wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,216
- 37,757
Aisee inabidi kumfanyia scrutinization ya Maana,hizo Bei za hizo bikes naona hata ukiwa nje huzipati kwa pesa hizo.Dah yule jamaa mimi pia namfatilia vyemaa sana, bei zake hata mimi zinanistaajabisha. Honda PCX anaiuza 3.2 - 3.8M mixer usajil na bima na imetembea km kiduchu sana.
Naangaliaga comments ila sioni wateja wanaoleta feedback
Hii gari inakua na mbio kweli ? Kwa kutumia hio gesi?Unaenda kujaza, bahati mbaya sehemu ni moja au mbili, najua pale Mabibo
yeah, ila asubuhi huwa zinasumbua.Hii gari inakua na mbio kweli ? Kwa kutumia hio gesi?
Mi naona bora uumie kwenye mafuta tuu...😀😀😀yeah, ila asubuhi huwa zinasumbua.
Ni kweli buti storage inapungua lkn faida ni kubwa unasave hela,haubadilishi mtungi Ila unajaziwa juu Kwa juuUkiweka gesi gari lazima liwe zito, boot storage lazima ipungue..kwaio gesi ikiisha unabadilisha mtungi?
Namjua. Kimbia kaka.Aisee mkuu out of topic,Kuna jamaa anatumia jina la sele _mapikipiki Kule Instagram anasema Yuko zenji,anauza mapikipiki.Nimeona Bei za kawasaki,Ducati etc ni ndogo mpk nimeshtuka.Maana Zanzibar kwa wapigaji unailewa vzr.
Ukipata Muda pita Kule Instagram nawe umcheki uniambie unaonaje mkuu.
Aisee shukrani sana sana bro,nilipata sana shaka na bei zake wkt Bei ya nilichokua nakitafuta najua ni kubwa Sana.Namjua. Kimbia kaka.
Tuliona KTM Duke moja anauza bei ya TVS aisee. Kimbia kaka.
Ukitaka sport/street bike niambie aisee. Kuna wahindi nawajua wanauzaga ila wanazozitumia unawavua lakini achana na uyo jamaa.
Khaaaa [emoji28][emoji848][emoji87][emoji1787][emoji119]jmnHuyo ndio mke wa ujana wako lazima uone ana kitumbua kitamu kuliko wanawake wote.
Anuway libamize bamize kabla hujafunguka macho kuamua kuonja vyuma vingine.
Nakupongeza ni mwanzo mzuri
Unaruka majivu unakanyaga motoAisee shukrani sana sana bro,nilipata sana shaka na bei zake wkt Bei ya nilichokua nakitafuta najua ni kubwa Sana.
Nitakutafuta at the right bro,🙏🙏
Hongera mkuu maana ndo gari yako ya kwanza lkn nakuhakikishia kuna chuma zaidi ya hiyo
Premio 1.5L lita 15kmMkuu kwa 50k unapata lita 16 za petrol kwa Dar. Na kutoka Dar hadi Moro ni wastani 180km.
Premio lita 1=12km
So lita 16x12=192km
So anafika bila shida kabisa
Sedan inakuaje tamu?Habari wakuu!
Week 3 au 4 nyuma niliwasilisha ombi langu kwa WanaJF kunisaidia aina ya gari ya kuanzia maisha hasa kwa budget ya 10M.
Wengi walinishauri kuanza na IST au Vitz, ila nilipofika showroom mawazo yalibadilika na kuamua kuvunja kibubu kwa 16.5M kwa kuvuta Toyota Premio (2005), yenye Cc 1490.
Kiukweli naejoy sana hiki chuma, comforatbility ya kutosha, muonekano mzuri na isitoshe mafuta ndo hakuna stress. Niliweka mafuta ya 50 kutoka Dar mpaka Moro na bado yakabaki.
Kwa wewe unayetafuta gari ya kuanzia maisha achana na hizo passo sijui vitz vuta premio utakuja nishukuru badae.
Asikwambie mtu, Premio tamu wakuu.
Ajiandae kisaikolojiaNdiyo kwakweli kufunga ndio shughuli,kuna mdogo wangu kafunga juzi ana vitz kwa milioni mbili
Vipi Toyota corolla ya mwaka 2005??Habari wakuu!
Week 3 au 4 nyuma niliwasilisha ombi langu kwa WanaJF kunisaidia aina ya gari ya kuanzia maisha hasa kwa budget ya 10M.
Wengi walinishauri kuanza na IST au Vitz, ila nilipofika showroom mawazo yalibadilika na kuamua kuvunja kibubu kwa 16.5M kwa kuvuta Toyota Premio (2005), yenye Cc 1490.
Kiukweli naejoy sana hiki chuma, comforatbility ya kutosha, muonekano mzuri na isitoshe mafuta ndo hakuna stress. Niliweka mafuta ya 50 kutoka Dar mpaka Moro na bado yakabaki.
Kwa wewe unayetafuta gari ya kuanzia maisha achana na hizo passo sijui vitz vuta premio utakuja nishukuru badae.
Asikwambie mtu, Premio tamu wakuu.
Achana na hii kitu,tumia petrol full stop tusiongee sanaNa angefunga system ya gesi,angetumia kama 17,000 kwenda Moro na kurudi na bado angebakiwa na kilomita kadhaa za kuzunguka mjini
Je wakati unaitumia uliyatoa hayo mabampa????Niliimilik hii gari..ni nzuri sanaaaaa..tatizo inaachia sana ma bampa yake
Inaonyesha Av. Km/l ? Kama inanonyesha weka picha yake hapa tuone na isiwe maneno tuPremio 1L inaenda 16km kwa highway. Ninayo mwaka wa 8 huu sasa. Anachosema ni kweli