Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kabisa
kabisa
Eneo ni la CCM,Kama wauza magari hawalipii,walipe au waache uvccm wauze magariMmiliki wa bendi ya mziki ya Twangapepta awagawa watanzania.
Asha Baraka ametoa maneno ya chuki na kibaguzi dhidi ya wana ccm na watanzania wengine wasio wana ccm.
Ebu msikilizeni ila tunamwambia kuwa kapanda ajihidi sana kuvuna alichokipanda.View attachment 2880803
Acha kuropoka,Mdhamini wa Simba SC Huyo!
Lakini naona kama raia wamempotezea tu kama mlevi aliyelewa.Hauoni kama kajua aliyoyasema na anafurahia kabisaaaa kurekodiwa
Yeye ni mfanya biashara za mziki na pia ana bar yake pale Kibaha anauza vinywaji na lounge mzuri tu ambayo anahitaji kupata wateja.Amesema hiyo ni sehemu ya vijana wa ccm, anamaanisha hiyo sehemu ni kwa ajili ya wanaccm tuu, kama ni hvy basi yupo sahihi na hakuna baya aliloongea kwa Chadema mana ni sawa na kuuza katiba ya Chadema kwenye ofisi za ccm hiyo kitu hakiwezekani
Huyu kwanza si Mtanzania arudi kwao Burundi asituletee chuki zao za kirundi.Mbona kama alikuwa amelewa!
Huyo kahaba mzee sura imemshuka kama ngozi ya korodaniMdhamini wa Simba SC Huyo!
Au ametoka kuwashwa na kile kibenten chake anachokifuga pale kwa manyanyaMazeri atakuwa ametoka kukiwasha