Asha Baraka umepanda mbegu za chuki dhidi ya CCM na upinzani, subiri uvune ulichokipanda

Asha Baraka umepanda mbegu za chuki dhidi ya CCM na upinzani, subiri uvune ulichokipanda

Yupo sahihi kwa mtazamo wa ndani huwezi ukabeba jezi za CCM ukaenda kukaa Ufipa Street pale ukahisi watakuelewaje? Si watakuona wewe mwanga mchawi umekuja kuwawangia katika eneo lao?
Wewe na Asha akili zenu sawa
 
Yeye ni mfanya biashara za mziki na pia ana bar yake pale Kibaha anauza vinywaji na lounge mzuri tu ambayo anahitaji kupata wateja.

Kwa matamshi haya wapinzani waamue kususia huduma za lounge yake .

Maana anasema sehemu ya ccm hairuhusiwi kutumiwa na wapinzani.

Sasa ajiandae awauzie tu wana ccm wenzake kuanzia Sasa.
[emoji23] [emoji23] Dada una vituko!

Kuna kipindi mliqnzisha kampeni ya kususia laini za voda sijui mkaishia wapi?
 
Yuko sahihi, umewahi kuona kwenye mkutano wa simba wametandika bendera ya Yanga? Mwanachadema unafuata nini kwenye eneo la ccm kama sio ujinga.
 
Ugonjwa ukichanganya na njaa..
Kwahiyo akatafuta mtu amrecord ili aonekane na mamlaka kwamba ni mfia chama?

Sent from my SM-A107M using JamiiForums mobile app
Nadhani wewe ndio umemuelewa mleta mada kuliko hao wengine walio dandia treni kwa mbele.
Hivi kweli unaweza kumkuta Kaduguda au Raphael Chegeni anafanya ujinga wa aina hiyo?

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Mmiliki wa bendi ya mziki ya Twangapepta awagawa watanzania.

Asha Baraka ametoa maneno ya chuki na kibaguzi dhidi ya wana ccm na watanzania wengine wasio wana ccm.

Ebu msikilizeni ila tunamwambia kuwa kapanda ajihidi sana kuvuna alichokipanda.

View attachment 2880803
Ha
Mmiliki wa bendi ya mziki ya Twangapepta awagawa watanzania.

Asha Baraka ametoa maneno ya chuki na kibaguzi dhidi ya wana ccm na watanzania wengine wasio wana ccm.

Ebu msikilizeni ila tunamwambia kuwa kapanda ajihidi sana kuvuna alichokipanda.

View attachment 2880803
Toa takataka....too taka....
 
Back
Top Bottom