Asili ya uchawi na kuabudu Maiti, Jua na Mwezi ni Babeli siku chache baada ya gharika ya Nuhu

Asili ya uchawi na kuabudu Maiti, Jua na Mwezi ni Babeli siku chache baada ya gharika ya Nuhu

Kwa kiasi fulani umejenga hoja...
Lakini kama tuliridhiri kitu kimoja mbona IQ zetu zinatofautiana..mbona zisiwe sharp kama za wazungu
Acha kufikiri kitoto namna hiyo. IQ sio kipimo maridhawa juu ya uwezo wa mtu kufikiri au kung'amua mambo.

Ukitaka kujua ukweli wa haya mambo anagalia kipimo cha IQ kimejikita katika mambo gani ?
 
Kuna mambo manne ambayo Yanapatikana duniani kote kwa asilimia kubwa kabla hata hatujaingiliana (globarization)

1:Watu kuabudu wafu katika desturi zao.

Desturi hii utaikuta utaikuta australia, japan, afrika yote, India,
America Yote, Ulaya, na kila mahala. Hii inaonyesha ufanano huu ambao hauwezi kutokea kwa kuibuka ''Evolve" ni ushahid tosha Kuna siku moja mahali flani watu wote walikuwa wanaishi sehemu moja.
Ibada hizi nyingi, zinapatikana siku hizi hadi katika baadhi ya imani za kikristo,baadhi ya waislam, wabudha.


2; Sikukuu za kumbukumbu za wafu.

Bibilia inasema Safina Ilituama juu ya mlima hararati tarehe ya kumi na saba ya mwezi wa kwanza.
Kwa Kalenda mpya ya kiebrania iliyoanza kuanzia walipotoka misri tarehe hiyo inaanguka mwanzoni mwa mwezi wa tisa.

Tarehe hii au karibu na hii inasherekewa
Peru,kwa wahindu,Mexico, Wakazi wa kaskazini wa visiwa vya pacific, wa australia wa asili, Waajemi na wamisri wa zamani waliisherekea, Mataifa ya kaskazini mwa ulaya, Warumi wa zamani na kwingineko. Baadhi ya wakristo wanasherehe zinazogongana na tarehe hiyohiyo katika kuadhimisha vifo vya watu wao wakidini.

3: uwepo kwa Stori za watu kuokolewa kupitia meli/mtumbwi na aina ya stori zinazoendana na ile ya Nuhu.
uwepo wa stori kuhusu kuwahi kutokea mafuriko na watu kuokolewa kwa njia ya kitu kama mtumbwi upo katika zaidi ya tamaduni 150 duniani kote.
Stori hizi zimekuwepo hata kabla mambo ya imani za kikristo na kiislam kuwepo. Hii ni ushahidi kwamba kuna siku moja watu walikuwa pamoja, wakatawanyika na hiki tunachokiona ni mwangwi wa kile ambacho waliwahi kukiamini wakati wako pamoja. Na mababu wa mababu wao ni wale waliotawanywa pale babeli kwenye mnara.

4: KUABUDU JUA
Ibada za Kuabudu jua,miezi, miandamo ya miezi, nyote na viumbe pia ilianzia huko huko babeli.
Iliaminika wakuu wao wakina Nimrod walikufa walipaa kwenda mwezini, juani na huko angani.
Ibada hii inasura ya kidunia na utaikuta kila kona ya Dunia mfano.
*Misri ya Zamani - Ra, Osiris etc
*Kaanani - Baal, Shamas, Adoni etc
*Syria - Tammuz, Elagabalas
*Umedi na uajemi - Ormuz na Mithra
Wahindi - Mitra
Wagiriki - Apollo, Adonis na Hercules

HISTORIA YA UCHAWI/IBADA YA WAFU/ NA TAMADUNI ZOTE ULIMWENGUNI ZINATURUDISHA PALEPALE BABELI.

Kwa Mujibu wa Vyanzo mbalimbali vya kihistoria,
Vinakubaliana na inachokisema Bibilia kuwa Ustaarabu wa mwanadamu ulianzia pale katika Bonde la SHINARI.

