Asili na Maana ya Jina/majina ya sehemu mbalimbali Tanzania

Asili na Maana ya Jina/majina ya sehemu mbalimbali Tanzania

Kariakoo-Career Call sehemu ya makuli kupata ajira
Msasani-Kulikuwa na mwarabu akiitwa Mussa Hasan aliyekuwa na duka pekee hapo kijijini
Mwana nyamala-Kizaramo mtoto nyamaza,ambapo mama alikuwa anambembeleza mtotot katikati ya msitu uliokuwa na Simba hapo ilio mwananyamala leo.
Mikocheni-kulikuwa na miti mingi sana ya Mikoche ambayo hufanana na minazi

I stand to be corrected, Kariakoo inatokana na neno Carrier Corps. Hii ilitokana na jinsi walivyokuwa wakiitwa askari wa Kibantu ambao walipigana vita vya pili vya dunia kwa upande wa mwingereza. Hilo eneo lilianzishwa baada ya wao kurudi kutoka vitani
 
bonyokwa-ni ile milima iliyoko kule ukitembea huku unapanda milima unakuwa kama umeinamishwa flani hivi!
 
Kariakoo is a ward of the Ilala District of Dar es Salaam, Tanzania. It has a population of 9,405 (2002).[SUP][1][/SUP] The name derives from a corruption of that of the British "Carrier Corps", that used to be based in this area. Today, Kariakoo is mainly known for its extensive market, that spans several city blocksand contributes substantially to Dar es Salaam's food provision as well as small-scale economy. Until recently Kariakoo was also one of the maindaladala "stations" in Dar es Salaam, although this function has now been moved to Ubungo.


History



The Kariakoo market today (2010)​

In pre-colonial times there was a large village in the area now known as Kariakoo. This village was frequently raided by slave traders. In the latter half of the 19th century, the area became a shamba (farm) belonging to the Sultan of Zanzibar. During German rule, 200 hectars of the shamba were bought by a German businessman named Schoeller, who rented the land to the Africans. At the same time, Dar es Salaam began to grow, and while Europeans built their houses in exclusive areas such as Oyster Bay, Kariakoo became Dar's main African settlement. In 1913, 15.000 out of the total 24.000 African inhabitants of Dar lived in Kariakoo.
In 1914 the German administration bought Kariakoo from Schoeller, with the intent of creating a formal African township according to the generalsegregationist strategy being applied in German East Africa. Concrete houses were built to accommodate the African population, and at that same time the market was established; yet, the advent of First World War delayed its actual opening.
In 1916 the British conquered Dar es Salaam, and Kariakoo was used as a base for the Carrier Corps.
In 1923 the market built by the Germans finally began to function. In the 1970s it was substantially restructured
 
Nasikia zamani mikocheni kulikuwa mabwawa ya mikengeja mitupu,kuanzia break point hadi mwenge kulikua na mikorosho mitupu,masaki na oysterbay,msasani walikua wanaishi wamakonde tu! Mbezi beach pori tupu wanyama wakali hadi simba walikuepo,mji ulikua unaishia ilala mwalimu house tu kwengine kote pori,wadau ebu wekeni mapicha ya zamani yanayoonyesha jiji la dar,pale uhamiaji kulikuwa na mibuyu mitupu.
 
Niliwahi kusimuliwa kuwa, palikuwa na mashindano ya kujua pombe aina ya gongo kutoka sehemu gani ni kali zaidi. Hapo ndipo gongo kutoka mboto ilipoanza kusifiwa: GONGO LA MBOTO bwana! Ndipo eneo hilo likapata hilo jina!
 
Tabata..kuna mhindi alikuwa na duka pande hizo,wateja walipokuwa wanakuja kuulizia kitu anawaambia "tabata" yaani utapata..
Magomeni..imetokana na ziwa magomeni lililokauka miaka dahari iliyopita.
Magomeni kwa macheni....Baa maarufu inaitwa Highway night park ipo magomeni mmiliki anaitwa macheni
Kidongo chekundu.....Kulikuwa na udongo mwekundu eneo lile
Posta...imetokana na kuwepo posta mpya na ya zamani
TANDALE KWA BIBI PAKA.................bibi maarufu kwa ufugaji wa paka.
Uwanja wa fisi.....inatokana na lifestyle ya watu wake.Pombe za kienyeji (mataptap),nyama za ajabu ajabu kwa ufupi maisha sege mnege!
 
