Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
- Thread starter
- #21
Nashukuru ndugu yangu tupo pamoja. Nadhani sasa madogo watunzi wamekuwa na nidhamu sijapata bado malalamiko.Sawa mtetezi wa Walaji JF.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nashukuru ndugu yangu tupo pamoja. Nadhani sasa madogo watunzi wamekuwa na nidhamu sijapata bado malalamiko.Sawa mtetezi wa Walaji JF.
[emoji23][emoji23]Na sisi tunakushukuru Kwa kuonyesha upimbi wako hapa. [emoji120][emoji120][emoji120]
[emoji23][emoji23][emoji23]anajidipuKitu namkubali Chizi Maarifa analianzisha mwenyewe na analimaliza kibabe sana
[emoji23][emoji23]Haitokuwa ajabu umeanzisha huu uzi kisha utajijibu mwenyewe, utajitukana mwenyewe na ukimaliza utajisifu mwenyewe.
NAhisi hizo sifa unazosema unapewa ni kutoka kwenye account zako mwenyewe hivyo unajishukuru mwenyewe. Mental illness is real, bipolar is real.
Kama mahindi bei si wanunue mchele?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Another I'd ya jenta hi apa
Pyuwa talented
Fela
Gemu changer[emoji23][emoji23][emoji23]
Kuji-Promo kama loooteee. Umenikumbusha huu mwimbo: kijanaa acha kupiga mayoweee, acha watu wayaone wenyeweeNashukuru sana members wengi wameonekana kupenda jinsi ninavyotoa mchango wa busara, hekima, upendo na akili ya kiwango cha juu humi JF.
Watu kadhaa wanasema nimeokoa maisha yao kipindi ambacho walikuwa wamekata tamaa na kuona bora wafe tu. Watatu walikuwa wamesha saga chupa wanasubiri tu kunywa, wanne walikuwa wamenunua sumu ya panya wakaamua kuacha kunywa wao na kuulia panya.
Wawili walikuwa wakajigongeshe kwenye magari ya mwendo kasi. Nashukuruni ila msinisifie sana mimi ni binadamu kama ninyi sema tu nimepata maarifa ambayo wengi hamkupata.
Mademu sasa ndo imekuwa kero kila mmoja anakuja akitaka nikamchape nao.... Naona hawa kama watanimaliza damu mwilini. Maana wanaenda simuliana inakuwa shida. Jamani tu jaliane pia. Afya ni muhimu. Na ule msemo wenu kuwa kama si JUHUDI ZAKO CHEESE MAARIFER JF INGEKUWA WAPI. Msiseme hivyo mtasababisha watu wanichukie.