Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤔🙄Huyu mama Asha Baraka ni mjumbe wa Bodi ya Club ya Simba. Club maarufu sio Tanzania tuu bali Afrika na hata huko FIFA inatambulika.
Iweje asijitambue nafasi aliyo nayo aropoke hadharani mambo ya kijinga kama hayo? Kuwa kwake CCM hajui hakumpi nafasi ya kuropoka kwa vile hata kama chama hicho ni cha hovyo, lakini bado anayo nafasi katika Taasisi inayoheshimika kama Simba na ametukwaza kwani Club imepata kebehi nyingi kwa upuuzi huu wa hadharani.
Tumuombe ajiuzulu akaendelee na ujinga wake kwa wajinga wenzie kwani Bodi ya Simba sio ya wapuuzi kama yeye.
View attachment 2880914
Huyu sasa naona kachanganyikiwa.. Kwahiyo hata kwenye biashara zake wasio wa ccm wasiende?Mmiliki wa bendi ya mziki ya Twangapepta awagawa watanzania.
Asha Baraka ametoa maneno ya chuki na kibaguzi dhidi ya wana ccm na watanzania wengine wasio wana ccm.
Ebu msikilizeni ila tunamwambia kuwa kapanda ajihidi sana kuvuna alichokipanda.
View attachment 2880803
Kwa hili huwezi kueleweka huwezi kumtetea muovu kama huyu.Duh naona bado sieleweki, sawa mkuu nmekuelewa.
Wazee nao huwashwa?Atumie ugoro.hatareeeeee huyu anawashwaaaaa inabidi akunweeee
Yes inawezekana anataka aonekane na wenye chama chao kuwa ni mfia chamaUgonjwa ukichanganya na njaa.
Kwahiyo akatafuta mtu amrecord ili aonekane na mamlaka kwamba ni mfia chama?
Sent from my SM-A107M using JamiiForums mobile app
Huyu atakuwa na vielement vya Burundi pale Kigoma alipitia tu maana kwao ndiyo wanaishi kwa kubaguana.Nadhani wewe ndio umemuelewa mleta mada kuliko hao wengine walio dandia treni kwa mbele.
Hivi kweli unaweza kumkuta Kaduguda au Raphael Chegeni anafanya ujinga wa aina hiyo?
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
hakika na inampelekesha sana.Mazeri atakuwa ametoka kukiwasha