Mgambilwa ni mntu
JF-Expert Member
- May 30, 2017
- 2,869
- 3,187
- Thread starter
-
- #61
Nakushukuru sana kwa kunifuatilia na yote uliyonukuu yanaonyesha una uelewa tu wa mambo mengi.
Hata hivyo, naomba nikutahadharishe kufananisha sisi Waafrika na sana was Israeli. Watu waliotoka barani Afrika miaka ya 100,000 - 60,000 hawakuwa Waafrika bali binadamu weusi kwa kuwa kipindi hicho hakukuwepo watu weupe wengine duniani japokuwa huko Ulaya kulikuwepo viumbe kama binadamu waliokuwa wakiitwa NEANDERTHAL na kutokana na uchunguzi wa Hivi karibuni unaonyesha kuwa, hawa binadamu waliotoka Afrika, ndio walizaliana na uzao wa Neanderthal na hivyo kuleta hii mbegu ya watu weupe. Sasa sitaki kufika huko maana kutokana na uvumbuzi wa sayansi na archeology bado haujafikia kukubalika moja kwa moja na wanahistoria.
Nikija kwenye suala lake muhimu la kuhusisha Waisraeli na Waafrika, mimi sitaki sana kuliingilia kwani kwa elimu yangu ndogo pamoja na uafrika na ukristo wangu, sijawahi kushawishika na hiyo hypothesis. Sababu ya kutokubaliana nayo ni hii:
- Kulingana na Kitabu kitakatifu cha Biblia, historia ya wanadamu imeanzia kwa Adam na Hawa. Tunaambiwa kuwa, mwaka ambao Yesu alizaliwa ndio tunapoanza kuhesabu AD. Sasa ukiangalia miaka kutoka Adam hadi YESU KRISTO ni miaka 4,000 na kutoka Yesu Kristo hadi sasa ni miaka 2017 ukijumulisha unapata miaka ipatayo 6,017 pekee. Hivyo utaona kuwa, kibiblia wanadamu wametokea kwenye uso wa dunia wakati watu weusi waliohamia huko Middle East walikuwa wameshabadilika kwa rangi.
- Kihistoria, inadaiwa Mapinduzi ya Maisha ya mwanadamu (NEOLITHIC REVOLUTION) ya miaka 10,000 - 8,000 yalitokea kabla mwaka wa kuumbwa mwanadamu kwenye biblia.
Nakushukuru sana kwa kunisaidia kunifafanulia baadhi ya vitu ambavyo nimekuwa Nina wasiwasi wa kuvieleza nitakapoweka andiko jipya. Uzuri yote hayo nitayaelezea in data form ili mtu akitaka kuelewa zaidi kuhusu Kabila moja ndio nafafanua.Bro, asante sana kwa ufafanuzi wako ambao sasa unanileta kwenye kitu ambacho nimekuwa na kifuatilia kwa muda. Kumbe kulikuwa na watu weusi ambao wewe umesema hawakuwa waafrika (Good) kwani sifa ya mwafrika ni ipi mpaka akaitwa mwafrika? nadhani ni weusi wake. Lakini niulize ni nani aliyetuita waafrika? na kwa nini alituita waafrika?? hapa Napata picha Fulani. Maswali kama haya yakipatiwa majibu tunaweza kufahamu hao watu weusi walioishi afrika kisha wakahamia nchi mbalimbali na huko wakazaa na hao uliowaita 'Neanderthal' na kutoa products nyeupe huoni ni wana wa afrika???? kuna ushahidi kwa baadhi ya wazungu wanapotaka kufahamu originality yao wanapima 'Ancestry DNA" (kama nimepatia) wengi wao wanajikuta vizazi vyao vilitokea Afrika bila shaka hapa unaweza kunisaidia ilikuwa kuwaje.
Hata hivyo umenipa mwanga mkubwa kwa kile ninachokitafuta. Katika pita pita zangu nimeona na hii hapa pia ebu iangalie kwa ufahamu wako unaweza kutuambia jambo:
DNA from ancient remains has been used to reconstruct thousands of years of population history in Africa.
Researchers sequenced the genomes of 16 individuals who lived between 8,000 and 1,000 years ago.
The data shows how the invention and spread of farming had a major impact on the genes of people in Africa - just as it did in Europe and Asia.
The findings are published in the journal Cell.
The results suggest that populations related to the indigenous people of southern Africa had a wider distribution in the past.
This southern African-like genetic background is found in hunter-gatherers from Malawi and Tanzania in the east of the continent. These hunters lived between 8,100 and 1,400 years ago.