ROMBO. Dada zetu walikuwa wanapenda sana ule mchezo wa waliooana. chaajabu wakawa hawaridhiki. wageni walipofika kule wakakuta vile wakasema. hawa wasichana ni waroho wa Mb....... so wote wa kule ni Waroho wa .....oo. mpaka leo ni Warombo
 
ROMBO. Dada zetu walikuwa wanapenda sana ule mchezo wa waliooana. chaajabu wakawa hawaridhiki. wageni walipofika kule wakakuta vile wakasema. hawa wasichana ni waroho wa Mb....... so wote wa kule ni Waroho wa .....oo. mpaka leo ni Warombo

Kama sikosei na wewe mrombo.Kwa hiyo na wewe ni mroho wa mb.........kama ulivyosema
 
Same; Wageni wa kwanza kwanza walionsafiri na reli ya kati walikiua wakiona vile vijiji vya mkoa wa kilimanjaro kuwa vimefanana fanana. Walifika same wazungu walisema "it is all the same" ndio jina SAME likafufuka!
 
kibororoni: kulikuwa na mzungu anashangaa mlima kilimanjaro hasa mlima kibo, akasema kibo alone, wachaga wakataka kuiga wakashindwa wakaishia kusema kibororoni
 
tangi-bovu...zamani kulikuwa na tangi kubwa bovubovu hivi...!
 
kuna anayefahamu buguruni-malapa, kimara-temboni,changanyikeni,makongo,goba,tegeta na bunju vilitokana na nini?
 
ROMBO. Dada zetu walikuwa wanapenda sana ule mchezo wa waliooana. chaajabu wakawa hawaridhiki. wageni walipofika kule wakakuta vile wakasema. hawa wasichana ni waroho wa Mb....... so wote wa kule ni Waroho wa .....oo. mpaka leo ni Warombo

ngoja wenyewe waje hapa.
 
  1. Dar Es Salaam-Bandar u salam-Bandari Salama
  2. Kariakoo -Carier crop-wabebaji wa mizigo sokoni kariakoo waswahili wakashindwa na kuamua kuunga
  3. Msasani-Musa Hassan-Mnyapara aliyekuwa akisimamia mashamba ya katani ambaye asili yake ni Ntwala hivyo wamakonde wengi wakaamua kuja kumuomba kazi na kwa kwa kuwa walikuwa hawajui anapoishi waliuliza kwa Mucha Hachani....Msasani imeungwa
  4. Mikocheni-Michael Chain Mmiliki wa mashamba ya katani yalliyokuwa yanaanzai palipo na Daraja la John Selander (Salenda Bridge)
  5. Kawe-actaully ni Cow Way, barabara maarfuru kwa kusagwa ng'ombe kufikishwa hapo Tangaynyika Packers kwa machinjo hence Cow-way (kawe imeungwa)
  6. Kigogo (ni kigogo kabisa cha kuvuka pale kigogo mwisho kila jumaosi walikuwa wanakusnayika kukiweka.."jamani leo siku ya kigogo"...(leo pamejengwa daraja)
  7. Tabata...Muarabu aliyekuwa ananunua korosho kwa mali kauli na kuwaahdi wachuuzi waje siku fulani watalipwa kwa kuwaambi "hapana tabu tabata (utapata pesa yako) akabatizwa jina la Mwarabau Tabata....
  8. Ilala..linatokana na makaburi ya pale Karume ambako hakukua na mengine hivyo kila alasiri watu walikuwa wakienda kuzika na wimbo wa Haila Illallah!!! (ILALA)
  9. UBUNGO, bungoni, MIKOROSHINI NA MABIBO NI MITI MINGI YA MATUNDA HAYO KUPATIKANA MAENEO HAYO
  10. Kunduchi....mtu aliyeonekana kutembea uchi maeneo hayo.............
  11. .........................................................................................................
  12. .............................................................................................................
  13. ............................................................................................................
Chanzo:Halmashauri ya Jiji la DSM-hISTORIA
 
we hujielewi.kwanza hapa c mahala pake kuweka huu uongo wako,pili kama unataka kukanusha maneno yangu basi uje na majina asilia ya sehemu hizo kabla ya kubatizwa kua na hayo majina mapya.
 
Back
Top Bottom