Asili na Maana ya Jina/majina ya sehemu mbalimbali Tanzania

Kijiji cha Soliwaya- Njombe kuna eneo wanaliita Karasha, ni eneo ambalo wajenzi wa barabara huvunjia mawe. Na hiyo Karasha imetokana na neno Crusher, wabena na baadhi ya wachina kutamka ikawa ishu wakarahisisha hivyo.
 
Kijiji cha Soliwaya- Njombe kuna eneo wanaliita Karasha, ni eneo ambalo wajenzi wa barabara huvunjia mawe. Na hiyo Karasha imetokana na neno Crusher, wabena na baadhi ya wachina kutamka ikawa ishu wakarahisisha hivyo.
Isoliwaya ipi, ya njia ya Makete au ile karibu na Matembwe Lupembe?
 
MUSOMA limetokana na neno OMUSOMA kwa Lugha ya Wenyeji Wakwaya/ ajita na Waruli kwa Maana ya Sehemu ya Nchi Kavu iliyochongoka na kuingia Majini/ Ziwa Victoria.
 
Mi nataka kujua asili ya jina Africa Ulaya Asia America
 
Kijiji cha Soliwaya- Njombe kuna eneo wanaliita Karasha, ni eneo ambalo wajenzi wa barabara huvunjia mawe. Na hiyo Karasha imetokana na neno Crusher, wabena na baadhi ya wachina kutamka ikawa ishu wakarahisisha hivyo.
hii ya "KARASHA" ipo maeneo mengi. Ukitoka Mlowo Mbozi, mkoani Songwe, kama unaenda Tunduma, kuna eneo ambalo kuna kiwanda cha kubonda mawe ili kutengeneza kokoto (crusher), panaitwa KARASHA.
 
I doubt if this history is correct. Is 'Daru salaam' also arabic? Dar es Salaam is arabic for a safe habour Bandari (dar) ya(es) Salama (Salaam). By then most of the hobours along the indian coast were not safe for arab merchants.
That is what we were told at school in those days and that is what it is.
 
Wajuzi wa historia,
Maranying majina ya sehemu huhusishwa na maana ya lilipo eneo, mgunduzi wake au mtu maarufu, au kitu cha ki historia kilichowahi kutokea hapo. Kwa mikoa yetu ya Tanzania, wilaya na miji mbali mbali, nini asili ya jina lake?
Naombeni kwa kila anayejua a comment kwa jina na asili yake. Itasaidia wengi kujua maana ya hayo majina. Karibuni.
 
Nilipata simuliwa kuhusu kijiji chetu cha KANTARE, kwamba zamani kijiji kile kilikuwa na SIMBA ambaye kwa kihaya anaitwa NTARE, hivo kijiji kile kupewa jina la KANTARE. Kipo wilaya ya Misenyi,Bwanjai
 
Soko kiarabu
Waarabu waliita solo aswakin
Mbantu kabatua sokoni
 
Kariakoo kweli ni Carrier Corps, sababu sio iko Dar es salaam tu, ipo pia Unguja na Kenya.
 
Duh, uzi wa siku nyingi huu! Inawezekana kuna wachangiaji wa huu uzi wamesharest in peace hapa! Live longer mliopo hai, R. I. P waliokufa. Shekilango=sheikh kilango. Kawe=car way.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…