But the later spread of farmers from western Africa had a major impact on the genetic make-up of people in surrounding regions.
Further DNA analysis revealed the hunter-gatherers in eastern Africa had mixed extensively with the incoming farmers.
The researchers estimate that the mixing occurred between 8,000 and 4,000 years ago.
The study also found possible evidence of migration into Africa from the Middle East. About 38% of the ancestry of a 3,100-year-old livestock herder from Tanzania was related to ancient farmers from the Levant region.
"These results document a prehistoric population landscape that we didn't know about," said co-author Pontus Skoglund, from Harvard Medical School, US.
"They document how farmer and herder migrations swept through eastern and southern Africa."
The researchers also found tentative evidence of adaptive evolution - changes driven by environmental pressure - for genes involved in taste in the ancient individuals. These taste receptors are known to be important for detecting and learning to avoid poisonous plants.
Ni bora na hata kula viporo. Mazingira ya Afrika yana changamoto nyingi kulinganisha na ya nchi za nje. Kutokana na maendeleo ya kisasa hasa ukuaji wa miji, umesababisha watu kutokuwa na picha nzuri ya maisha ya kiafrika yalivyokuwa kabla ya wakoloni.Tunakula sana vyakula vilivyolala/viporo lazima akili ilale.
Nakushukuru kwa post yako ambayo ina perspective ya kidini na usawa wa binadamu.Kwenye post moja, nimeposti hii kitu, naiweka hapa kwa sababu mambo ni yale yale, kwa kujazia tu vitu tunavyosoma kwenye madarasa yetu hapa Tanzania havitukomboi tuweze kufanya shughuli zetu kwa kiwango cha juu kama matarajio ya uumbaji.
The post
''
Suala sio kwamba mzungu ana akili sana suala ni kwamba wenzetu wamejitambua mapema kuliko sisi. Na nchi zetu maskini mtu akijitambua baada kutumia kujitambua kwake kusaidia wengine wajitambue, anatumia kujitambua kwake kuwa kitega uchumi na kuwanyonya wenzake.
Mungu alituumba binadamu wote na mfumo sawa wa utendaji wa akili, ukiacha wale wanaozaliwa na laana, au mapungufu ambao ni sehemu ndogo sana ya jamii.
Tunavyokua, kutokana na mazingira tunayokulia, wengine akili zao zinakua vizuri sawa sawa na matarajio wakati wa uumbaji na wengine akili zao zinadumaa.
Kipi kinaimarisha akili nakufanya kazi sawa sawa na matarajio wakati wa uumbaji. Watu wa dini wana lugha yao kwamba kuna watu waliopo gizani na wengine wapo nuruni. Lakini hii ni lugha tu ya siri, uhalisia ni kwamba kuna watu utendaji wao wa akili uko juu (nuruni) na wengine utendaji wao wa akili uko chini (gizani). Kitu kikubwa cha kwanza cha kutambua wakati unapanga kuimarisha afya ya akili na hivyo kuweza kuvumbua vitu mbalimbali na kutawala ulimwengu ni kwamba tumeumbwa na asili mbili, Roho na mwili. Kwenye asili ya roho kuna asili ya roho ya dhambi na asili ya roho takatifu.
Kinachotokea hapa watu waliopo gizani, yaani utendaji kazi wa akili upo chini, kwa kuongezea yaani wapo jehanum, asili inayofanya kazi ni ya dhambi. Hii asili haiwezi kuleta mabadiliko makubwa duniani, ni asili ya mateso ndiyo ipo nchi maskini. Kwa hiyo ukitambua uwepo wa asili takatifu ya Mungu ya kiroho ambayo ukiifikia unakuwa nuruni yaani mbinguni, ndipo hapo utakapoitafuta kwa bidii na kila mtu ana kibali cha kuifikia bure bila kulipa gharama yeyote.
Tunaifikia vipi asili takatifu ya Mungu, kwa mabudha wana mfumo wao wa kuifikia hiyo asili takatifu ya Mungu, Mimi nimempokea Yesu kuwa Bwana na Mwokozi wangu kwa hiyo njia yetu sisi wakristo ni neno la Mungu. Watu waliopo gizani hawatambui tu neno la Mungu ni dawa ya akili. Ili upone unahitaji usome neno la Mungu mara nyingi kwa siku, kwa makini, kwa kurudia rudia, taratibu huku ukiweka dhamira ya kulitii.