1 Nchi yote ilikuwa na lugha moja na usemi mmoja.

" Ikawa watu waliposafiri pande za mashariki waliona nchi tambarare katika nchi ya Shinari; wakakaa huko...9 Kwa sababu hiyo jina lake likaitwa Babeli; maana hapo ndipo Bwana alipoichafua lugha ya dunia yote; na kutoka huko Bwana akawatawanya waende usoni pa nchi yote. ''
Mwanzo 11:2,3,9

Wababeli hawa waliambatana na Ibada ya wafu, ndugu zao waliokufa katika Ile Gharika. Lakini Pia waliianzisha sherehe hiyo ya wafu wao siku ambapo Safina Ilitua juu ya mlima hararati.
Hivyo baada ya Kutawanywa sio jambo la ajabu kukuta desturi hizo zikiendelea kila kona. Hapo ndio chanzo cha uchawi wote na tamaduni zote zakijadi duniani hadi huu Kwetu Tanzania.

Ustaarabu wa Dunia Ulianzia babeli kwa wakaldayo, Ukaenda Misri, wagiriki wakautoa misri na kuuingiza Ulaya. Warumi wakauchukua kutoka kwa Wagiriki. Na ustaarabu huo mwingii ukatapakaa tena dunia hii ya kisasa kutokea ulaya. Lakin kabla miaka mingi iliyopita Siku ambayo wanadamu walitawanywa na kuchafuliwa Lugha dunia nzima baada ya gharika walizisambaza katika asili na tamaduni zote duniani.





Miungu Ya Babeli ambayo ilikuwa na Utatu wao Mtakatifu yaani BABA,MAMA, na Mwana (Nimrod, semiramis na Tammuz) Imetapakaa dunia nzima kwa majina tofauti tofauti. Na miungu hii yote iliwahi kuwa watu halisi siku za nyuma kabla hawajafanywa miungu.
Mfano, Mwanahistoria Prutaech anasema makuhani wa kimisri waliwafundisha kuwa hao miungu yaani Osiris, Horus na Volcan walikuwa watu halisi huko nyuma.
Alexander The great aliwahi kumuandikia barua mama yake mzazi akimwambia miungu yao Saturn, Jupiter, Juno, wote walikuwa watu halisi kama alivyoambiwa na kuhani mkuu wa miungu ya kimisri Leo alipokuwa akifundishwa siri za miungu. Miungu hii inauwezo wa Kutokea watu na kuwapa maelekezo ya Kiungu.


Mwisho;
Hakuna jipya chini ya jua. Miungu na taratibu nyingi za kipagani dunia ya sasa bila kujali ni ya kisasa kiasi au imeingizwa kwenye dini kwa kificho kiasi gani chanzo chake ni Babeli, Zikaingia Misri, na Kuingizwa Ulaya na Wagiriki kisha kusambaa dunia yote ya kisasa. Ila dunia ya Kale ilisambaa kupitia Machafuko ya Lugha pale mnara.


Hii ndiyo sababu Kitabu cha UFunuo kwa mafumbo kinaifananisha hali ya dunia ya siku za mwisho na Babeli ile ya zamani na upagani wake.
Anawaita wanadamu Wote watoke katika mifumo ya kiibada inayoelekezwa kwa wafu, Jua, miezi, Ushetani na kila aina ya mfumo wa maisha usiompendeza.

Ufunuo 18:1Baada ya hayo naliona malaika mwingine, akishuka kutoka mbinguni, mwenye mamlaka kuu; na nchi ikaangazwa kwa utukufu wake.

2 Akalia kwa sauti kuu, akisema, Umeanguka, umeanguka Babeli ule mkuu; umekuwa maskani ya mashetani, na ngome ya kila roho mchafu, na ngome ya kila ndege mchafu mwenye kuchukiza;

3 kwa kuwa mataifa yote wamekunywa mvinyo ya ghadhabu ya uasherati wake, na wafalme wa nchi wamezini naye, na wafanya biashara wa nchi wamepata mali kwa nguvu za kiburi chake.

4 Kisha nikasikia sauti nyingine kutoka mbinguni, ikisema, Tokeni kwake, enyi watu wangu, msishiriki dhambi zake, wala msipokee mapigo yake.
Hujatuambia baabel kulikuwa na uchawi wa aina gani.

