Asikwambie mtu, Premio tamu

Asikwambie mtu, Premio tamu

Congressman

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2020
Posts
781
Reaction score
2,305
Habari wakuu!

Week 3 au 4 nyuma niliwasilisha ombi langu kwa WanaJF kunisaidia aina ya gari ya kuanzia maisha hasa kwa budget ya 10M.

Wengi walinishauri kuanza na IST au Vitz, ila nilipofika showroom mawazo yalibadilika na kuamua kuvunja kibubu kwa 16.5M kwa kuvuta Toyota Premio (2005), yenye Cc 1490.

Kiukweli naejoy sana hiki chuma, comforatbility ya kutosha, muonekano mzuri na isitoshe mafuta ndo hakuna stress. Niliweka mafuta ya 50 kutoka Dar mpaka Moro na bado yakabaki.

Kwa wewe unayetafuta gari ya kuanzia maisha achana na hizo passo sijui vitz vuta premio utakuja nishukuru badae.

Asikwambie mtu, Premio tamu wakuu.
 
Habari wakuu!

Week 3 au 4 nyuma niliwasilisha ombi langu kwa WanaJF kunisaidia aina ya gari ya kuanzia maisha hasa kwa budget ya 10M...
Huyo ndio mke wa ujana wako lazima uone ana kitumbua kitamu kuliko wanawake wote.
Any way libamize bamize kabla hujafunguka macho kuamua kuonja vyuma vingine.
Nakupongeza ni mwanzo mzuri
 
Habari wakuu!

Week 3 au 4 nyuma niliwasilisha ombi langu kwa WanaJF kunisaidia aina ya gari ya kuanzia maisha hasa kwa budget ya 10M...
Nakuona mkuu umeipaki mashine yako karibu kabisa na dirisha ili kila saa uwe unaitupia jicho.Hizo ni raha za gari mpya,hata kama ni used,zile siku za mwanzoni huwa inakuwa tamu sana,hongera ...
 
nakubaliana na mleta mada..gari inaconsumption nzuri ya mafuta, lakini inavuta vzuri..ukitaka kuovertake engine haitetemeki..na ukitaka kuiuza siku mbiliushapata mteja..sio kama hizi jini crown unanunua leo 16m kesho unauza 9ml..
 
Back
Top Bottom