Asee Bia In Tamu Sana

Usijione kama wewe ndo mnywaji pekee nchi hii, kuna watu akiingia bar 1M inaisha
 
Kulikoni mkuu??mbn umeacha??vyuma au??mm nipo hapa..kwnn usinitumie ??kama huna unaniomba tu mzee baba
Niliacha 2015.lakin Mwaka huu mwez wa tatu nilirud kundini mana siku hiyo nilikuwa nimekutana na jamaa yangu anatoka Mtwara. Anapitia dar then tanga tutakaaaa pale PAPICHURO jamaa anagonga VITU nikaona ngoja nA MIMi nibust moja aiseee nilizitwanga sana Hadi Leo hii Pombe Siachi
 
Usijione kama wewe ndo mnywaji pekee nchi hii, kuna watu akiingia bar 1M inaisha
Exactly hasa akiwa na Yale MAJIN yanayonga Hennessy,JD Ha'po ka m lazima kakate Maana Yale yananyonyaaaa linaenda CHOONI linakamua limao linaMeza nA chumvi linarud counter Linaaanza upya
 
Exactly hasa akiwa na Yale MAJIN yanayonga Hennessy,JD Ha'po ka m lazima kakate Maana Yale yananyonyaaaa linaenda CHOONI linakamua limao linaMeza nA chumvi linarud counter Linaaanza upya

Hafu hayo majini yakiwa peke yao yanakunywa konyagi ila ukijipendekeza na yenyewe yanabadili kinywaji
 
Mkuu kunywa tu. Hakuna wa kutuzuia. Hakia nani bia rafiki yangu nambari moja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…