Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo kuona ndo kitu nacho fanya
Poa naachaAcha uongo kaka
Wataalam tuambien hiiHello
Nimekuwa na hii gari kwa miaka 2 sasa
Yenye 1nz engine code
Highway kupata 16km/l inakataa ila 15.1 to 15.2 naipata na ikiwa town napata 14km/l.
Iko fair kwenye consumptio
Lakin the same engine 1nz 1490cc
Kwenye ist unapata 17km/l
Uzito wa body kati ya Ist na premio ndio sababu ya kutofautiana ulaji wa mafutaWataalam tuambien hii