Neno la Mungu litasafisha moyo wako, na hivyo kufufua asili yako takatifu iliyolala. Baada ya hapo utashangaa unaweza kukaa meza moja na Trump 'ukafanya arguments' kwa sababu siri za maendeleo utakuwa nazo na unaweza kufanya maendeleo.
Ukishaiponya akili kiroho, hapo sasa utajifunza mahitaji mbalimbali ya mwili ambayo ni chakula bora, mazoezi. n.k
Kwa hiyo napinga kwamba Mzungu ana akili zaidi yetu, ila neno analoishi nalo limeboresha afya yake ya akili ukilinganisha na neno tunaloishi nalo sisi.
Ambaye hajaelewa nasisitiza, nchi maskini sehemu kubwa ya raia wake wapo gizani, yaani wapo jehanum, yaani wana ugonjwa wa akili, yaani utendaji wa akili zao upo chini na tiba ni neno la Mungu''
Mkuu ili swala la africus kuwa ndo wagunduz wa kwanza wa moto umelitoa wap,asee embu tuwe serious tunapoleta hizi mambo za kujifunza umu ukurupukaji sio mzr,kasome vzr mkuu nakushauri achana na artificial nkimaanisha (sayansi)ambayo ndo chanzo kikubwa cha kutuchanganya tusifaamu ukweli wap tumetoka na tunapokwenda,chukua bible zimiksi za wayahudi na zetu pia funua sana vitabu kadha wa kadha,...wanadamu tumeanza mbali aya mambo madg dg ya mpka cc kuja katk bara la africa na kuishi mapongoni ni mafikio tu embu rud nyuma kabisa ndipo uje uku mwishoni...,ILA HII KITU KAMA MKO SERIOUS MNAHITAJI KUJITAMBUA ANZENI NA MZIZI WENU NDIPO MJE UKU MWISHONI,pia swala la akili(utashi) ilo msijisumbue jipeni jibu ninyi wenyewe lililo hai,mfn_umejaaliwa mtt katk uhusiano wako ww na mke huyo mtoto aliyezaliwa mpatie vyakula vyote,mnaita mlo kamili cjui,mpatie ivyo vyakula vya kumjenga kiakili,kimwili alafu mfungie ndani,usimpereke shule,usimruhusu kuckilza hata redio wala kutizm tv..muwe mnawasiliana nae kawaida tu...jibu utalopata,uyu mtt atakuwa kama mpungufu wa akili...pia kitu kingine,mpatie mtt pia hivyohivyo vyakula vya kumjenga kiakili mpeleke shule,atasoma vzr ila lazima apoteze seem unaijua??,kitu kinaitwa (ubunifu)kwann kakosa unajua sababu?,mitaala ya kuongozwa upotofu na makaririsho ya udumavu wa akili,unajua wenzetu weupe wanapataje elimu yao?na kwa maangalizi yapi?,USITOE UTETEZI KUWA MBONA TUNA WASOMI WENGI NA WANAFANYA KAZI IDARA TOFAUTI!,unaweza nambia ni idara gani na zipoje?,je ni enderevu au dumavu,endapo dumavu kumbe basi zipo na zitakuwepo hazina movement zaidi ya changes za waajiliwa,ZIPO TAASISI ZENYE UENDELEVU KIAKILI,KIMAUMBO,KIMAJONGEO NA KUJA KUBAKIA KIHISTORIA,najua ntakua nimekuacha na maswali mengi ila yenye kujibika kirahisi,nakutajia shirika mojawapo kubwa lenye uajili wa mtu mwenye akili na akili yenye wendelevu,ubunifu n.k NASA,hapo mkuu kila term wanasonga mbele kila sekunde na dakika akili zinapanda za watendaji wake wa kazi...yapo mashirika mengi ila nimewataarifu tu kiufupi,kama mko tayar kumdadavua mwanadamu mweusi muanze serious.
