Asili ya kudumaa kwa akili ya Mwafrika kulinganisha na Wanadamu wengine

Asili ya kudumaa kwa akili ya Mwafrika kulinganisha na Wanadamu wengine

Ni vyema kukumbuka kuwa, sisi Waafrika Tumeachana na ndugu zetu wanadamu wengine miaka ipatayo 100,000 - 60,000. Tena sisi Wabantu ambao ni asilimia 95% ya Watanzania tumetofautiana na Races zilizoko Afrika kama Hamites (Waethiopia na Wasomali) na Semites (Waarabu). Hao ndio vizazi vilivyotoka ndani ya Afrika na baadaye kurudi tena. Ndiyo maana hatutofautiani sana na Waethiopia japokuwa katika mgawanyo wa races, Waethiopia wamewekwa kwenye Kundi kubwa la Indo-Ganges huku sisi Wabantu tukiwa kwenye Negroid.
Aidha, tumetofautiana na Khoi-San (Bushmen) kipindi cha miaka 70,000. Miaka yote hiyo ina athari kwenye ujenzi wa akili.
Hebu fikirieni, wenzetu kwenye miaka ya 6,000 walikuwa wameshaweza kuwa na teknolojia ya kujenga nyumba. Sisi Waafrika tulichelewa sana kujenga nyumba hasa baada ya kuingia kwa teknolojia ya chuma. Ndiyo maana hadi wakoloni wanakuja karne ya 19 Afrika, bado kuna baadhi ya jamii zilikuwa zikiishi mapangoni bila kujenga nyumba.
 
Ugali wa mahindi hudumaza akili
Tena ushukuru ugali wa mahindi ambayo yanasitawi maeneo yenye Hali nzuri ya hewa. Nasaba za mababu zetu hazikujengwa na chakula cha mahindi kwa kiwango kikubwa kwani mahindi yaliletwa na Wareno kutoka Bara la Amerika katika Karne ya 16 nchini mwetu. Chakula kikuu cha Waafrika wengi kilikuwa ni mtama na jamii zake (maeneo yenye ukame) na ndizi (maeneo yenye Hali nzuri ya hewa).
 
Pamoja na hayo yote mtoa mada pia chakula tunachokula kinachangakia kwenye brain development. Angalia maaneo wanayokula sana vegetables bila protein utaona thinking capacity yao iko chini sana. Lishe na wenyewe ni muhimu sana toka mama akiwa mjamzito. Waafrika hatuna utamaduni wa kuwaangalia mama wajawazito kuna makabila nyama anapewa baba tu na si mama wakati huyu mama ndio anajukumu LA kuzaa na kulea matokeo yake mama anazaa watoto ambao wako stunted kiakili mpk kimwili halafu tunashangaa mbona watu Fulani hawana uwezo mzuri wa kufikiria.
 
Pamoja na hayo yote mtoa mada pia chakula tunachokula kinachangakia kwenye brain development. Angalia maaneo wanayokula sana vegetables bila protein utaona thinking capacity yao iko chini sana. Lishe na wenyewe ni muhimu sana toka mama akiwa mjamzito. Waafrika hatuna utamaduni wa kuwaangalia mama wajawazito kuna makabila nyama anapewa baba tu na si mama wakati huyu mama ndio anajukumu LA kuzaa na kulea matokeo yake mama anazaa watoto ambao wako stunted kiakili mpk kimwili halafu tunashangaa mbona watu Fulani hawana uwezo mzuri wa kufikiria.
Yaani wewe Dorrlyn subiri tu, hii thread nimeileta maalum kuwaandaa kisaikolojia kwani mpango ni kuwaletea orodha ya makabila yenye akili kubwa za utambuzi darasani nchini Tanzania, kuanzia Kabila la kwanza hadi la mwisho.
Umesema vitu vizuri, nitajaribu kuorodhesha vitu vya muhimu kwa ajili ya ukuaji wa afya na akili za jamii na makabila 126 nchini Tanzania. Wach out soon.
 
