Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umenikumbusha mbali sana.Bado najiuliza, Asha aliwezaje kumshawishi hasimu wake kwenda nyumbani kwake?
hii story nimeisikia clouds wiki iliyopita na jana iliendelea vizuri sana kuna msikilizaji alikuw anasimulia alishuhudia enzi hizo akiwa form one.mtuhumiwa alifungwa gereza la isanga dodoma but sasa yupo huru alitoka kwa msamaha.
Kwani alikuwa wapi siku zote asisimulie..................?hii story nimeisikia clouds wiki iliyopita na jana iliendelea vizuri sana kuna msikilizaji alikuw anasimulia alishuhudia enzi hizo akiwa form one.mtuhumiwa alifungwa gereza la isanga dodoma but sasa yupo huru alitoka kwa msamaha.
Mimi nina ukaribu na Happiness Senzota.....mwenye hiyo kesi ya Liundi wekeni hapa.....wengi tunamachungu ya baba zetu kupigwa chini,kesi zao kuwekwa hapa JF tena za baba zetu ni wizi na ubakaji...chonde chonde wakuu nawaombeni kwa heshima na taadhima kesi ya mama Taji msiisasanue hapa. Kuna siku niligusia jambo hili memba mmoja wa mmu likam touch sana (ana ukaribu na Taji) na akaomba tusilizungumzie hapa,ni kidonda kibichi bado kwake. Nawaombeni tafadhali.
Naifanyia kazi mkuu.....................
Kesi kama hii na ya mume wa Josephine kwa upande wa pili wa shillingi zinaumana. Hii ilikuwa ni mwanamke kuingilia ndoa na Josephine na Slaa ni ya mwanamme kuingilia ndoa! likitokea la kutokea siku ya siku, tusiseme tulikuwa hatujui.
Yes big up Mtambuzi maana wamekutaja kabisa na jina lako kuwa wewe ni unajulikana humu kama Mtambuzi. Clouds fm bado wanaichakachua kwa kuwasomea wananchi as navyoandika.
Big up to Jamii forums.
nafurahi kama wamemtaja jina inatosha inaonesha ujumbe ulifika... big up LEO TENA KWA HILO .. kuna baadhi ya watu pia wameweka hiki kisa kwenye vi blog vyao ... kweli JF ni kisima
Ahsante kwa taarifa, lakini ni vyema hata kule kwenye Blog yake (Dina Marios) aseme hivyo hivyo......................!baada ya kusikiliza clouds,na ku admit wameitoa sousrce bjf kwa mtambuzi,ikanibidi nifuatilie.hongera zako mtambuzi.maana dina alivyokuwa akisoma mwanzo mpaka mwisho,nilisikiliza kwa makini,na mwenyewe anavyosema kuwa huyo mama ameokoka