Kumuondoa. Kuanzia sasa Tega Sikio kuna 'Mashtaka' dhidi yake yatatolewa ili 'Kummaliza' mazima kabisa.
Angalia avatar yanguTukutane October
Bado mapema sana kusema hayo, huenda akarejeshwa kwa cheo cha uteuzi ili kuwaumbua wasiompenda.Kumbeba Bashite ilikuwa kubeba Bom la nyuklia kwenye uchaguz. Thanks God Magufuli kaona mapema akaona Bora awape mumlee huko dunian nahuku atakutana na walezi nadhani ajiandae kisaikolojia. Hakuwi hata kufuga kuku..