popo bawa,kwa bibi,yemen,tandale,cinza kwa remi,samaki mbezi,fundi kira,naombeni yalivyotokea
Kiboriloni - Keep on rollingKiboriloni - Kibo Road
Kiboriloni - Keep on rolling
Unakaribia ukweli, hah hah!Asili ya jina lako mabel-am able ,teh teh teh ni utani tu ndugu.
Wandugu majina ya maeneo mbalimbali hapa TANZANIA na asili yake hebu tukumbushane machache kati ya haya :-
-KARIAKOO-carrier cool
-MSASANI-musa hasan
-BAGAMOYO-bwaga moyo
eti kuna maeneo mengine mnayoyajua ama ni haya haya au yapo mengine.
Sahihisho: Kariakoo - Carrier Corps
Ni sehemu ambayo walikuwa wanakaa wapagazi wakati huo. Ndiyo maana kuna Kariakoo hata Nairobi.
Saadani - Mwarabu alikuwa anaulizwa ni saa ngapi ili watu waende kuswali,
yeye aliwajibu 'saa dani', kwa maana kwamba saa ipo ndani.
Makuyuni - Penye mikuyu
Manyara - Manyero (kimbugwe), mahali wanyama wanapokunywa maji.
Serengeti - (kiMaasai) Mbuga isiyo na ukomo
Nimeshindwa kuzipitia sredi zote, sijuwi hii imewekwa Dar es salaam = Daari ssalaam
‎‎ (nyumba ya amani) wakati huo hata kibaka hakuna
What about olduvai?
Is not Olduvai, but Oldupai - (kiMaasai) - wild sisal (katani mwitu)