Yes uko sawa kabisa. Ila ninachotaka kukwambia ambacho watu huwa hawakielewi ni kuwa, kwa kawaida jamii haiwezi ikakumbatia mila ama utamaduni fulani yenyewe tu bali mila hizo zinatokana na "level ya maendeleo ya uzalishaji mali katika jamii hiyo husika." Hivyo sisi Waafrika tunaendelea kukumbatia egalitarianism kutokana na umasikini wetu na elimu duni.
Mfano kumekuwepo dhana isiyo sawa kuwa, watu wa Pwani hawafanyi vizuri kielimu kutokana na kuendekeza mila "potofu." Ukweli ni kuwa, tabia zinazoonyeshwa na watu hao kwa kutopenda elimu, inatokana na level of development ya jamii hizo kwenye eneo la utambuzi (cognition).
Ndiyo maana unaweza kukuta jamii fulani ina maendeleo makubwa ya kiuchumi lakini wako weak sana kielimu. Mfano: nchi za kiarabu na Afrika zenye utajiri wa mafuta, zina kipato kikubwa sana kiasi cha baadhi kuzidi nchi za Ulaya kwenye kipato. Hata hivyo, ukienda kwenye eneo la elimu hasa teknolojia utashangaa wanaonyesha sifa zote za nchi masikini.
Ndiyo maana watalaam wanakwambia, nchi tajiri ni zile zenye watu wenye akili na siyo kuwa na rasilimali lukuki lakini mnategemea teknolojia kutoka nje. Angalia nchi za Mashariki ya Mbali (Korea, Taiwan, Japan, Philippines, Thailand, Malaysia na Singapore.
Mgambilwa jiulize kama ulisoma primary na sec. hapa Tanzania, kwanini miaka ya 60-80s kama kulikuwa na watoto toka Bukoba, Moshi na Mbeya walikuwa wanaongoza shuleni? Chakula mimi ndo jibu na attitude ya wazazi towards education. Hasahasa chakula. Ndizi zina madini ya potassium ambayo ni mhimu katika kujenga ubongo na udongo wa sehemu hizi ni mzuri kutoa madini na vimelea ambavyo vinamjenga mtoto. Siku za karibuni ndizi zilipoharibika watoto kama wa Bukoba elimu imeshuka sana sababu wameanza kula wanga zaidi kuliko ndizi na maharagwe ambayo yana protein na hasa baada ya kubinafsisha ziwa victoria watu wakashindwa kumudu kitoweo ambacho kiliku k
 
Tena ushukuru ugali wa mahindi ambayo yanasitawi maeneo yenye Hali nzuri ya hewa. Nasaba za mababu zetu hazikujengwa na chakula cha mahindi kwa kiwango kikubwa kwani mahindi yaliletwa na Wareno kutoka Bara la Amerika katika Karne ya 16 nchini mwetu. Chakula kikuu cha Waafrika wengi kilikuwa ni mtama na jamii zake (maeneo yenye ukame) na ndizi (maeneo yenye Hali nzuri ya hewa).
Wacha Maneno Mengi Mahindi yamethibitishwa kisayansi kuwa yanadumaza Akili
 
Wacha Maneno Mengi Mahindi yamethibitishwa kisayansi kuwa yanadumaza Akili
Najua hukunielewa nilichomaanisha. Sikuwa nasifia mahindi na ndiyo maana kwenye post zote nilizoweka sija-focus kwenye nutrients bali nilijikita kwenye uzalishaji wa chakula cha kutosha.
Mambo ya kupata mlo kamili (wenye nutrients saba) yameanza baada ya kuja kwa wakoloni. Zamani kuna makabila mengi nchini hasa ya Ukanda wa Kati hadi Kusini ya mwambao wa Ziwa Victoria, hayakuwa na uhakika wa chakula kutokana na maeneo waliyoishi kupata mvua chache (chini ya mm 900) na zisizo za uhakika (unreliable).
Mambo ya kuchagua vyakula yaliwezekana tu kwenye maeneo yaliyokuwa na hali nzuri hasa ya milimani na Kanda ya Ziwa.
 
