Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shikamoo ni salamu ya kiswahili sawa na Unogile .... au the like.... kuna watu waliwahi sema eti ni salamu ya waarabu... wakati si kweli kabisa kwa mwarabu marhaba.... means ''
To be honesty ni salamu ya kijinga, upumbavu na umungu mtu ndio kipaumbele hapo. tafsiri iliotolewa hapo juu ndio hio ambayo hata mimi nimekuwa nikiijua-Huwa natamani nisifundishe watoto salamu hii
Ivi ni Tanzania tu ndo kuna hii salamu au hata Kenya,Rwanda,Uganda,Burundi
asalimie kikabila chetuKwani hasa unachokereka kwenye 'shikamoo' ni nini?
Unataka mtoto wako akwambie 'Mambo vipi baba'
Mkuu 101%.asalimie kikabila chetu
Marhaba'Niko chini ya miguu yako' ndiyo maana ya shika moo.
Nadhani asili yake ni kipindi cha waarabu kati ya watwana na watumwa,Habar zenu waku ,,unapomsalimia mtu (shikamo) ina kua na mana gan hasa na kwa nin tunaipend salam hio watanzania ??ad wengin salam tulizo funzwa na dini tumesahau ,,nin maana ya shikamo na kwanin inapendwa saana kutumiwa kma salamu kuu. hapa inchin kwetu!!
Kwani Waingereza ndio reference yako ya ustaarabu? Mwehu kabisa we!!Shikamoo maana yake nini kwa Kiingeleza?
Maana waingeleza wana Good Morning
Mkuu jibu limejitosheleza kabisa.Mimi nadhani sisi waswahili hatujaibeba shikamoo kwa maana ya kitumwa wala kiudhalilishaji bali tumeichukua kama alama ya heshima kwa yule mtu aliyekuzidi umri.....ni kama zilivyo alama zingine za heshima kama ilivyo kupiga magoti kwa baadhi ya makabila pindi wasalimianapo hapa nchini....kwa hiyo sidhani kama ni ishara ya utumwa kwa wakati huu......
tena awe amekuzidi kweli kweli hasa kama nawe ni mtu mzima, ndio maana huwezi kukuta mtu wa miaka 30 anamsalimia mtu wa miaka 45 shikamoo, yaani shikamoo ni reserved kwa mtu mwenye umri ambao anaweza kuwa mzazi wangu. nikiwa na miaka 30 shikamoo naitoa kwa aliye na umri wa at least miaka 50Ndio maana linatumika kumsalimia mtu aliyekuzidi umri, kwa ajili ya heshima uliyonayo kwake.......
Kwani hasa unachokereka kwenye 'shikamoo' ni nini?
Unataka mtoto wako akwambie 'Mambo vipi baba'