BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,591
- 8,826
Sidhani kaka ni sawa kwa hiki kilchofanyika tena hadharani, Kampuni ya ASAS kutoa msaada wa Pikipiki na Gari kwa Jeshi la Polisi sio jambo la kukaliwa kimya. Hii ni taasisi ya Utoaji Haki inapotokea wanatoa msaada huo je wakipatwa na makosa yanayohitaji Polisi kuwawajibisha watachukua hatua sawa au watawalinda kwakuwa ni wadau wao?
Kwenye nchi zinazofuata misingi ya Utawala Bora hili jambo lilitakiwa kupingwa kwa nguvu zote. Kitendo hicho kinamaanisha ASAS watakuwa hawachukuliwi hatua kwa lolote.
Kwenye nchi zinazofuata misingi ya Utawala Bora hili jambo lilitakiwa kupingwa kwa nguvu zote. Kitendo hicho kinamaanisha ASAS watakuwa hawachukuliwi hatua kwa lolote.