Mgambilwa jiulize kama ulisoma primary na sec. hapa Tanzania, kwanini miaka ya 60-80s kama kulikuwa na watoto toka Bukoba, Moshi na Mbeya walikuwa wanaongoza shuleni? Chakula mimi ndo jibu na attitude ya wazazi towards education. Hasahasa chakula. Ndizi zina madini ya potassium ambayo ni mhimu katika kujenga ubongo na udongo wa sehemu hizi ni mzuri kutoa madini na vimelea ambavyo vinamjenga mtoto. Siku za karibuni ndizi zilipoharibika watoto kama wa Bukoba elimu imeshuka sana sababu wameanza kula wanga zaidi kuliko ndizi na maharagwe ambayo yana protein na hasa baada ya kubinafsisha ziwa victoria watu wakashindwa kumudu kitoweo ambacho kiliku k
Nasikitika nimechelewa kuiona post yako but umeweka vitu brilliant kabisa.
Kwa kuwa ninaandaa taarifa ya makabila yanayoongoza kwa akili Tanzania kuanzia ya kwanza hadi la mwisho, nitalielezea vyema masuala yote hayo, ikiwemo uwezo wa makabila uliyoyataja, pamoja na nguvu ya ndizi kwenye akili.
Subiri kidogo. Nashukuru kuwa umeshaanza kunotice tatizo kwa Wahaya. Siyo Wahaya tu kuna makabila mengine pia nayafahamu hayana tena sifa kali za zamani huku baadhi ya yaliyokuwa haya nguvu sana, yameibuka kwa namna ya kutisha.
 
Nasikitika nimechelewa kuiona post yako but umeweka vitu brilliant kabisa.
Kwa kuwa ninaandaa taarifa ya makabila yanayoongoza kwa akili Tanzania kuanzia ya kwanza hadi la mwisho, nitalielezea vyema masuala yote hayo, ikiwemo uwezo wa makabila uliyoyataja, pamoja na nguvu ya ndizi kwenye akili.
Subiri kidogo. Nashukuru kuwa umeshaanza kunotice tatizo kwa Wahaya. Siyo Wahaya tu kuna makabila mengine pia nayafahamu hayana tena sifa kali za zamani huku baadhi ya yaliyokuwa haya nguvu sana, yameibuka kwa namna ya kutisha.


ukiweka naomba unitag mkuu
 
We are less evolved. Jamii yetu imebaki ndani ya kiasi cha kilometa zisizozidi elf20 ndani ya eneo ambalo ni asili kabisa ya mwanadamu, ancestors wetu walifanya kosa kubwa sana kumigrate kuelekea kusini, it was a dead end kwa sababu beyond Southern Africa hakukuwa na dalili yoyote tena ya nchi kavu ambayo inewafanya kuthubutu kuventure nje ya bara, hivo wakalazimika kubaki ndani ya bara na kujikuta wakikutana na vitu vilevile hivyo akili haikukutana na challenges ngeni ambazo zingefanya akili zao ziwe active na kujifunza mambo mengi zaidi.
 
Wacha Maneno Mengi Mahindi yamethibitishwa kisayansi kuwa yanadumaza Akili
Kiukweli kabisa skuiz nkila ugali nakua hata mvivu wa kufikiria na nakua siupend sijui tatzo nini
 
We are less evolved. Jamii yetu imebaki ndani ya kiasi cha kilometa zisizozidi elf20 ndani ya eneo ambalo ni asili kabisa ya mwanadamu, ancestors wetu walifanya kosa kubwa sana kumigrate kuelekea kusini, it was a dead end kwa sababu beyond Southern Africa hakukuwa na dalili yoyote tena ya nchi kavu ambayo inewafanya kuthubutu kuventure nje ya bara, hivo wakalazimika kubaki ndani ya bara na kujikuta wakikutana na vitu vilevile hivyo akili haikukutana na challenges ngeni ambazo zingefanya akili zao ziwe active na kujifunza mambo mengi zaidi.
Dah wewe mtu mtata, you have made my day.
Ni kweli sisi mazingira yetu pamoja na uwezo wa vyakula vya asilimia vya kutosha, bado afya yetu iliharibiwa sana na uwepo wa mbu (malaria), mbung'o (malale) na mbu (manjano). Hata magonjwa yalisababisha miili yetu I-concentrate kwenye kutengeneza immunity ya kulinganisha dhidi ya magonjwa. Na magonjwa hayo miilini mwetu yameshakuwa "endemic."
Tunaelewa kuwa binadamu kichaa anaweza kila chakula kichafu na kilichoharibika bila kuugua tofauti na mtoto wa matawi ya juu ambaye ataumwa sana. Hiyo inamaanisha kuwa, unapokuwa unakula chekula kichafu na kibaya, unaupa wakati mgumu mwili wako kutumia nguvu zote kukulinda dhidi ya maadui magonjwa. Wakati huo huo Yule anayekula chakula kisafi has kizuri, Hana hata ya kujenga immunity ya kumlinda dhidi ya magonjwa bali chakula hicho kitajenga mwili mzima.
Ndiyo maana anayekula chakula kizuri na kisafi atakuwa na mwili ulionawiri na smart kichwani (not necessarily akili za darasani however). Hata hivyo yeye na uzao wake wakiendelea kula chakula kizuri kwa vizazi zaidi ya hata vitano, lazima na za darasani tofauti na Yule aliyekuwa anakula vibaya na vichafu, vizazi vyake vikiendelea hivyo, ni lazima hawataweza kuwa bright kama yule mwenzake.
 
