Nelsweeter
Senior Member
- Feb 17, 2012
- 141
- 68
Kariakoo-Career Call sehemu ya makuli kupata ajira
Msasani-Kulikuwa na mwarabu akiitwa Mussa Hasan aliyekuwa na duka pekee hapo kijijini
Mwana nyamala-Kizaramo mtoto nyamaza,ambapo mama alikuwa anambembeleza mtotot katikati ya msitu uliokuwa na Simba hapo ilio mwananyamala leo.
Mikocheni-kulikuwa na miti mingi sana ya Mikoche ambayo hufanana na minazi
I stand to be corrected, Kariakoo inatokana na neno Carrier Corps. Hii ilitokana na jinsi walivyokuwa wakiitwa askari wa Kibantu ambao walipigana vita vya pili vya dunia kwa upande wa mwingereza. Hilo eneo lilianzishwa baada ya wao kurudi kutoka vitani
