sokwe
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 2,022
- 1,059
Nimesikitishwa sana na kifo cha binamu yangu khamis Kayumbu Amigoras kwa matatizo ya moyo, Amigoras ni ndugu yako na amefanya kazi kwenye band yako kwa miaka 18!
Unajua tatizo lake la afya, lakini umeshindwa kumsaidia hata kumchangia pesa za matibabu kwenda India kwa vile Amigoras alihama band yako! Kwanini huwezi kuwa na shukrani kwa mtu aliyekutumikia kwa miaka yote hiyo na mafanikio yote uliopata?
Kuna ubaya gani kujitoa katika band yako na kujitafutia maendeleo yake sehemu nyingine? Umekuwa kinara wa michango wakati wa uhai wa Gurumo na hata kufanya show ya band yako ili kukusanya fedha za kumsaidia!
Kwanini umeshindwa kumsaidia nduguyo lakini umeweza kumsaidia mtu baki? Ni kwasababu hutaki watu watoke band yako, unataka waendelee kuwa watumwa wako milele!
Khamis sio mtu wa kwenda magazetini kuomba msaada wa fedha za matibabu, na ulivyokuwa huna aibu kwenye msiba wake pesa za awali za maandalizi ya msiba umetoa! Ulikuwa unataka kuonesha nini? Kwanini hukumsaidia wakati wa uhai wake?
Nilikuwa nasoma kwenye magazeti jinsi ulivyokuwa mtu wa chuki na visasi wanamuziki wako wakihama band, nakuchukia sana.
Unajua tatizo lake la afya, lakini umeshindwa kumsaidia hata kumchangia pesa za matibabu kwenda India kwa vile Amigoras alihama band yako! Kwanini huwezi kuwa na shukrani kwa mtu aliyekutumikia kwa miaka yote hiyo na mafanikio yote uliopata?
Kuna ubaya gani kujitoa katika band yako na kujitafutia maendeleo yake sehemu nyingine? Umekuwa kinara wa michango wakati wa uhai wa Gurumo na hata kufanya show ya band yako ili kukusanya fedha za kumsaidia!
Kwanini umeshindwa kumsaidia nduguyo lakini umeweza kumsaidia mtu baki? Ni kwasababu hutaki watu watoke band yako, unataka waendelee kuwa watumwa wako milele!
Khamis sio mtu wa kwenda magazetini kuomba msaada wa fedha za matibabu, na ulivyokuwa huna aibu kwenye msiba wake pesa za awali za maandalizi ya msiba umetoa! Ulikuwa unataka kuonesha nini? Kwanini hukumsaidia wakati wa uhai wake?
Nilikuwa nasoma kwenye magazeti jinsi ulivyokuwa mtu wa chuki na visasi wanamuziki wako wakihama band, nakuchukia sana.