Asha Baraka umepanda mbegu za chuki dhidi ya CCM na upinzani, subiri uvune ulichokipanda

Asha Baraka umepanda mbegu za chuki dhidi ya CCM na upinzani, subiri uvune ulichokipanda

Amesema hiyo ni sehemu ya vijana wa ccm, anamaanisha hiyo sehemu ni kwa ajili ya wanaccm tuu, kama ni hvy basi yupo sahihi na hakuna baya aliloongea kwa Chadema mana ni sawa na kuuza katiba ya Chadema kwenye ofisi za ccm hiyo kitu hakiwezekani
 
Back
Top Bottom