Asigwa kapotelea wapi?

Asigwa kapotelea wapi?

[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji144] [emoji144] [emoji144] na mimi nasikia kuna watu wanagonga huko getini security camera inaonyesha kuna landrover nyeupe imepaki, ngoja niende mkiona kimya....! Mkiona kimya...![emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji124]

Aisee hupo Braza au cruser ilikuchukua?
 
Usijali nimerudi ndugu yangu katika biashara
dah karibu sana aisee najua umekuja na kambinu mbadala Maana jamaa naye sometimes anakung'uta sio mchezo tukutane kule mkuu.
 
K
Ebwana wanaJF Mzuka!

Huyu dogo siku hizi haonekan kabisa humu. Tumemiss uwepo wake na posti zake na michango yake kwa kila jukwaa kwaanzia hum, Jukwaa la siasa, celebrity forums had huko Ugandan news hasa news za bomba la mafuta. Alikuwa anatiririka sana na kushusha nondo za uhakika.View attachment 374068asigwa nini kimekusib? Ni majukumu ama shem kakutait sana ama maandaliz ya kuamia Dodoma? Mbona kimya ama unaumwa (Mungu epusha) Ama unakuja na ID nyingine kama hii lakin nachelea kuamin nazan ni avatar zinafanana.View attachment 374070Tumekumiss sana asigwa
Kweli....
Atakua ndigu yangu maana avatar zafanana,na itanibidi niibadilishe ili niweke uyofauti..!!!
Ntatoa notice ya siku 7 ili nibadilishe
 
Ki ukweli mimi nimemumisslavuzi dada yangu kipenzi Masai dada

Popote pale ulipo jua kuwa kaka yako wa hiari bado naendelea kufa na utamu wangu kama muwa tu

Nimemiss uwepo wako masai dada [emoji24] [emoji24]
 
T 1990 ELY huyo mdau kapotea hatari naye.
Dah!!
nimemumiss sana huyu mdada

Yaweza kuwa kapotea kwa ID ya masai dada mkuu sunola

Masai dada kama una ID nyingine tafadhali nitafute maana si kwa kukumiss huku aiseeee!!
 
Dah!!
nimemumiss sana huyu mdada

Yaweza kuwa kapotea kwa ID ya masai dada mkuu sunola

Masai dada kama una ID nyingine tafadhali nitafute maana si kwa kukumiss huku aiseeee!!
kweli mkuu
 
Back
Top Bottom