Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata serikali ni ya ccm hivyo chadema wasipate Huduma za kiserikali? Siasa zifanyike wakati Wa kampeni tu uchaguzi ukiisha tuweke vyama pembeni tujenge nchi pamoja.Sijajua ila kwa kumnukukuu amesema hy n sehemu ya ccm hvy yupo sahihi kusema Chadema wasifike hapo
Duh naona bado sieleweki, sawa mkuu nmekuelewa.Hata serikali ni ya ccm hivyo chadema wasipate Huduma za kiserikali? Siasa zinafanyike wakati Wa kampuni tu uchaguzi ukiisha tuweke vyama pembeni tujenge nchi pamoja.
Fear Women, Hapo anajiona Prof.Hata aibu haoni hapo anajiona yupo usa
Hakuna waislam waliopanga frame za kanisa? Wao wanachoangalia kodi na siyo utauza nini.Yuko sahihi, umeona wapi frame za kanisa katoliki kuna duka la kisunni au quran?
Eneo ni lao acha wawape wanaowataka, huo wala sio ubaguzi.
[emoji23] [emoji23] Dada una vituko!Yeye ni mfanya biashara za mziki na pia ana bar yake pale Kibaha anauza vinywaji na lounge mzuri tu ambayo anahitaji kupata wateja.
Kwa matamshi haya wapinzani waamue kususia huduma za lounge yake .
Maana anasema sehemu ya ccm hairuhusiwi kutumiwa na wapinzani.
Sasa ajiandae awauzie tu wana ccm wenzake kuanzia Sasa.
Huyu si mzima hata kidogo.Afya yake ina gogoro.Mmiliki wa bendi ya mziki ya Twangapepta awagawa watanzania.
Asha Baraka ametoa maneno ya chuki na kibaguzi dhidi ya wana ccm na watanzania wengine wasio wana ccm.
Ebu msikilizeni ila tunamwambia kuwa kapanda ajihidi sana kuvuna alichokipanda.
View attachment 2880803
Nasemaje wewe ndio Asha mwenyewe kwa hio unaweza ukawa upo sahihi kwa namna moja au nyingineWewe na Asha akili zenu sawa
Nadhani wewe ndio umemuelewa mleta mada kuliko hao wengine walio dandia treni kwa mbele.Ugonjwa ukichanganya na njaa..
Kwahiyo akatafuta mtu amrecord ili aonekane na mamlaka kwamba ni mfia chama?
Sent from my SM-A107M using JamiiForums mobile app
HaMmiliki wa bendi ya mziki ya Twangapepta awagawa watanzania.
Asha Baraka ametoa maneno ya chuki na kibaguzi dhidi ya wana ccm na watanzania wengine wasio wana ccm.
Ebu msikilizeni ila tunamwambia kuwa kapanda ajihidi sana kuvuna alichokipanda.
View attachment 2880803
Toa takataka....too taka....Mmiliki wa bendi ya mziki ya Twangapepta awagawa watanzania.
Asha Baraka ametoa maneno ya chuki na kibaguzi dhidi ya wana ccm na watanzania wengine wasio wana ccm.
Ebu msikilizeni ila tunamwambia kuwa kapanda ajihidi sana kuvuna alichokipanda.
View attachment 2880803
Hata wewe ukilewaga si huwa unabwabwaja kama huyu!Mmiliki wa bendi ya mziki ya Twangapepta awagawa watanzania.
Asha Baraka ametoa maneno ya chuki na kibaguzi dhidi ya wana ccm na watanzania wengine wasio wana ccm.
Ebu msikilizeni ila tunamwambia kuwa kapanda ajihidi sana kuvuna alichokipanda.
View attachment 2880803