View attachment 586451 Ulimwengu tuishimo na vitu vyote vilivyomo umetawaliwa na binadamu. Hata hivyo kutokana na tofauti kubwa ya binadamu kuna ambao wameitawala "nature" lakini wengine bado hiyo "asili" imewatawala. Hiyo ni kwa sababu ya uwezo tofauti wa kiakili ambao wanadamu wanaonyesha. Kulingana na sayansi na historia, binadamu wa leo ni matokeo ya evolution ya muda mrefu iliyotokea miaka milioni 3 iliyopita.
Utofauti wa wanadamu kubadilika kutoka kuwa weusi kisura na kuwa weupe ulianza kati ya miaka 100,000 - 60,000, kipindi ambacho wanadamu weusi walihama barani Afrika kwenda Mabara mengine kupitia eneo la Mlango Bahari ya Bab al Mandab nchini Djibouti lililokuwa limeungana na Arabia. Hiyo ni kwa kuwa nje ya Afrika, eneo kubwa lina baridi.
Mabadiliko ya kiakili yalitokea baadaye baada ya vizazi na vizazi kuishi katika maeneo hayo nje ya Afrika yakiwa na sifa kuu zifuatazo:
  • Uwepo wa maji ya kutosha kutokana na mvua na mito mikubwa.
  • Uwepo wa udongo wenye rutuba na rahisi kulimika (kwa miti) hasa kwenye mabonde ya mito.
  • Uwepo wa vyanzo vya kutosha vya samaki kama mito, maziwa na bahari.
  • Uwepo wa mwanga wa kutosha kukuza mazao.
  • Uwepo wa mazao yanayositawi kwa urahisi, hasa ngano.
  • Kutokuwepo kwa misitu minene na hivyo kuwa rahisi kuanzisha makazi na mashamba.
  • Kutokuwepo kwa magonjwa ya kitropiki, hasa malaria, yellow fever na sleeping sickness.
  • Kutokuwepo kwa jua linalochoma (scorching sun) na hivyo kuwafanya watunze energy zao.
  • Kutokuwepo kwa baridi kali kama iliyoko nchi za Kaskazini mwa dunia.
Sababu hizo ndizo zilisababisha jamii zilizoishi maeneo yenye Hali hizo kuanza Neolithic Revolution kati ya miaka ya 10,000 bc - 8,000 bc ambapo binadamu alianza kupanda mbegu kwa kusia ngano mashambani (maeneo laini yaliyotifuliwa kwa miti) na kuanza kufuga wanyama wakiwemo ng'ombe na mbuzi. Aidha, kutokana na wanadamu hao kufanikiwa kuzalisha chakula kwa wingi kulipelekea kuibuka kwa Civilizations za kwanza kabisa duniani katika eneo la Mesopotamia (Sumerian, Babylonia), Misri na China kuanzia miaka ya 6,000 BC, kutokana na maeneo hayo kuwa na sifa hizo hasa maji ya kutosha licha ya kuwa majangwani.
Jamii hizo za Mashariki ya Kati zilianza matumizi ya zana za chuma mapema kabisa ambapo ilipita miaka mingi kabla ya teknolojia hiyo kufika Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara ambako inakisiwa kuletwa kwetu Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara na Dola ya Meroe (Sudan) kutokea Misri kwenye miaka ya 400 BC. Kwa hiyo Wabantu walihama kutoka Cameroon mwaka 1000 BC kabla hawajapata teknolojia ya chuma.

