Asha Baraka umepanda mbegu za chuki dhidi ya CCM na upinzani, subiri uvune ulichokipanda

Chadema mnapenda sana kulia lia, sasa kama eneo lilitolewa kwa ajili ya vijana wa CCM, iweje vijana wa vyama vingine wawepo? Vigezo na Masharti lazima vizingatiwe.
Wacha ushamba wewe,anasema lazima uwe na card,wakati wengine sio Chadema na wala hawaitaki nahiyo ccm.Ila wanataka huduma sehemu husika

Sent from my SM-A107M using JamiiForums mobile app
 
Hivi kwenye bendi yake huwa anakagua kadi za vyama, au kule anaokota tu, shame
 
Huyo bibi mimba alizotupia chooni ujanani zimeanza kumlaani
 
Itapendeza akitunga wimbo wa hayo maneno yake ya kibaguzi
 
Mtu ambaye ameshapigwa mtungo unategemea atakuwa na akili
 
Eneo ni la chama kwa ajili ya wanachama wao- unaona shida gani?
 
Huyo mama alikuwa anataka sifa kwa aliyekuwa ndani ya hiyo gari
Biashara za bendi zishamdodea huyo
Kitambo tu

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…