Asigwa kapotelea wapi?

Asigwa kapotelea wapi?

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] utasikia... "wee muone hivyo hivyo, jamaa wa ninilii pale..." [emoji113] [emoji41]
Hahhaha hata mimi nshasafiria sana hiyo title[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Mshikaji wangu alikuwa dereva wa ST kwahiyo sometimes alikuwa anakuja home tunaondoka, na nilikuwa sikai seat ya mbele nakaa nyuma kwenye tint
 
Nipo wakuu ni mzima wa afya, nilikuwa porini kidogo nafuatilia miradi yangu ndio maana sikuwa naonekana hewani, lakini pia baada ya kutoka porini nilikuwa najiandaa kwenda nje ya nchi kuongeza kaelimu kidogo, mambo yakawa yananibana sana.

Mungu awabariki sana, ntakuwa nachungulia humu mara moja moja.
 
Nipo wakuu ni mzima wa afya, nilikuwa porini kidogo nafuatilia miradi yangu ndio maana sikuwa naonekana hewani, lakini pia baada ya kutoka porini nilikuwa najiandaa kwenda nje ya nchi kuongeza kaelimu kidogo, mambo yakawa yananibana sana.

Mungu awabariki sana, ntakuwa nachungulia humu mara moja moja.
Duu asavali umemaliza hiki kizungumkuti
 
Nipo wakuu ni mzima wa afya, nilikuwa porini kidogo nafuatilia miradi yangu ndio maana sikuwa naonekana hewani, lakini pia baada ya kutoka porini nilikuwa najiandaa kwenda nje ya nchi kuongeza kaelimu kidogo, mambo yakawa yananibana sana.

Mungu awabariki sana, ntakuwa nachungulia humu mara moja moja.
Huko porini hakuna umbea wowote ulilokuja nao best 😀😀
 
Huko porini hakuna umbea wowote ulilokuja nao best 😀😀
Labda huu. ! manake siku hizi ndio habari ya mujini
1470138870052.jpg
1470138874652.jpg
[emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Nipo wakuu ni mzima wa afya, nilikuwa porini kidogo nafuatilia miradi yangu ndio maana sikuwa naonekana hewani, lakini pia baada ya kutoka porini nilikuwa najiandaa kwenda nje ya nchi kuongeza kaelimu kidogo, mambo yakawa yananibana sana.

Mungu awabariki sana, ntakuwa nachungulia humu mara moja moja.
Eeeeh safi maana tulijua tayari washafanya yao upo nyuma ya nondo
 
hapana mkuu si hivyo. Asigwa Alikuwa anatuhabarisha current news tena latest hata za ndani huko serekalin na pia hata za udak. Dogo alikuwa smart kwenye posti zake. Hata michango yake ilijitosheleza. Tulikuwa tunamtania halali?

yaonyesha wamfahamu vizuri, umejuaje ni dogo?!
 
Wengine uamia ID zingine wakinogewa na wanavyochangia humu.
 
Nipo wakuu ni mzima wa afya, nilikuwa porini kidogo nafuatilia miradi yangu ndio maana sikuwa naonekana hewani, lakini pia baada ya kutoka porini nilikuwa najiandaa kwenda nje ya nchi kuongeza kaelimu kidogo, mambo yakawa yananibana sana.

Mungu awabariki sana, ntakuwa nachungulia humu mara moja moja.
[emoji15] [emoji15] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji15]
Unataka kunong'ona kuwa ma-tp huitumia sana "taito" tajwa? [emoji2]
 
Back
Top Bottom