Ukinijibu nitakupa ziada ya faida juu ya suala hili.
 
kuna sehemu itabidid tukubaliane kutokukubaliana..nitagusia kwa ufupi;

1. Paganism- hapa ni semantics tu.Kama wakristo manvyotuita sisi wapagani na sisi tunawaita "blind beleivers"

2. Umegusia Noah's floods kama msingi wa hoja yako,kwanza hakuna ushahidi wa kutokea hayo mafuriko na maelezo ya kwenye biblia kwenye hayo mafuriko hayapo kiuhalisia kabisa,pia kemetic dysnasties zilikuwepo kwa miaka 2000 kwa mafarao tofauti tofauti hata kipindi kinachokadiriwa hayo mafuriko kutokea na kuua watu wote duniani kasoro wachache wa ukoo wa noah.

3. Kutokuwepo OG manuscript kunatia mashaka makubwa kuwa mtu yoyote au kikundi cha watu kinaweza ku-fabricate the story,ancient egyptians knew this ndio maana waliacha ushahidi kwenye kuta.
kuwa myahudi/ebrania lazima utimize prophecy na curses zilizotajwa kwenye biblia,sio yoyote anaewza kuwa mwebrania.

4. Hapa niliconfuse,cannaa alilaaniwa kuwa mtumwa,lakini kusema canaan walikuwa ni weusi ni rahisi sababu kama kushi alikuwa mweusi na kanaani ni kaka yake na wamezaliwa na baba mmoja,basi ni wazi wote walikuwa ni weusi.

5. Rejea #3,pia kasome unbiased story ya ashkenazis

6.Sijakataa uwepo wa ufalme wa israel,kasome story ya uvamizi/destruction of the temple ya flavius josephus na philo na sio corrupted story ya kwenye biblia

7. Kwanini unafikiri mapiramidi/mahekalu sio uvumbuzi?sphinx na baadhi ya mapiramidi/mahekalu ya egypt ilibidi yafukuliwe ili kuyagundua,dating za egypt zipo kwenye kuta,wameandika majina ya mafarao na miaka waliyotawala...hakuna utata kwenye hilo
Nakubali kukubaliana kutokukubaliana kwenye maadhi ya mambo.
Paganism nimekupa maana uliyohitaji. Haizuhii kuwa na mitazamo kinzani na tofauti.

Kukataa mafuriko ya Nuhu inabidi ukatae kwa mtiiririko wa hoja pale juu kama ushahidi wa watu kuwa wamoja hapo bondeshi shinari. Pamoja na upinzani mwingi wa maandikp hayo ninayoyaaminni 100% bila shaka. Kuna ushahidi wa kijiolojia, Palentology, Archaeology unathibitisha uwepo wa Mafuriko kwa viwango vya bibilia. Hii haizuhii kupingwa kwa fact hizo.

3:Kuhusu Waebranania, na laana sijakuelewa weka vizuri maelezo.

6: Hapo unajichanganya na kupoteza consistency ya unayoyaamini. Maana ni wewe uliyewahi kuniambia JOSEPHUS na maandiko yake ni fablication sio uhalisia ukipinga uhalisa wa Uwepo wa Yesu, japo nilikupinga. Kuitumia source unayoikataa mahala pengine ili unullify biblical stories ni kujichanganya kunakostahili kutopewa umakini.

7:Sipingi mavumbuzi ya Egypt na mapyramid. ila nayo yanapewa changamoto nyingi na huo unaodhaniwa ukale wao kuliko Babilonia ya Kwenye Bibilia.
Kwanza kama moja niliyokupa huko nyuma. Pili hata dating zinazodhaniwa kuwa ni za zamani huko kwenye mmapyramid Kulingana na Mainstream historians, Lakni hata hizo pyramid kuna baadhi ya sources zilichakachuliwa na farao mmoja ambaye aliedit kila sanamu za kale na kuzipa majina yake.
Kuna watu weusi Wanalalamika wanasema baadhi ya makumbusho ya huko Sanamu zimechakachuliwa na kung'olewa mapua au kuyaharibu ili isionekane Wale jamaa walikuwa ni watu weusi. Hii na mikanganyiko mingine inanifanya niamini yale matukio ni halisi na ukweli ila dating rating ninaamini zaidi kwa mujibu wa matukio ya bibilia. Kama mtu mwingine akichukua story za bibilia akazibackdate ili zionekane ni za zamani kuliko matukio ya bibilia haiwezi kufanya bibilia kuwa ya Uongo.
 
