Biashara Mtaji
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 324
- 288
amagamboo ni bukebukeAmagamboo
Uzuri wa mtu unaujua wewe unaemuona ni mzuri,kuna watu hapa wazuri kwake ni wanyamwezi au wadigoWadada wa kihaya ni wazuri sana.
Niwaulize wadau hapa, je! uliwahi kukutana msichana yoyote wa kihaya asiyekuwa na mvuto?
hapana mkuu nimetolea mifano tu hayo makabilaWe muwanji nini?
Wazuri ni wengi zaidi.Wazuri na wabaya pia wapo..ni wewe tu na macho yako.
Nilikua na Demu muwanji aisee umenikumbusha mbali afu ili kabira halifahamiki sana..We muwanji nini?