Mkuu ili swala la africus kuwa ndo wagunduz wa kwanza wa moto umelitoa wap,asee embu tuwe serious tunapoleta hizi mambo za kujifunza umu ukurupukaji sio mzr,kasome vzr mkuu nakushauri achana na artificial nkimaanisha (sayansi)ambayo ndo chanzo kikubwa cha kutuchanganya tusifaamu ukweli wap tumetoka na tunapokwenda,chukua bible zimiksi za wayahudi na zetu pia funua sana vitabu kadha wa kadha,...wanadamu tumeanza mbali aya mambo madg dg ya mpka cc kuja katk bara la africa na kuishi mapongoni ni mafikio tu embu rud nyuma kabisa ndipo uje uku mwishoni...,ILA HII KITU KAMA MKO SERIOUS MNAHITAJI KUJITAMBUA ANZENI NA MZIZI WENU NDIPO MJE UKU MWISHONI,pia swala la akili(utashi) ilo msijisumbue jipeni jibu ninyi wenyewe lililo hai,mfn_umejaaliwa mtt katk uhusiano wako ww na mke huyo mtoto aliyezaliwa mpatie vyakula vyote,mnaita mlo kamili cjui,mpatie ivyo vyakula vya kumjenga kiakili,kimwili alafu mfungie ndani,usimpereke shule,usimruhusu kuckilza hata redio wala kutizm tv..muwe mnawasiliana nae kawaida tu...jibu utalopata,uyu mtt atakuwa kama mpungufu wa akili...pia kitu kingine,mpatie mtt pia hivyohivyo vyakula vya kumjenga kiakili mpeleke shule,atasoma vzr ila lazima apoteze seem unaijua??,kitu kinaitwa (ubunifu)kwann kakosa unajua sababu?,mitaala ya kuongozwa upotofu na makaririsho ya udumavu wa akili,unajua wenzetu weupe wanapataje elimu yao?na kwa maangalizi yapi?,USITOE UTETEZI KUWA MBONA TUNA WASOMI WENGI NA WANAFANYA KAZI IDARA TOFAUTI!,unaweza nambia ni idara gani na zipoje?,je ni enderevu au dumavu,endapo dumavu kumbe basi zipo na zitakuwepo hazina movement zaidi ya changes za waajiliwa,ZIPO TAASISI ZENYE UENDELEVU KIAKILI,KIMAUMBO,KIMAJONGEO NA KUJA KUBAKIA KIHISTORIA,najua ntakua nimekuacha na maswali mengi ila yenye kujibika kirahisi,nakutajia shirika mojawapo kubwa lenye uajili wa mtu mwenye akili na akili yenye wendelevu,ubunifu n.k NASA,hapo mkuu kila term wanasonga mbele kila sekunde na dakika akili zinapanda za watendaji wake wa kazi...yapo mashirika mengi ila nimewataarifu tu kiufupi,kama mko tayar kumdadavua mwanadamu mweusi muanze serious.
Nakushukuru sana kwa mchango wako na jinsi ulivyoweka data muhimu kwa ajili ya uchambuzi. Hata hivyo unakosea sana kunikashifu kwa kuniita mjinga. Ulipaswa tu kuchangia made halafu tuwaachie members wengine waamue ukweli wao kwa sababu ukweli wako uko pale uwezo wa akili yako ilipoishia but hiyo haimaanishi akili yako ilipoishia ndio mwisho wa ukweli.LET THE ANCESTORS SPEAK THEMSELVES: DRY BONES IN KINGS VALLEY:
sijui kwanini umeondosha ushahidi wangu wa comment yangu ya kwanza? halafu ulivyokuwa mchanga sana, sijui nianze wapi ili nisikuache. Lakini kwakua sina mda naomba soma kwanza ushahidi kuwa Wagriki, Warumi walipataje ustaarabu na elimu yao? wanafalsafa wao akina Aristotle, Heredotus, plato......... Mungu wao ni huyu hapaView attachment 594754
kisha ikaja hii hapaView attachment 594755
halafu hapa vipi View attachment 594756
sijui niendelee? View attachment 594757
hapa jeView attachment 594764 unajua anafanya nini huyu hapa? anaegelezea ili ahadae wajinga kwamba kagundua, hapa ni Misri. Mzungu anakopy mambo ambayo babu zetu waliandika kwenye mawe, kumbuka hawawezi kufuta. leo naishia kwa hizi tu vielelezo. maana ni zaidi ya maelezo ya maneno.
Mwisho naomba nionyeshe ancient stone megastructure a.k.a PYRAMID, with stonebooks like in Africa in Europe. Na kwanini Wazungu waliwaita WAHUNZI kuwa ni BLACKSMITH kwa Kiingereza na Sio WHITESMITH?
wametumia DINI, MIFUMO DUNI YA MITAALA YA ELIMU NA MAUAJI MAKUBWA (BLACK CLEANSING), ili kudumaza akili, fikra na kutia woga wa kufa na hivyo weusi wakawa wafuasi wa wazungu wakaacha utamaduni wao ambao ulibeba mila na desturi ikiwamo dini zao na hapo ndipo anguko lilipotokea.
