Asili na Maana ya Jina/majina ya sehemu mbalimbali Tanzania

Asili na Maana ya Jina/majina ya sehemu mbalimbali Tanzania

Tunapoelekea miaka 50 ya uhuru, ni vyema tukajua maana ya majina ya maeneo yetu, kila mmoja alipo atueleze maana ya jina la eneo mahali alipo Mimi niko Mwananyamala, (MwanaNyamaza usije ukaliwa na simba ) maana kulikuwa na pori lenye simba wengi. Na wewe je ulipo pana maana gani?
 
Kimara BARUTI
Baruti za serikali zilikuwa zikihifadhiwa hapa enzi hizo
 
Shinyanga. Kulikuwa na miti mingi kwa kisukuma iliitwa lnyanga, wazungu walishindwa kutamka na hivyo wakaongeza hizo herufi za mwanzo.
 
arusha.
Maji ya chai...rangi ya maji ya mtoni, yana rangi kama chai ya rangi sababu ya magadi.
Kwa mrefu... Kuna jamaa mmoja alikuwa mrefu na ndo alikuwa anaishi hilo eneo.
Fidfosi...kuna kambi ya field force unit hapo.
Kwa mromboo... Kulikuwa na mwenyeji hapo,alikuwa ni mrombo.
Sakina darajani...kuna daraja eneo hilo.
 
Habari wana JF,mwenye uelewa na chanzo,vyanzo vya majina ya sehem mbalmbal hapa dar anieahamishe kama k'koo,kinondon,mikochen,msasan,mbagala,bugurun nk. Si mbaya ukieleza hata maeneo ya mikoan.
Nawasilisha ....
 
Wazaramo wamekimbilia vikindu na msoga hawataki kusoma wamcheza mwali tu, wachache cm za tochi! He! He! He! He! He! He....! Waliobakia wa2ambie, na nyie wa bara mlowahi kuja hapa mzizima mtujuze sie tuliozaliwa karibuni, kwa wazee pemba miji ina maana zao lkn sikuuliza mie.
 
Kariakoo-Career Call sehemu ya makuli kupata ajira
Msasani-Kulikuwa na mwarabu akiitwa Mussa Hasan aliyekuwa na duka pekee hapo kijijini
Mwana nyamala-Kizaramo mtoto nyamaza,ambapo mama alikuwa anambembeleza mtotot katikati ya msitu uliokuwa na Simba hapo ilio mwananyamala leo.
Mikocheni-kulikuwa na miti mingi sana ya Mikoche ambayo hufanana na minazi
 
kawe-cow road!kulikuwa na barabara ya ng'ombe kwenda kiwandani wazungu wanatamka cow road wabongo wanachakachua kawe!
 
kunduchi-kulikuwa na mzungu mmoja anaishi huko alikuwa anawatania wabantu akiona wamevaa vibwaya ****** yanaonekana yeye akawa anasema "ona...***** uchi" akimaanisha mkund* upo uchi!wabongo wakapaita kunduchi
 
bagamoyo-bwagamoyo!yaani ukipelekwa huko kwa ajili ya utumwa inabidi uvunjike moyo kwamba hutarudi tena
 
saadani-ipo tanga,kulikuwa na mwarabu ana saa ya ukutani ile ya kizamani ina kengele,sasa ikilia wabantu wakawa wanamuuliza nini hiyo inalia ndani kwako!mwarabu anawajibu "saa dani" akimaanisha saa ipo ndani!
 
Kariakoo-Career Call sehemu ya makuli kupata ajira
Msasani-Kulikuwa na mwarabu akiitwa Mussa Hasan aliyekuwa na duka pekee hapo kijijini
Mwana nyamala-Kizaramo mtoto nyamaza,ambapo mama alikuwa anambembeleza mtotot katikati ya msitu uliokuwa na Simba hapo ilio mwananyamala leo.
Mikocheni-kulikuwa na miti mingi sana ya Mikoche ambayo hufanana na minazi

jamaa alikuwa anaitwa michael china but wazaramo walimuita mikocheni. hehehee
 
Kariakoo-Career Call sehemu ya makuli kupata ajira
Msasani-Kulikuwa na mwarabu akiitwa Mussa Hasan aliyekuwa na duka pekee hapo kijijini
Mwana nyamala-Kizaramo mtoto nyamaza,ambapo mama alikuwa anambembeleza mtotot katikati ya msitu uliokuwa na Simba hapo ilio mwananyamala leo.
Mikocheni-kulikuwa na miti mingi sana ya Mikoche ambayo hufanana na minazi

Mhhh kaka kama umepatia vile!!
 
jamaa alikuwa anaitwa michael china but wazaramo walimuita mikocheni. hehehee

mi nilisikia mchina anaitwa michael chang!ajabu ni kwamba miaka ya 90,2000 kulikuwa na mcheza tenis mkali duniani anaitwa michael chang sasa sijui ndio huyo alipokuwa mtoto
 
Kariakoo-Career Call sehemu ya makuli kupata ajira
Msasani-Kulikuwa na mwarabu akiitwa Mussa Hasan aliyekuwa na duka pekee hapo kijijini
Mwana nyamala-Kizaramo mtoto nyamaza,ambapo mama alikuwa anambembeleza mtotot katikati ya msitu uliokuwa na Simba hapo ilio mwananyamala leo.
Mikocheni-kulikuwa na miti mingi sana ya Mikoche ambayo hufanana na minazi

Kariakoo = carrier corps askari wabeba mizigo world war II
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Back
Top Bottom