cyrustheruler
JF-Expert Member
- Jul 20, 2015
- 2,044
- 1,869
Modern day sadducees,pharisees,fake pastors and ministersWanajionaaaa, malaya na siku hizi wanajidai kuokoka. Ni kabila linaloongoza kwa kuzalisha wachungaji uchwara. Modern Masadukayo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Modern day sadducees,pharisees,fake pastors and ministersWanajionaaaa, malaya na siku hizi wanajidai kuokoka. Ni kabila linaloongoza kwa kuzalisha wachungaji uchwara. Modern Masadukayo
KhaaaWanajionaaaa, malaya na siku hizi wanajidai kuokoka. Ni kabila linaloongoza kwa kuzalisha wachungaji uchwara. Modern Masadukayo
kwa vyovyote vile, ile kwa wema au kwa ubaya kwa majina ya ufake au ukweli cha msingi injili ya Kristo inahubiriwa. Mwenye kusikia na asikie na ajiongezeeeeModern day sadducees,pharisees,fake pastors and ministers
Ahahaha ko watawala waliwakimbia watumwa?[/QUOT
Wanajionaaaa, malaya na siku hizi wanajidai kuokoka. Ni kabila linaloongoza kwa kuzalisha wachungaji uchwara. Modern Masadukayo
Wasafwa walikuwa na tabia moja kutopenda kuchangamana na makabila ya kigeni hvyo wanyaq walivokuwa wanashuka mbeya mjini basi wasafwa walikuwa wanaenda pembezoni wakitaka kukaa wao wenyeweHapa ndo utacheka mpaka ukae chini. Hii naisoma hapa tu.haijawahi tokea duniani. Watawala wanawakimbia watumwa wanaamua kwenda kuwa wakimbizi milimani.[emoji23][emoji23][emoji23]
Inaonekana wanyak wanakukwaza sana... Walikufanya nini?
Dah sikuhizi kwa mbeya town wasafwa wengi unawakuta uyole ya kati lyoto maana wakinga wamefanya uvamizi katika biasharaWasafwa walikuwa na tabia moja kutopenda kuchangamana na makabila ya kigeni hvyo wanyaq walivokuwa wanashuka mbeya mjini basi wasafwa walikuwa wanaenda pembezoni wakitaka kukaa wao wenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app