Asernal asipofungwa chini ya golil 6 na Barcelona naachana na mpira

Kwanza majina ya timu na wachezaji huyajui
unaonekana sio mfuatiliaji wa mpira
 
Ahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahaha
Mkuu umenichekesha saaaaaaaaaana
Nisipokupa like niondolewe Jf wallah
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Tatizo lenu wepesi kutoa ahadi ila utekelezaji wake sifuri!!!
 
Always mjitahidi kuelewa maana ya mashindano,kama barcelona watashinda kwanini wanawashindanisha?
Subirini mchezo uchezwe ndio mje na kelele zenu,na nyie ni lazima wanazi wa chelsea na man U,mashabiki wa hovuo sana nyie...[HASHTAG]#COYG[/HASHTAG]
Mchezo ulishachezwa last nyt,tupe matokeo kwanza ndo mjadala uendelee
 

Attachments

  • 1456286551675.jpg
    28.6 KB · Views: 27
haya mambo ya mpira yalishapita,tukafanye maendeleo sasa.
 
Kwanza majina ya timu na wachezaji huyajui
unaonekana sio mfuatiliaji wa mpira
kumbe kiongozi ni fan wa Asernal ?pole aisee level za Gunners ni Swansea
 
Sijui hii Derby ya North London itatuacha salama... Twaweza kula kichapo cha mbwa mwizi!!!!!
 
Safi sana.Kamanda wa ukweli ni mjasiri kama ww.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…