Ni mtanzania mwenye asili ya asia-mhindi Mohammed Akberi.anasema alianza kwa jina la bismillah akachukua tan zan ia toka tanganyika na zanzibar!jee serikali yetu haioni umuhimu ya kumpa walau nishani ktk sherehe za muungano huyu mtu? maana yupo hai, jana nimemsikia bbcswahili
Sidhani kama serikali yetu italikumbuka hilo! Eric Santonga Aliyetunga wimbo wa Nkhosi sikoleli afrika huko Afrika ya kusini hata kaburi lake halijulikani liko wapi! Na je unajua kirefu cha FIAT?
Muongo huyo hana lolote mbona hayupo kwenye vitabu vya historia
Ni mtanzania mwenye asili ya asia-mhindi Mohammed Akberi.anasema alianza kwa jina la bismillah akachukua tan zan ia toka tanganyika na zanzibar!jee serikali yetu haioni umuhimu ya kumpa walau nishani ktk sherehe za muungano huyu mtu? maana yupo hai, jana nimemsikia bbcswahili
kpnd hcho ilikuwa kubwa
kpnd hcho ilikuwa kubwa
Sidhani kama serikali yetu italikumbuka hilo! Eric Santonga Aliyetunga wimbo wa Nkhosi sikoleli afrika huko Afrika ya kusini hata kaburi lake halijulikani liko wapi! Na je unajua kirefu cha FIAT?
Hall of Fame |
[TD="width: 25%, align: right"] |
| The humble and obscure life of Enoch Sontonga is an antithesis of the dreams he inspired in generations of Africans through his famous composition "Nkosi Sikelel' iAfrika". Details of his short life are hard to come by. He was born in Uitenhage (Eastern Cape), in about 1873. Trained as a teacher at the Lovedale Institution, he was sent to a Methodist Mission school in Nancefield, near Johannesburg. He married Diana Mgqibisa, the daughter of a prominent minister in the African Methodist Episcopal Church and had one son. A choirmaster and photographer, he wrote the first verse and chorus of "Nkosi Sikelel' iAfrika" when he was 24 (1897), one of many songs he wrote for his pupils. Later the same year, he composed the music. The song is a prayer for God's blessing on the land and all its people. Sontonga's choir sang the song around Johannesburg and KwaZulu-Natal, and other choirs followed them. It was first sung in public in 1899 at the ordination of Rev Boweni, a Shangaan Methodist Minister. Most of Sontonga's songs were sad, witnessing the suffering of African people in Johannesburg, but they were so popular that after his death choirs used to borrow them from his wife. According to sources, she eventually sold the rights to the song for a mere sixpence. She died in 1929. Sontonga died of unknown causes at the young age of 32, in 1905. He was buried in Braamfontein, Johannesburg and his grave has only recently been discovered after intensive research. This was the announcement of the death of Enoch Sontonga: Translation of original Xhosa item in the newspaper "Imvo Zabantsundu", dated 27 June 1905. [TD="bgcolor: #eeeeee"] SONTONGA, E. Johannesburg. On 18 April 1905 ENOCH M. SONTONGA passed away. He was not sick this time. He, however, suffered at times from stomach ache to the extent that he would predict that these were his last days on this earth. One Sunday he requested to take a photograph of his wife. The wife refused because she was suffering a toothache that particular day. This young man was a composer for the Church of Rev. P.J. Mzimba at one location in Johannesburg. He was also a photographer and a lay preacher. He is survived by his wife and one child. He was born in Uitenhage and was 33 years old. |
kuna watu wanadai muungano ukivunjika tuendelee kuwa na tanzania hakuna kitu kama hicho viva TANGANYIKAMuungano ukivunjika anarudisha Sh 200 yetu na ngao!
ndo ivyotakbiiir-allahu akbar nilikua sijui hii kumbe nchi yetu ya tanzania ina jina la mtume?...ahmad....