Hujatuambia baabel kulikuwa na uchawi wa aina gani.

Ukinijibu nitakupa ziada ya faida juu ya suala hili.
Uchawi wote mkuu. Msingi wa mada kuwa hapo ndipo palipokuwa na asili ya uchawi wote kwa sababu baada ya gharika ya Nuhu watu wote walikusanyika hapo na wakatawanywa. Chochote cha kichawi kinachoonekana duniani mabara yotoe asili yake ni hapo.
Muunganiko wowote wa kidunia au NWO haiwezi kuwa na utoafuti ule wa pale bonde la shinari.
Ndio maana Mungu alipomuita Ibrahimu alimuagiza aachane na mambo yote ikiwemo system za Kihammurabi aliambiwa aachane nazo ili kupitia yeye Mungu ajiinulie taifa ambalo kupitia yeye Dunia nzima iliyotawanyika Ifahamishwe Juu ya Uwepo wa Mungu mwenye Fadhili, Upendo na Huruma, ambaye ataangamiza Uovu na wote watakao kataa kumfuata ili wanaomuamini Waokolewe awape zawadi ya Uzima wa Milele Kupitia Kumwamini Yesu.
Ila kabla ya Kufungwa kwa historia ya Ulimwengu. Kutakuwa na Muunganiko kama ule wa pale Babeli (Modern Babylon) na kumuasi Mungu. Ila safari hii Hawachafuliwi Lugha Bali ni Moto.



Karibu mkuu, nimeandika mengi ila unaweza kuendelea ulipolenga kuchangia mkubwa. Ila msingi wa Uchawi wote ni Worship of demons through Natural objects.
 
Nakubali kukubaliana kutokukubaliana kwenye maadhi ya mambo.
Paganism nimekupa maana uliyohitaji. Haizuhii kuwa na mitazamo kinzani na tofauti.

Kukataa mafuriko ya Nuhu inabidi ukatae kwa mtiiririko wa hoja pale juu kama ushahidi wa watu kuwa wamoja hapo bondeshi shinari. Pamoja na upinzani mwingi wa maandikp hayo ninayoyaaminni 100% bila shaka. Kuna ushahidi wa kijiolojia, Palentology, Archaeology unathibitisha uwepo wa Mafuriko kwa viwango vya bibilia. Hii haizuhii kupingwa kwa fact hizo.

3:Kuhusu Waebranania, na laana sijakuelewa weka vizuri maelezo.

6: Hapo unajichanganya na kupoteza consistency ya unayoyaamini. Maana ni wewe uliyewahi kuniambia JOSEPHUS na maandiko yake ni fablication sio uhalisia ukipinga uhalisa wa Uwepo wa Yesu, japo nilikupinga. Kuitumia source unayoikataa mahala pengine ili unullify biblical stories ni kujichanganya kunakostahili kutopewa umakini.

7:Sipingi mavumbuzi ya Egypt na mapyramid. ila nayo yanapewa changamoto nyingi na huo unaodhaniwa ukale wao kuliko Babilonia ya Kwenye Bibilia.
Kwanza kama moja niliyokupa huko nyuma. Pili hata dating zinazodhaniwa kuwa ni za zamani huko kwenye mmapyramid Kulingana na Mainstream historians, Lakni hata hizo pyramid kuna baadhi ya sources zilichakachuliwa na farao mmoja ambaye aliedit kila sanamu za kale na kuzipa majina yake.
Kuna watu weusi Wanalalamika wanasema baadhi ya makumbusho ya huko Sanamu zimechakachuliwa na kung'olewa mapua au kuyaharibu ili isionekane Wale jamaa walikuwa ni watu weusi. Hii na mikanganyiko mingine inanifanya niamini yale matukio ni halisi na ukweli ila dating rating ninaamini zaidi kwa mujibu wa matukio ya bibilia. Kama mtu mwingine akichukua story za bibilia akazibackdate ili zionekane ni za zamani kuliko matukio ya bibilia haiwezi kufanya bibilia kuwa ya Uongo.
kuwa real israelite/yehova chosen lazima kutimiliza laana zote zinazotajwa kwenye deuteronomy 28:15-68 na leviticus 26:14-46
hapa jiulize kama wale waliopewa israel/palestina mwaka 1947 wanafulfill hizo laana zote?

