LET THE ANCESTORS SPEAK THEMSELVES: DRY BONES IN KINGS VALLEY:
sijui kwanini umeondosha ushahidi wangu wa comment yangu ya kwanza? halafu ulivyokuwa mchanga sana, sijui nianze wapi ili nisikuache. Lakini kwakua sina mda naomba soma kwanza ushahidi kuwa Wagriki, Warumi walipataje ustaarabu na elimu yao? wanafalsafa wao akina Aristotle, Heredotus, plato......... Mungu wao ni huyu hapa
View attachment 594754
kisha ikaja hii hapa
View attachment 594755
halafu hapa vipi
View attachment 594756
sijui niendelee?
View attachment 594757
hapa je
View attachment 594764 unajua anafanya nini huyu hapa? anaegelezea ili ahadae wajinga kwamba kagundua, hapa ni Misri. Mzungu anakopy mambo ambayo babu zetu waliandika kwenye mawe, kumbuka hawawezi kufuta. leo naishia kwa hizi tu vielelezo. maana ni zaidi ya maelezo ya maneno.
Mwisho naomba nionyeshe ancient stone megastructure a.k.a PYRAMID, with stonebooks like in Africa in Europe. Na kwanini Wazungu waliwaita WAHUNZI kuwa ni BLACKSMITH kwa Kiingereza na Sio WHITESMITH?
wametumia DINI, MIFUMO DUNI YA MITAALA YA ELIMU NA MAUAJI MAKUBWA (BLACK CLEANSING), ili kudumaza akili, fikra na kutia woga wa kufa na hivyo weusi wakawa wafuasi wa wazungu wakaacha utamaduni wao ambao ulibeba mila na desturi ikiwamo dini zao na hapo ndipo anguko lilipotokea.
Kuhusu ujinga wako wa NASA na kujibu kwa fumbo hili hapa....
View attachment 594766 halafu soma bibilia Kitabu cha mwanzo Sura ya 1 mstari wa 6-11, haalafu uje hapa na upumbavu wa graphics za NASA. Acha kukariri fanya utafiti kwanza. wewe ni mtu muhimu sana katika mapambano haya ya maarifa.
WE NEED TO DO MORE RESEARCHES ON OUR ANCIENT CIVILIZATION IN ORDER TO BURST THE MIND OF THE YOUNG ONES.
THERE IS NO A THING CALED OUTERSPACE, WE ARE DOOMED HERE ON EARTH. NINA BOMU LA HAWA NASA AMBALO NIKILILIPUA HAPA, MTAKUA KIMYA MAISHA. THESE BASTARDS ARE LIAR WITH THEIR GRAPHICS.