Hata hivyo, kwetu Afrika, kutokana na uwepo wa mvua nyingi, chakula kilikuwa kikipatikana kwa wingi na kwa urahisi na hivyo kufanya akili za binadamu wa Afrika kutojishughulisha sana kama wenzao wa nje ya Afrika ambao walikuwa katika mazingira magumu ya majangwa na baridi kali. Waafrika waliendelea kupata chakula chao kupitia uwindaji wa wanyama, kuokota matunda ya mwituni na kula mizizi. Hivyo mababu zetu hawakuchanganya akili sana kama wenzao kutokana na kutokuwa na uelewa juu ya kilimo na ufugaji. Hivyo kwa yule Mwafrika aliyekuwa na akili sana bado hakuwa na tofauti kubwa na asiye na akili kwa kuwa wote hawakujishughulisha sana na utafutaji wa chakula kama wale waliohama kutokana Afrika. Kwa wanadamu waliohama Afrika ambao walikuwa dhaifu hawakuweza kustahimili mazingira Magufuli na hivyo vizazi vyao vilifutika duniani na kuacha waliokuwa na nasaba bora wakistahimili mazingira hayo magumu (Refer the Theory of Survival of the Fittest).
Binadamu hao waliotoka Afrika kutokana na kuchangisha sana akili zao waligundua ufugaji wa wanyama hasa ng'ombe, mbuzi, kondoo, mbwa, kuku na bata, miaka kati ya 10,000 - 8,000 BC. Vilevile, waligundua namna ya upandaji wa mbegu kwenye mashamba yaliyolimwa kwa kutumia miti (kipindi kabla hawajagundua kuyeyusha Chama) kwenye udongo laini wa mabonde ya mito. Na hawa ndio waliogundua chuma na hivyo kuweza kuzalisha chakula kingi zaidi na kuimarisha ulinzi dhidi ya wanyama wa mwituni na wanadamu wengine maadui. Uwezo wa chakula cha ziada, ulipelekea kukua kwa shughuli za huduma na maspecialists, kama waashi, wahunzi, askari wa kudumu, viongozi wa dini, na wengine wengi. Nadhani mtakumbuka ujenzi wa Mnara wa Babeli, ambao ni matokeo ya uzalishaji mkubwa chakula cha kulisha watu wengi wasiolima.
Mambo haya hayakuwezekana kamwe kwenye jamii za kiafrika kipindi hicho kutokana na kutozalisha chakula cha ziada, hivyo kila mtu alipaswa kujua karibia kazi zote (Mpaka sasa sisi Waafrika specialization bado iko nyuma kwani mwanachuo analazimishwa kusoma vita vingi mno).

Teknolojia ya ufuaji wa chuma na utengenezaji wa zana za chuma ilipelekea kuongezeka kwa watu wengi Afrika lakini ilikuja kwa kuchelewa sana kutoka Mashariki ya Kati, tofauti na mabara mengine ya Old Lands ambayo yalianza kutumia zana za chuma zaidi ya miaka 3,000 bc.
Ili muone faida ya mapinduzi ya zana za chuma, Wabantu walitokea Cameroon baadaye baada ya miaka ya 400 BC waliweza kuvamia na kuzishinda jamii nyingine zote za Kusini na Mashariki ya Afrika zikiwemo za San na Pygmy (na hata Cushites - Mbulu, Gorowa na Mbugu) ambazo hazikuwa na tekonolojia ya chuma. Hata hivyo uhamaji huo wa Wabantu ulishindwa kwa Nilotes pekee (walitokea Kaskazini) mfano Wajaluo kwa Tanzania.
Nawasilisha hoja.
Umecopy kutoka wapi
 
Haya mambo ya kuanza kushinikizana kuwa tulikuwa mazinjathroupus cjui,tulilemaa kula mizizi pasipo karaha tuache kwanza nimecheka sana,embu tulishikilie lile la sisi watu weusi tulitokea pale younde,after apo sasa tujiulize kabla ya kuwapo pale younde tulitokea wap yaani nature yetu ni wapi?,izi mambo za kula mizizi na kutokea uko kwenye zinja mimi binafsi na babu wa mababu zangu ckubaliani na ilo swala la unyanini af hii thread umekopi wap?,maana ina mashiko na ina ukinzani imejimix ugali tembele.
 
