Angepona Moyo angekufa kwa ukimwi..
mke wa mtu jina nimemsamhau yule baba ameolewa km sikosei mwaka jana mwishoni
sokwe
NAONA MADAI YAKO NI YA UKWELI..
NA MUNGU KASIKIA MAOMBI YAKO..
MADUKA MAWILI YA ASHA BARAKA YALIYOPO KWENYE JENGO LA MACHINGA COMPLEX YAMEWAKA MOTO MCHANA HUU..
NA NDO MADUKA YA KWANZA KUUNGUA..
Mbona IDD BAKA PANDISHA yupo vizuri kiuchumi.
Hapa Sokwe hujafikiria kama binaadamu....malalamiko yako hayana msingi wowote.
Na unaposema Asha alimsaidia mtu baki akamuacha ndugu yake...hiki ni kioja, huyo Mungu unayemshtakia kwake yeye hajui kama kuna ndugu baki na ndugu ndani...kwake ndugu ni ndugu, hebu ujifanyie tathmini kama kweli unamjua Mwenyezi Mungu.
Kesho Misanya Bingi mambo yake yasipoenda sawa utambwatukia Mzee Mengi kwa kuwa tu Misanya alifanya kazi IPP ? je ni Amigo peke yake ndiye aliyekwishafanya kazi kwa Asha ?....na wengine je hawana stahili hizo ? huyo Asha atayaweza wapi ? badala kuilaumu serikali yako kukosa hizo huduma bora unahamishia hasira kwa Asha.
Unavyosema Asha ni mbaya wewe tunakujua wapi tuone kuwa ni mwema unayepaswa kumuona Asha ni mwema ? nijuavyo mbaya pia humuona mwema mbaya kwa maslahi na tafsiri zake binafsi...kama wewe ni Singa singa na Asha ni Kafulila basi Asha atakuwa mbaya tu kwako, hatuna msaada kwa hilo ewe Sokwe.
Kama unasema Asha ni ndugu wa Marehemu ni dhahiri kuwa wewe usiye ndugu hujui Marehemu alikuwa anaugua nini, hujui daktari aliongea nini na ndugu wa marehemu kuhusu ugonjwa wa Marehemu...sasa hebu kafanye homework zako vizuri uje tena ueleweke unataka kusema nini.
nimesikitishwa sana na kifo cha binamu yangu khamis kayumbu amigoras kwa matatizo ya moyo, amigoras ni ndugu yako na amefanya kazi kwenye band yako kwa miaka 18!
Unajua tatizo lake la afya, lakini umeshindwa kumsaidia hata kumchangia pesa za matibabu kwenda india kwa vile amigoras alihama band yako! Kwanini huwezi kuwa na shukrani kwa mtu aliyekutumikia kwa miaka yote hiyo na mafanikio yote uliopata?
Kuna ubaya gani kujitoa katika band yako na kujitafutia maendeleo yake sehemu nyingine? Umekuwa kinara wa michango wakati wa uhai wa gurumo na hata kufanya show ya band yako ili kukusanya fedha za kumsaidia!
Kwanini umeshindwa kumsaidia nduguyo lakini umeweza kumsaidia mtu baki? Ni kwasababu hutaki watu watoke band yako, unataka waendelee kuwa watumwa wako milele!
Khamis sio mtu wa kwenda magazetini kuomba msaada wa fedha za matibabu, na ulivyokuwa huna aibu kwenye msiba wake pesa za awali za maandalizi ya msiba umetoa! Ulikuwa unataka kuonesha nini? Kwanini hukumsaidia wakati wa uhai wake?
Nilikuwa nasoma kwenye magazeti jinsi ulivyokuwa mtu wa chuki na visasi wanamuziki wako wakihama band, nakuchukia sana.
ASHA BARAKA naye ni mmachinga? Kweli ni Shigggdaaa ndio maana hadi Viwanja Vya walioathirika na Mafuriko walipata hadi wakuu madiwani.
Kijana ww dini gani samahani lkn MSAADA NA SADAKA HUANZA KWA NDUGU Ndipo huvuka kusaidia wengine km kaka ndugu yako wadamu anaumwa nauwezo unao na ukasaidia mtu baki familia yako inateketea ww ni mpumbavu number moja. Km kweli na huyo Asha Baraka na marehemu wanauhusiano wakindugu na uwezo alikuwa anao ni mpumbavu wa dunia.
Nimesikitishwa sana na kifo cha binamu yangu khamis Kayumbu Amigoras kwa matatizo ya moyo, Amigoras ni ndugu yako na amefanya kazi kwenye band yako kwa miaka 18!
Unajua tatizo lake la afya, lakini umeshindwa kumsaidia hata kumchangia pesa za matibabu kwenda India kwa vile Amigoras alihama band yako! Kwanini huwezi kuwa na shukrani kwa mtu aliyekutumikia kwa miaka yote hiyo na mafanikio yote uliopata?
Kuna ubaya gani kujitoa katika band yako na kujitafutia maendeleo yake sehemu nyingine? Umekuwa kinara wa michango wakati wa uhai wa Gurumo na hata kufanya show ya band yako ili kukusanya fedha za kumsaidia!
Kwanini umeshindwa kumsaidia nduguyo lakini umeweza kumsaidia mtu baki? Ni kwasababu hutaki watu watoke band yako, unataka waendelee kuwa watumwa wako milele!
Khamis sio mtu wa kwenda magazetini kuomba msaada wa fedha za matibabu, na ulivyokuwa huna aibu kwenye msiba wake pesa za awali za maandalizi ya msiba umetoa! Ulikuwa unataka kuonesha nini? Kwanini hukumsaidia wakati wa uhai wake?
Nilikuwa nasoma kwenye magazeti jinsi ulivyokuwa mtu wa chuki na visasi wanamuziki wako wakihama band, nakuchukia sana.
Msaada ni hiari, sio shuruti.
Huwezi kumchagulia mtu wa kumsaidia.
Kutomsaidia mtu sio dhambi.
Ukimchukia hutafaidika na chochote.
Bahati mbaya sana kwako kuna wengine wanampenda
RIP Amigolas. sote tuko njia moja. Pamoja na Asha Baraka.