Kijakazi
JF-Expert Member
- Jun 26, 2007
- 7,093
- 10,469
Neno Washenzi asili yake haswa lilikuwa likimaanisha watu wote wanaotoka Bara yaani katikati ya Ziwa Tanganyika na ukanda wa Pwani, kwa maana wakati huo walikuwa hawajastaarabika na hivyo Watu wa Pwani wanatuita Washenzi, na hasa wakati wa Misafara ya Utumwa kutoka Kongo Mashariki kupitia Tabora Mpaka Pwani huku tukiwa tumebeba Pembe za Ndovu na mijeredi juu (Ama Kweli Waarabu na Machotara wa Kiarabu walitusesa)!
Wakati huo tulikuwa hatujui kuandika wala kusoma na ndio maana tulikuwa tunaitwa "Washenzi" neno ambalo tunalitumia mpaka leo, nategemea utaenda kulalala ukiwa umejifunza kitu kidogo leo, badala tu ya kuwaza ngono...
Wakati huo tulikuwa hatujui kuandika wala kusoma na ndio maana tulikuwa tunaitwa "Washenzi" neno ambalo tunalitumia mpaka leo, nategemea utaenda kulalala ukiwa umejifunza kitu kidogo leo, badala tu ya kuwaza ngono...
