Asernal asipofungwa chini ya golil 6 na Barcelona naachana na mpira

Asernal asipofungwa chini ya golil 6 na Barcelona naachana na mpira

Haihitaji akili ya juu sana kwa kile ambacho Asr8 watakipata chini ya vijana hatari sana ambao hawajawahi kutokea katika sayari hii ya dunia nazungumzia safu ya MSN(Messi,Neymar na Lous Suarez) yote na kikosi chote cha kocha mwenye mafanikio zaidi Barcelona ndani ya muda mfupi ni Louis Enrique

Mimi kwa uzoefu wangu wa football nafanya calculations nafuta naanza tena ,bado naona Asernal wanapigwa si chini ya goli 6-8 on aggregrate ,mbaya zaidi nikiingalia safu ya ulinzi ya Barcelona yaani Pique Gerald,macherano,Jord Alba,Dan Alves ,Midfielders Andrew Ineasta,Ivan Rakitic ,Sergio Basques ,sioni Asernal watakapotokea ambao wanakikosi cha vijana wa fom six
Darubini yako watakachokipata Asernal match ya nyumbani kesho 23=02-16 na match ya marudio wanastahili ila ni ngumu sisimizi kumuua tembo
Historia ya mpira ya miaka ya karibuni inaonyesha wote wanaocheza football style ya Barcelona ukikutana nao ni kipigo tu
Umesha achana na mpira? Nadhir zingine ni za ngeseki.
 
Haihitaji akili ya juu sana kwa kile ambacho Asr8 watakipata chini ya vijana hatari sana ambao hawajawahi kutokea katika sayari hii ya dunia nazungumzia safu ya MSN(Messi,Neymar na Lous Suarez) yote na kikosi chote cha kocha mwenye mafanikio zaidi Barcelona ndani ya muda mfupi ni Louis Enrique
M
Ndugu yangu Mwekundu: Arsenal HAJAFUNGWA magoli SITA: je, UMEACHANA na mpira? Tafadhali, kama hujaacha, TII dhamira yako. Tafadhali!
 
Haihitaji akili ya juu sana kwa kile ambacho Asr8 watakipata chini ya vijana hatari sana ambao hawajawahi kutokea katika sayari hii ya dunia nazungumzia safu ya MSN(Messi,Neymar na Lous Suarez) yote na kikosi chote cha kocha mwenye mafanikio zaidi Barcelona ndani ya muda mfupi ni Louis Enrique

Mimi kwa uzoefu wangu wa football nafanya calculations nafuta naanza tena ,bado naona Asernal wanapigwa si chini ya goli 6-8 on aggregrate ,mbaya zaidi nikiingalia safu ya ulinzi ya Barcelona yaani Pique Gerald,macherano,Jord Alba,Dan Alves ,Midfielders Andrew Ineasta,Ivan Rakitic ,Sergio Basques ,sioni Asernal watakapotokea ambao wanakikosi cha vijana wa fom six
Darubini yako watakachokipata Asernal match ya nyumbani kesho 23=02-16 na match ya marudio wanastahili ila ni ngumu sisimizi kumuua tembo
Historia ya mpira ya miaka ya karibuni inaonyesha wote wanaocheza football style ya Barcelona ukikutana nao ni kipigo tu
Wewe ni lipumbavu maana unafanya analysis ya kimbumbumbu.

Shame upon u mbombo wewe
 
Haaa haaa duh wabongo tunajifanya wachambuzi balaa tunameza na kukariri kidogo basi tunakuja mbio kueleza utumbo mtupu.
Hivi goli sita(6) zilipatikana sio kila mnaloambiwa lazima mliamini kuna time inabidi utumie akili yako Agg 5-1.
 
  • Thanks
Reactions: PNC
EPL ni ligi dhaifu siku hizi ukiangalia robo finali ya uefa na Europa league kuna jumla ya timu sita za laliga hii ni kudhihirisha kua Spain bado ni wababe Europe
 
Umeachana Na mpira??
Mkuu aache mpira wapi,instead amekuwa mkali huyo.

Gang Chomba alituambia kuna kipindi fulani hivi,mwekundu kama kawaida yake kuna utabiri alitoa lakini ukabuma akabadili ID akaenda jukwaa la dini akawa anatoa watu mapepo,nayo yakagoma kutoka sasa ndo karudi tens huku.

Kila utabiri anaoutoa unagonga mwamba, kama Pele vile.
 
mkuu ahadi ulitoa wewe, unaanza kupanick
 
Back
Top Bottom