Asfati au Lami: Tanzania Inatumia Zaidi Ipi, je ipi itaokoa matengenezo ya kila mara!

Asfati au Lami: Tanzania Inatumia Zaidi Ipi, je ipi itaokoa matengenezo ya kila mara!

N'yadikwa

JF-Expert Member
Joined
Aug 10, 2014
Posts
7,427
Reaction score
10,905
Swali:
Ningependa kujua kati ya Asphalt na Tarmac, ipi inatumika zaidi nchini?

Na ipi ina manufaa zaidi kwa mazingira yetu, hali ya hewa, na gharama za ujenzi na matengenezo?

Pia, je, kuna mpango wowote wa Tanzania kutumia teknolojia mpya kama barabara zinazozalisha umeme (solar roads) au lami inayoweza kujikarabati yenyewe (self-healing asphalt)?

Ikiwa hakuna mpango wa sasa, je, teknolojia hizi zinaweza kuwa na nafasi katika mustakabali wa miundombinu ya barabara nchini?

Ningependa kusikia mawazo na uzoefu
images (11) (14).jpeg
images (11) (13).jpeg
wa wadau kuhusu hili.
 
Tarmac maana yake inatokana na material yanayoitwa tar. Haya material kimuonekano ni kama asphalt lakini yanasifa tofauti na asphalt na uzalishwaji wake ni tofauti na asphalt.

Asphalt ni bora zaidi ya tar, na sisi hapa tanzania tunatumia zaidi asphalt, labda enzi za nyerere tar ilitumika , hapo sijui.

Asphalt na tar ni binder , na hayatumiki yenyewe kama yenyewe kama ndio layer ya mwisho kwenye barabara, bali kunakuwa na kokoto ili kuongeza uimara huku asphalt ikitumika kuzibind kokoto. Sasa namna ya kuzibind kokoto pia kuna utofauti , hivyo pamoja na kwamba tunatumia asphalt lakini kuna asphalt concrete na surface dressing.
 
Tarmac maana yake inatokana na material yanayoitwa tar. Haya material kimuonekano ni kama asphalt lakini yanasifa tofauti na asphalt na uzalishwaji wake ni tofauti na asphalt.

Asphalt ni bora zaidi ya tar, na sisi hapa tanzania tunatumia zaidi asphalt, labda enzi za nyerere tar ilitumika , hapo sijui.

Asphalt na tar ni binder , na hayatumiki yenyewe kama yenyewe kama ndio layer ya mwisho kwenye barabara, bali kunakuwa na kokoto ili kuongeza uimara huku asphalt ikitumika kuzibind kokoto. Sasa namna ya kuzibind kokoto pia kuna utofauti , hivyo pamoja na kwamba tunatumia asphalt lakini kuna asphalt concrete na surface dressing.
mkuu vipi kuhusu hizo barabara zinazojirekebisha zenyewe kwa kutumia bakteria maalumu
 
Tarmac maana yake inatokana na material yanayoitwa tar. Haya material kimuonekano ni kama asphalt lakini yanasifa tofauti na asphalt na uzalishwaji wake ni tofauti na asphalt.

Asphalt ni bora zaidi ya tar, na sisi hapa tanzania tunatumia zaidi asphalt, labda enzi za nyerere tar ilitumika , hapo sijui.

Asphalt na tar ni binder , na hayatumiki yenyewe kama yenyewe kama ndio layer ya mwisho kwenye barabara, bali kunakuwa na kokoto ili kuongeza uimara huku asphalt ikitumika kuzibind kokoto. Sasa namna ya kuzibind kokoto pia kuna utofauti , hivyo pamoja na kwamba tunatumia asphalt lakini kuna asphalt concrete na surface dressing.
kwa hiyo hiyo asphalt ndio ile laini? maana nilienda malawi lami yao ni kama unapita kwenye rough road yaani tairi za gari unazisikia ndani zinavyohangaishana na hiyo lami,
 
kwa hiyo hiyo asphalt ndio ile laini? maana nilienda malawi lami yao ni kama unapita kwenye rough road yaani tairi za gari unazisikia ndani zinavyohangaishana na hiyo lami,
Kama nilivyoandika hapo awali, lami kama lami haiwezi kutumika pekee kama final layer kwa ajili ya kupitisha magari.

Kiasili lami ni semi-solid kwa maana inakuwa laini(liquid) kwenye joto fulani na inakuwa ngumu kwenye joto dogo.
Lami liquid inapatikana kwa kuichemsha lami asili , hivyo ikimwagwa inakuwa kama umemwaga uji au maji .Uliyoiona ni pure lami iliyomwagwa bila mchanganyiko wa kokoto , hivyo unakuwa kama unapita sehemu iliyomwagwa maji au uji. Lami ya aina hiyo inatumika kwa layer za chini hivyo ukiikuta inakuwa barabara haijaisha au wamemwaga kupunguza vumbi.

Mchanganyiko wa lami na kokoto ndio unatengeneza layer ambayo inahimili gari na kuleta raha kwa muendeshaji
 
Back
Top Bottom