Kuhusu ujinga wako wa NASA na kujibu kwa fumbo hili hapa....View attachment 594766 halafu soma bibilia Kitabu cha mwanzo Sura ya 1 mstari wa 6-11, haalafu uje hapa na upumbavu wa graphics za NASA. Acha kukariri fanya utafiti kwanza. wewe ni mtu muhimu sana katika mapambano haya ya maarifa.
WE NEED TO DO MORE RESEARCHES ON OUR ANCIENT CIVILIZATION IN ORDER TO BURST THE MIND OF THE YOUNG ONES.
THERE IS NO A THING CALED OUTERSPACE, WE ARE DOOMED HERE ON EARTH. NINA BOMU LA HAWA NASA AMBALO NIKILILIPUA HAPA, MTAKUA KIMYA MAISHA. THESE BASTARDS ARE LIAR WITH THEIR GRAPHICS.
Nimekuwa nashindwa kujibu vyema post yako kwa sababu natumia muda mwingi ukanda andiko linalohusu Tanzania, may be sooner or later nitaliweka tulijadili vyema.LET THE ANCESTORS SPEAK THEMSELVES: DRY BONES IN KINGS VALLEY:
sijui kwanini umeondosha ushahidi wangu wa comment yangu ya kwanza? halafu ulivyokuwa mchanga sana, sijui nianze wapi ili nisikuache. Lakini kwakua sina mda naomba soma kwanza ushahidi kuwa Wagriki, Warumi walipataje ustaarabu na elimu yao? wanafalsafa wao akina Aristotle, Heredotus, plato......... Mungu wao ni huyu hapaView attachment 594754
kisha ikaja hii hapaView attachment 594755
halafu hapa vipi View attachment 594756
sijui niendelee? View attachment 594757
hapa jeView attachment 594764 unajua anafanya nini huyu hapa? anaegelezea ili ahadae wajinga kwamba kagundua, hapa ni Misri. Mzungu anakopy mambo ambayo babu zetu waliandika kwenye mawe, kumbuka hawawezi kufuta. leo naishia kwa hizi tu vielelezo. maana ni zaidi ya maelezo ya maneno.
Mwisho naomba nionyeshe ancient stone megastructure a.k.a PYRAMID, with stonebooks like in Africa in Europe. Na kwanini Wazungu waliwaita WAHUNZI kuwa ni BLACKSMITH kwa Kiingereza na Sio WHITESMITH?
wametumia DINI, MIFUMO DUNI YA MITAALA YA ELIMU NA MAUAJI MAKUBWA (BLACK CLEANSING), ili kudumaza akili, fikra na kutia woga wa kufa na hivyo weusi wakawa wafuasi wa wazungu wakaacha utamaduni wao ambao ulibeba mila na desturi ikiwamo dini zao na hapo ndipo anguko lilipotokea.
Kuhusu ujinga wako wa NASA na kujibu kwa fumbo hili hapa....View attachment 594766 halafu soma bibilia Kitabu cha mwanzo Sura ya 1 mstari wa 6-11, haalafu uje hapa na upumbavu wa graphics za NASA. Acha kukariri fanya utafiti kwanza. wewe ni mtu muhimu sana katika mapambano haya ya maarifa.
WE NEED TO DO MORE RESEARCHES ON OUR ANCIENT CIVILIZATION IN ORDER TO BURST THE MIND OF THE YOUNG ONES.
THERE IS NO A THING CALED OUTERSPACE, WE ARE DOOMED HERE ON EARTH. NINA BOMU LA HAWA NASA AMBALO NIKILILIPUA HAPA, MTAKUA KIMYA MAISHA. THESE BASTARDS ARE LIAR WITH THEIR GRAPHICS.
Kuna watu humu wanang'ang'ania kuhusisha ustaarabu wa Misri na sisi Waafrika. Hata kama walikuwa ni waafrika hakukuwepo mwendelezo unaonyesha kuwa na mahusiano na mabavu zetu wa Sub Saharan Africa kutokana na kuzuiwa kwa Jangwa la Sahara. Kama walikuwa wenzetu, una majibu ya kwa nini, huku Afrika hatukuwahi kuendeleza maendeleo yao baada ya Dola hiyo kuanguka?LET THE ANCESTORS SPEAK THEMSELVES: DRY BONES IN KINGS VALLEY:
sijui kwanini umeondosha ushahidi wangu wa comment yangu ya kwanza? halafu ulivyokuwa mchanga sana, sijui nianze wapi ili nisikuache. Lakini kwakua sina mda naomba soma kwanza ushahidi kuwa Wagriki, Warumi walipataje ustaarabu na elimu yao? wanafalsafa wao akina Aristotle, Heredotus, plato......... Mungu wao ni huyu hapaView attachment 594754
kisha ikaja hii hapaView attachment 594755
halafu hapa vipi View attachment 594756
sijui niendelee? View attachment 594757
hapa jeView attachment 594764 unajua anafanya nini huyu hapa? anaegelezea ili ahadae wajinga kwamba kagundua, hapa ni Misri. Mzungu anakopy mambo ambayo babu zetu waliandika kwenye mawe, kumbuka hawawezi kufuta. leo naishia kwa hizi tu vielelezo. maana ni zaidi ya maelezo ya maneno.
