Pettymagambo
JF-Expert Member
- Aug 21, 2017
- 1,490
- 8,227
Atakayeshinda anakutana na YangaLive updates ni muhimu.
Mshindi wa hapa inafanyika draw au tayari anajulikana atacheza na nani?
Na hapo ndo ulipo utamu wa mechi hii, msindi atakutana na YangaAtakayeshinda anakutana na Yanga
Atakayeshinda anakutana na Yanga
fedelation au federation? rekebishaLeo Ni Leo Waweza Kusema Hivyo! Pale Mida Ya 1;00 Usiku Katika Uwanja Wa Taifa, Timu Mbili Zenye Ushindani Mkubwa Zaidi Bongo Mnyama/ Wekundu Wa Msimbaz/ Wanalunyas/ Taifa Kubwa Timu Ambayo Inasakata Kabumbu Lakiwango Kilichothibitisha Na Shirikisho La Mpira Wa Miguu Africa Caf Dhidi Ya Azam, Tukutane Hapa Hapa Kwa Apdates.
Toka ligi imeanza leo simba ndiyo wamepanga kikosi cha ushindani
Itaniuma sana kama mikia wakifanya ujinga wa kufungwa leoNahisi hii mechi Simba watafungwa wamuachie Azam