Usipate tabu na shkamoo zungumza na watu kwa lugha yako tu watakuelewaHebu tujaribu kufanya utafiti tena wa wazi hapa hapa JF kwa kila kabila jinsi wanavyosalimiana kilugha na maana yake kwa kiswahili halafu tuone ni makabila yapi yatakayokuwa na neno lenye maana ya "Shikamoo" katika kusalimiana kwao.
Tusipopata wingi wa makabila maana yake hilo neno tulitupilie mbali.
Shilamoo waachie wenye asili nayoUsipate tabu na shkamoo zungumza na watu kwa lugha yako tu watakuelewa
Sijuwi kama itawezekana mkuu, kuna wazee na kina mama wanapenda shikamoo kama maji ya kunywa!Kwa nilivyosikia mimi neno shikamoo maana yake ni "niko chini ya miguu yako.
Kwanza huna adabu je utaijua shikamoo? Maana baba yako mzazi huwezi kumwita baba unamwita mdingi kama teja vile.[emoji35] [emoji35] [emoji35]Nadhani asili yake ni kipindi cha waarabu kati ya watwana na watumwa,
mimi toka kidato cha nne niliachana na hii salam na nashukuru familia ilinielewa, mdingi ili kuweka msawazo nilikua namsalimia kiinglishi tunamaliza, kijijini nako wameelewa so nahisi niko huru na hii salam
No kupanga ni kuchagua mkuu,Kwanza huna adabu je utaijua shikamoo? Maana baba yako mzazi huwezi kumwita baba unamwita mdingi kama teja vile.[emoji35] [emoji35] [emoji35]
Siyo unafiki. Hawakujua. Sitaitumia tena. Sitapokea tena. Wataalamu wa kiswahili watafute msamiati mbadala. Haiwezekani! Msamiati huo mbadala uingizwe mashuleni haraka. Sisi siyo watumwa.Wengine eti baada ya kuiona hii post hapa JF wanajifanya huwa hawasalimii na wakati wa kipindi cha nyuma hii salamu waliikuta na waliitumia..Ila baada ya kuona hii post ndio wanajifanya wamejanjaruka..
Sio mbaya lakini, maisha bila unafiki hayasongi mbele.
We unawaza hivyo mkuu (utumwa)..Ukimsalimia na kuendelea na shughuli yako utaumia mahali??Siyo unafiki. Hawakujua. Sitaitumia tena. Sitapokea tena. Wataalamu wa kiswahili watafute msamiati mbadala. Haiwezekani! Msamiati huo mbadala uingizwe mashuleni haraka. Sisi siyo watumwa.
Kwa hiyo mnataka kutwambia shikamoo ni neno la Kiarabu?Siyo unafiki. Hawakujua. Sitaitumia tena. Sitapokea tena. Wataalamu wa kiswahili watafute msamiati mbadala. Haiwezekani! Msamiati huo mbadala uingizwe mashuleni haraka. Sisi siyo watumwa.
Safi sana mkuu, wataalamu wa 'Linguistics' huita mabadiliko haya AMELIORATION.MwanaFalsafa1,
Kwa asili neno hilo kweli lilimaanisha hicho ulichosema. Lakini ujue lugha inazaliwa, inakua na kubadilika kadiri jamii inavyobadilika kufuatana na wakati. Kumbe katika lugha nyingi - si Kiswahili tu - misamiati imenyumbuka, kubadilika na hata kuwa na maana tofauti na ile ya mwanzo. Ndiyo maana kuna kitu kinaitwa etymology ya neno au msamiati.
Kwa hiyo neno "shikamoo" lenye asili ya Kiarabu lilimaanisha kujidunisha chini ya bwana. Lakini kadiri muda ulivopita, na hasa neno lilivoingia katika lugha ya Kiswahili, lilibadilika maana yake badala ya ile kitumwa likamaanisha Heshima ya mdogo kwa mkubwa wake. Kumbe likawa na maana chanya badala ya ile hasi.
Kumbe wanaokataa kupokea "shikamoo" hawajui tu. Waelimishwe wajue kwamba kwa leo tena kwa Kiswahili lina maana nzuri tu japo kiasili likuwa na maana hasi ya kudhalilisha.
Ni utamaduni wa kiafrika kuamukia aliyekuzidi umri tofauti na kuamukia mtu mlie na umri sawa ,kwa hiyo sio utumwa bali ni jadi,kila watu au kabila au taifa lina jadi yake,kuamukia mtu shikamoo sio utumwaHabar zenu waku ,,unapomsalimia mtu (shikamo) ina kua na mana gan hasa na kwa nin tunaipend salam hio watanzania ??ad wengin salam tulizo funzwa na dini tumesahau ,,nin maana ya shikamo na kwanin inapendwa saana kutumiwa kma salamu kuu. hapa inchin kwetu!!
au amwambie baba /mama vipi hujambo nadhani anayekereka hana wazazi au watu wazima kwao wa kuwaamukia shikamooKwani hasa unachokereka kwenye 'shikamoo' ni nini?
Unataka mtoto wako akwambie 'Mambo vipi baba'
aliyekuwa akiamkia alionyoosha mikono mbele na kusema “simbamwenee” na kisha anayeamkia huitikia “utwaaa”. Na kila mtu alikuwa akifurahia salamu hiyo, iliyokuwa nzuri kuitamka mdomoni. Lakini mambo yalibadilika pale,
Samahani weita muongezee glass huyuM cjaelew mkuu