ASFC: Simba yaisambaratisha Azam 2-0, sasa kukutana na Yanga katika Nusu Fainali

Mechi za Simba vs Azam ndio mechi bora kabisa za soka Tanza, huwa hakuna mizengwe na soka huwa la nguvu na kuvutia.

Kwa sasa Simba ndio timu bora kabisa Tanzania ikifuatiwa na Azam kisha Kagera Sugar, nyingine ni level ya Utopolo.

Vv
 
Kuna mpira unapingwa hapa ni balaa Chama + Kahata + Miquissone dah ni hatari
 
Kuna jamaa huko mavi yanagonga chupi yanarudi.
 
Sasa jamani mabingwa wa Tanzania 2020 wanawakaribisha dk hizi kushuhudia burudani mapigo ya kung fuu yaani kung kung......stay tuned..!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…