Mwisho naomba nionyeshe ancient stone megastructure a.k.a PYRAMID, with stonebooks like in Africa in Europe. Na kwanini Wazungu waliwaita WAHUNZI kuwa ni BLACKSMITH kwa Kiingereza na Sio WHITESMITH?
wametumia DINI, MIFUMO DUNI YA MITAALA YA ELIMU NA MAUAJI MAKUBWA (BLACK CLEANSING), ili kudumaza akili, fikra na kutia woga wa kufa na hivyo weusi wakawa wafuasi wa wazungu wakaacha utamaduni wao ambao ulibeba mila na desturi ikiwamo dini zao na hapo ndipo anguko lilipotokea.
Kuhusu ujinga wako wa NASA na kujibu kwa fumbo hili hapa....View attachment 594766 halafu soma bibilia Kitabu cha mwanzo Sura ya 1 mstari wa 6-11, haalafu uje hapa na upumbavu wa graphics za NASA. Acha kukariri fanya utafiti kwanza. wewe ni mtu muhimu sana katika mapambano haya ya maarifa.
WE NEED TO DO MORE RESEARCHES ON OUR ANCIENT CIVILIZATION IN ORDER TO BURST THE MIND OF THE YOUNG ONES.
THERE IS NO A THING CALED OUTERSPACE, WE ARE DOOMED HERE ON EARTH. NINA BOMU LA HAWA NASA AMBALO NIKILILIPUA HAPA, MTAKUA KIMYA MAISHA. THESE BASTARDS ARE LIAR WITH THEIR GRAPHICS.
Who is a black person? In short a black person is the one who is not white. Obama was the first black president of USA. However his father was black and a white mother yet he is classified as black. The same would happen when the father is white and a black mother so long as one of the parent is a mixed race. Asians are also non whites. There are some Asians eg Indians who are even more black in color than Africans and they are segregated on the basis of their color. The untouchable are also Indians yet due to caste system they are regarded as sub humans. The human race is thus divided into such groups by those who regard themselves to be superior to others. Whites, Asians, Reds, Blacks, Aborigines and Pygmies.These are the Intelligence Quotient (IQ) of the Black Peoples throughout the World:
Source: Lindsay Robert "Blacks are Least Intelligence Race of All."
- World peoples average - 89.
- Amerindians; Polynesians; Micronesians and Melanesians - 87.
- US Blacks; British Blacks - 86.
- Modern Aborigines (White Aborigin mix) - 85.
- Arabs - 83.
- South Asians - 81.
- Caribbean Blacks - 72.
- African Blacks - 71.
- Papuans - 64.
- Aborigines (Pure blood) - 62.
- Bushmen - 50.
- Pygmies - 50.
Thanx man for your piece of work.Who is a black person? In short a black person is the one who is not white. Obama was the first black president of USA. However his father was black and a white mother yet he is classified as black. The same would happen when the father is white and a black mother so long as one of the parent is a mixed race. Asians are also non whites. There are some Asians eg Indians who are even more black in color than Africans and they are segregated on the basis of their color. The untouchable are also Indians yet due to caste system they are regarded as sub humans. The human race is thus divided into such groups by those who regard themselves to be superior to others. Whites, Asians, Reds, Blacks, Aborigines and Pygmies.
Sawa ngoja nijitahidi maana imechukua vigezo vingi na kila kigezo naki-rank kwa kila kabila.Nasubiri hiyo ya watanzania
Watu kwa makosa huwa wanadhani wazungu wote wanalingana kwa akili, siyo nao wana utofauti mkubwa tu kama na sisi tulivyo huku Afrika. Sitaki kuwachanganya na ya Wazungu bali ni-focus kwenye Afrika yetu kwani ndiko mwanga wetu uliko.Nasubiri hiyo ya watanzania