MSHERWAMPAMBA
JF-Expert Member
- May 22, 2014
- 341
- 120
Maelezo ya maana sana ningependa wanamuziki wote wangelifahamu ili ktk maelezo yako safi na ya kuelimisha .Hivi kwa nini masupa star wa bongo wakiugua wanakuwa omba omba?? Je wanatanua sana na kusahau kujiwekea akiba ya wakati wa majanga? Au ndo usanii wa bongo haulipi?? I wonder bongo muvi kude, bongo fleva balaa, taarabu majanga, dansi kumbe wauza sura tu mfukoni hakuna kitu. Nawashauri wasanii wote tajwa hapo juu wajiunge wakiangukie NHIF, au AAR au insurance company yoyote iwadhamini, wao wachangie kidogo kila mwezi na iyo insurance company iwe inagharamia matibabu yao. Ni hayo tu
Jamani mwisho mtaugua huu ugonjwa wa kuchukia watu. katika watu mia unawachukia sabini hivi una uhai kweli wewe!