Ashakum si matusi, Haji Manara atakimbiwa na mwanamke yeyote yule. Huu ndiyo ukweli

Ashakum si matusi, Haji Manara atakimbiwa na mwanamke yeyote yule. Huu ndiyo ukweli

Pang Fung Mi

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2022
Posts
6,653
Reaction score
13,919
Asalaam,

Kijamii inafahamika nisiongee mengi mind clustering haiwezi kumsaidia hata asemeje kwa akili ya kawaida yule mwanamke sio yeye hata mwingine akimkubali Manara ni Kwa ajili ya kumvaragiza tu.

Manara aache kelele nyingi yeye anajulikana yuko kundi gani sasa aache kulia lia ajikubali kuwa yeye anapesa sana kwa hio maskini hawamfai nadhani kijamiii inafahamika maskini na tajiri hawakai zizi moja maana watapata nini sasa si hasara tupu kwa tajiri mnufaika anakuwa maskini tu.

Manara ajipange sasa hivi aangalie wa kufanana nae tu hasa matajiri wenzake.

Tutamuimbia mletee mdhungu mletee mdhungu, hatujamalizaa aaah, hatujamalizaa aaah, we eee weeeh mletee mdhungu.

Mchuma janga hula na yeye.

Wadiz
 
Akipanga safari....eeeh na Dubai ataenda na nauli atalipiwa eeeh mletee mdhungu....mletee mdhungu... hatujamalizaa aaah, akitaka kurudi eeeh furaha ataikosa eeeh mdhungu mweupe watamliaa aah hao maninja eeeh mletee mdhungu....
 
Wenye pesa wana raha bana, bado next episode ingine aandae chombo kipya kipya.
 
Maisha yanaenda kasi Sana
Manara keshazidiwa ujanja na wadada wa mjini...hataweza shindana na wadada wa mjini...
Hii mitandao ya jamii ina "mabingwa wake" wanaoijua kuicheza...
Yeye aliweza Kwa wakati wake...
Sasa soon atakuwa replaced na next generation....
Lucky has one guarantee...'it will change "...
 
Maisha yanaenda kasi Sana
Manara keshazidiwa ujanja na wadada wa mjini...hataweza shindana na wadada wa mjini...
Hii mitandao ya jamii ina "mabingwa wake" wanaoijua kuicheza...
Yeye aliweza Kwa wakati wake...
Sasa soon atakuwa replaced na next generation....
Lucky has one guarantee...'it will change "...
And that guarantee is the change itself. hatari na nusu
 
Tuseme tu ukweli wanaume wote special group ni shida kuishi nao kwenye ndoa, special group kuanzia wenye ulemavu, waliolelewa na mama wa kambo hadi wanaume masikini....hawa watu huwa Wana inferiority complex sana, wanakera.

Sasa ile mitusi aliyokuwa anamtukana Yule binti huko Dubai, Nani angekubali dada Ake au binti yake abaki na Manara? Yani kisa umenipeleka Dubai ndo unitukane mitusi ya nguoni? Yule hawezi kuishi na mwanamke yoyote.
 
ANayejua vyanzi vya utajiri wa manara atujuze.
 
Back
Top Bottom