Kiukweli kabisa skuiz nkila ugali nakua hata mvivu wa kufikiria na nakua siupend sijui tatzo nini
Ugali wa mahindi siyo asili ya Afrika, uliletwa Karne ya 16 na Wareno ni tofauti na mazao mengine yaliyoletwa tangu zamani. Wataalamu huwa wanadai ugali wa jamii za uwele ndio wenye virutubisho vingi kwa akili ukitoa ndizi katika vyakula vikuu vya Waafrika. Mihogo nayo siyo ishu.

Hata hivyo, tunachokosea sisi binadamu ni kudhani kuwa, mtoto anayepewa kila kitu tangu akiwa tumboni mwa mamaye hadi kuwa mtu mzima atakua na uhakika wa akili za darasani. Akili za darasani haziwezi kutegemea "mazingira" ya maisha ya mtu mmoja pekee bali ni nasaba "Genes" alizonazo mtu huyo zilizotokana na historia ya wazazi wake (wapi?), ukoo wake (upi?), Kabila lake (lipi?) na Race yake (Mbantu?).
Hivyo, nawaasa sana kabla sijatoa research yangu juu ya akili za makabila ya Tanzania, anza kufikiria kabila lako lilivyo kwa akili za darasani ili nikiweka hizo hypothesis mniulize na mimi nitazielezea vyema.
 
Dah wewe mtu mtata, you have made my day.
Ni kweli sisi mazingira yetu pamoja na uwezo wa vyakula vya asilimia vya kutosha, bado afya yetu iliharibiwa sana na uwepo wa mbu (malaria), mbung'o (malale) na mbu (manjano). Hata magonjwa yalisababisha miili yetu I-concentrate kwenye kutengeneza immunity ya kulinganisha dhidi ya magonjwa. Na magonjwa hayo miilini mwetu yameshakuwa "endemic."
Tunaelewa kuwa binadamu kichaa anaweza kila chakula kichafu na kilichoharibika bila kuugua tofauti na mtoto wa matawi ya juu ambaye ataumwa sana. Hiyo inamaanisha kuwa, unapokuwa unakula chekula kichafu na kibaya, unaupa wakati mgumu mwili wako kutumia nguvu zote kukulinda dhidi ya maadui magonjwa. Wakati huo huo Yule anayekula chakula kisafi has kizuri, Hana hata ya kujenga immunity ya kumlinda dhidi ya magonjwa bali chakula hicho kitajenga mwili mzima.
Ndiyo maana anayekula chakula kizuri na kisafi atakuwa na mwili ulionawiri na smart kichwani (not necessarily akili za darasani however). Hata hivyo yeye na uzao wake wakiendelea kula chakula kizuri kwa vizazi zaidi ya hata vitano, lazima na za darasani tofauti na Yule aliyekuwa anakula vibaya na vichafu, vizazi vyake vikiendelea hivyo, ni lazima hawataweza kuwa bright kama yule mwenzake.

Uko sahihi mkuu
 
Haya mambo ya kuanza kushinikizana kuwa tulikuwa mazinjathroupus cjui,tulilemaa kula mizizi pasipo karaha tuache kwanza nimecheka sana,embu tulishikilie lile la sisi watu weusi tulitokea pale younde,after apo sasa tujiulize kabla ya kuwapo pale younde tulitokea wap yaani nature yetu ni wapi?,izi mambo za kula mizizi na kutokea uko kwenye zinja mimi binafsi na babu wa mababu zangu ckubaliani na ilo swala la unyanini af hii thread umekopi wap?,maana ina mashiko na ina ukinzani imejimix ugali tembele.
Dah una vitu vingi vizuri, naogopa kukujibu asili yetu wanadamu maana kila mtu anaiquestion ila muhimu elewa Wabantu ni matokeo ya Negro na Hamites.
 
Back
Top Bottom