The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 4,118
- 9,864
Hivi ndivyo ninavyoweza kusema kwa ufupi, hali ni mbaya sana kwa wamiliki wa viwanda Tanzania tangu kuondoka kwa uncle mambo yamebadilika sana.
inawezekana baadhi ya wawekezaji walifurahia kuondoka huyu mwamba ila wakati wanaopitia kwa sasa mungu mwenyewe anajua.
iko ivi viwandani huwa wanaenda na Targets yaani Daily, monthly hadi mwisho wa siku wanapata annual production volume, kinachotokea kwa zaidi ya miezi sita sasa na zaidi production targets hazifikiwi.
Na unapozungumzia production maana yake ni hela, inafika mahali soko lipo ila bidhaa ya kwenda sokoni hamna, kwa lugha nyepesi ni kwamba wanapata hasara kwa sababu running costs zipo pale pale kama mishahara etc.
Matatizo ya umeme ni mengi hata kama siyo mgao lakini hitilafu haziishi, hii imepelekea niamini kupata wawekezaji wa viwanda kutoka ulaya Tanzania ni ngumu sana tutabaki na hawa Baniani.
To convince serious investors Electric power must be: -
1.Available
2.Stable
3.Reliable.
CC; Mzee Makamba. Maharage
inawezekana baadhi ya wawekezaji walifurahia kuondoka huyu mwamba ila wakati wanaopitia kwa sasa mungu mwenyewe anajua.
iko ivi viwandani huwa wanaenda na Targets yaani Daily, monthly hadi mwisho wa siku wanapata annual production volume, kinachotokea kwa zaidi ya miezi sita sasa na zaidi production targets hazifikiwi.
Na unapozungumzia production maana yake ni hela, inafika mahali soko lipo ila bidhaa ya kwenda sokoni hamna, kwa lugha nyepesi ni kwamba wanapata hasara kwa sababu running costs zipo pale pale kama mishahara etc.
Matatizo ya umeme ni mengi hata kama siyo mgao lakini hitilafu haziishi, hii imepelekea niamini kupata wawekezaji wa viwanda kutoka ulaya Tanzania ni ngumu sana tutabaki na hawa Baniani.
To convince serious investors Electric power must be: -
1.Available
2.Stable
3.Reliable.
CC; Mzee Makamba. Maharage