Habari,
Nashangaa watu Tanzania peke yake hutumia neno shikamo kama salamu ya kumtunikia mtu heshima ilhali ni utumwa wa kisaikolojia, shikamo ni neno la kiharabu humaanisha nipo chini ya miguu yako.
Huu ni ujinga uliopitiliza hata mataifa yote hamna kitu kama hichi, kwanza hata tafsiri yake hakuna iwe kwa lugha yeyote duniani na kingine uende dukani useme eti naomba hahaha hii nchi ni vichekesho unaomba huku unatoa sarafu.
Ndio maana hata mkiambiwa laleni hakuna kufanya lolote mnafanya kweli ujinga mwalimu aliukemea nyie mkaukumbatia.
Assalaam alaiykum!
kwa kiswahili neno shikamoo halimaanishi maana hiyo ya kiarabu!
Toa salamu mbadala hapa basi
Habari,
Nashangaa watu Tanzania peke yake hutumia neno shikamo kama salamu ya kumtunikia mtu heshima ilhali ni utumwa wa kisaikolojia, shikamo ni neno la kiharabu humaanisha nipo chini ya miguu yako.
Huu ni ujinga uliopitiliza hata mataifa yote hamna kitu kama hichi, kwanza hata tafsiri yake hakuna iwe kwa lugha yeyote duniani na kingine uende dukani useme eti naomba hahaha hii nchi ni vichekesho unaomba huku unatoa sarafu.
Ndio maana hata mkiambiwa laleni hakuna kufanya lolote mnafanya kweli ujinga mwalimu aliukemea nyie mkaukumbatia.
Habar zenu wadau wa JF ,Mm n mwajiriwa ktk Taasisi fulani ktk position nliopo tupo vijana wachache majority n watu wazima na wazee(40 to 55) kulingana na nature ya kaz yangu wengi wao wanahitaji usimamiz wangu kazini na pale wanapokosea sina budi kuwaadabisha sasa inakuja mahala mtu anataka umwamkie kitu ambacho nlijifunza mahala nlipokua nafanya kaz mwanzon nlikua nawasalimu wakubwa kwangu bt wote walikuja kunidharau na pale nlipotaka kutoa adhabu walinibeza na vijineno" katoka juz shule sie tunajua maisha wazazi wako " nlitafta ushaur kwa wakubwa zangu kazini nliambiwa nmeharibu kumwambia shikamoo aliyeko chini yangu badala yake nisalimie "HABARI ZA SAHIZI,ZA LEO,ZA ASBH N.K... Tangia hapo nlistop kutoa shikamoo kwao mpk nmehamia Taasisi ingne .Huku ndio wananibeza kusalimia japo msimamo wangu ni uleule SITOI SHIKAMOO TENA.. nimekua nashangazwa sana pale MTU anapolazimisha salamu japo nawaheshimu kama wanaonizidi ...Swali::Je Shikamoo ndio ishara ya heshima kwa MTU au nn zaidi nifanyeje??Tushauriane wadau
Shikamoo inamaanisha niko chini ya miguu yako.Hiyo kauli sasa"kumpa MTU haki yake "sio lazma Shikamoo pia jaribu tafta maana yake ni tafadhal