Duke Tachez
JF-Expert Member
- Mar 28, 2018
- 5,461
- 4,138
weka link basiNimekuelewa saana mkuu...hyo nguvu ya kuvuta naielewa!...kuna kipindi nilianza kujifunza nikahis ntakuwa mental....upande wetu sisi tunazaa zaisi watoto wa kiume..[emoji2][emoji2]basi dada yangu akaanza kusoma hiyo nguvu ya kuvuta .akaanza nunua nguo za watoto wa kike hana mimba...akatafuta na jina kbs la mtoto wa kike...! Alipoamua kubeba mimba akaleta mdada! Mie naijua sana hiyo power of attraction...kuna mhindi mmoja you tube ndo anaielezeaga poa sana..!.ni kweli kila kitu kinaanzia kwa ubongo aise! Bas mada imefungwa!
Ntakutumia soon
It's a curse lakiniKwa namba moja sio mgeni na kuna mtu alishamfanyia mwanae akapona. Tena yeye alimfanyia akiwa bado mdogo sana alipogungua tuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Not a curse it's a traditional healing.It's a curse lakini
No dear, it is... nyeti ya mzazi si lelemamaNot a curse it's a traditional healing.
Okkk but if and only if it happens in future my son encounter the same prob I will do that.No dear, it is... nyeti ya mzazi si lelemama
Tafadhari, naomba usijaribu.
30+yrs old
Mmh serious speaking haya ni mapya kwangu
Jr[emoji769]
Duu!!! Huu inaonekana ni ushirikina sasa.Kwanza natanguliza Kuomba ( Kuwaombeni ) Radhi kama Maudhui na Uwasilishaji wa Mambo ambayo nataka Kuyagusia hata yatakuwa Mkwazo wa namna yoyote ile Kwako kama ukiyasoma ila nimeamua kuyaleta haya mambo Makuu mawili Kwenu hapa ili leo tuweze Kukata Mzizi wa Fitina.
Je, ni kweli kwamba.....
1. Kama Mama akizaa Mtoto wake wa Kiume halafu akagundua kuwa Uume wake hakisimami kama cha Watoto wenzake au hata Mama akigundua kuwa Mwanae wa Kiume ambaye ameshabalehe ila amekumbwa na tatizo la Uume wake kutosimama basi huyu Mama Kisirisiri tu akiwahi kwenda nae Chumbani huyo Mtoto wake au akimvizia tu amelala Usingizi akigusisha Uke wake basi mara moja tatizo hilo la Mtoto wake linaisha na Uanamume wake unarudi / unakuwepo kama kawaida?
2. Kama Mama akizaa Mtoto wake wa Kike halafu akagundua kuwa ana tatizo la Kutopata Mtoto ( Ugumba ) au akipata Mimba ( Ujauzito ) inaharibika basi huyo Mama akimlazimisha huyo Binti yake avae Chupi zake au za Bibi yake au Shangazi yake au agusishe Maziwa ( Matiti ) yake katika sehemu za Siri za Mama yake ( Ukeni ) basi mara moja hilo tatizo linakwisha na kuwa Historia Kwake?
Wenye kujua zaidi au wenye Uzoefu na haya Mambo Mawili tajwa hapa tafadhali karibuni mfunguke ili nasi tuelimike zaidi.
Imani zetu nyingi za ki asili ni upumbavu, kuna baadhi ya nchi hapa Africa mazao yasipostawi shambani wanatumwa wanaume waende porini wachimbe vishimo waweke sehemu za sili wafanye mapenzi na ardhi eti wanafanya ardhi izae
najua watu watapinga hili nitaleta video kutoka youtube
Sent using Jamii Forums mobile app