kuhusu josephus sijawahi kusema story yake ni fake,niliandika kuwa wakatoliki kupitia eusebius waliongeza maneno kwenye maandiko yake karne ya 5

kuhusu mafuriko tafuta siku tudebate hilo sababu najua na nakumbuka ulichemka last time nimekumwagia evidence humu

hizo sehemu nyingine kuhusu egypt na babylon hebu tukubaliane kukubaliana but siku nikipata mda nitagusia
 
kuwa real israelite/yehova chosen lazima kutimiliza laana zote zinazotajwa kwenye deuteronomy 28:15-68 na leviticus 26:14-46
hapa jiulize kama wale waliopewa israel/palestina mwaka 1947 wanafulfill hizo laana zote?

kuhusu josephus sijawahi kusema story yake ni fake,niliandika kuwa wakatoliki kupitia eusebius waliongeza maneno kwenye maandiko yake karne ya 5

kuhusu mafuriko tafuta siku tudebate hilo sababu najua na nakumbuka ulichemka last time nimekumwagia evidence humu

hizo sehemu nyingine kuhusu egypt na babylon hebu tukubaliane kukubaliana but siku nikipata mda nitagusia
huo msingi wa kuwa real Israelite lazima utimize hizo laana na baraka unautolea wapi mkuu. nimesoma mwanzo, kutoka walawi na vitabu vyote sijaona kama laana na baraka za kumb 28 na walawi ndio ID ya Muebrania au muisrael. naona kama unapoint unataka kuilink na kilichotokea 1947 lkn utetezi wake haunielei kiasi nashindwa kuunga au kupinga concept yako.

Yap. Kuhusu Noah Floods, naona wadau wanajadili sana na wameshajadili sana, siku nikipata Muda wa kupitia vyanzo vyangu nitasoma na kupitia documentary zangu kadhaa nichokoze mada.
Kuhusu Josephus unaamini nini na hauaminini nini. Maana jinsi ulivyokmcrash that day sikutegemea kama ungemrefer tena kama chanzo chako cha kupingia bibilia. Binafsi huwa siamini kila anachokisema au alichokisema Josephus kuhusu Matukio ya kwenye bibilia kuanzia Mambo ya Yesu na mengine. Ila naamini maandishi yake ni moja ya vyanzo vinavyothibitisha uwepo wa matukio hayo.
 
huo msingi wa kuwa real Israelite lazima utimize hizo laana na baraka unautolea wapi mkuu. nimesoma mwanzo, kutoka walawi na vitabu vyote sijaona kama laana na baraka za kumb 28 na walawi ndio ID ya Muebrania au muisrael. naona kama unapoint unataka kuilink na kilichotokea 1947 lkn utetezi wake haunielei kiasi nashindwa kuunga au kupinga concept yako.

Yap. Kuhusu Noah Floods, naona wadau wanajadili sana na wameshajadili sana, siku nikipata Muda wa kupitia vyanzo vyangu nitasoma na kupitia documentary zangu kadhaa nichokoze mada.
Kuhusu Josephus unaamini nini na hauaminini nini. Maana jinsi ulivyokmcrash that day sikutegemea kama ungemrefer tena kama chanzo chako cha kupingia bibilia. Binafsi huwa siamini kila anachokisema au alichokisema Josephus kuhusu Matukio ya kwenye bibilia kuanzia Mambo ya Yesu na mengine. Ila naamini maandishi yake ni moja ya vyanzo vinavyothibitisha uwepo wa matukio hayo.

point ni kwamba hajulikani nani ni myahudi,kuna kitu kinaitwa fulfillment of the prophecy/curse inayowaidentify hao wanaojiita the chosen ones,verses nilizokupa ni majanga watakayokutana nayo kama laana waliyopewa na mungu wao,yote lazima yatimie..swali nani kayatimiza sababu ethnic groups kibao zinaclaim kuwa israelites

josephus sijawahi kumponda as of my memory
 
Mimi ni mkatoliki.Hakuna mahala popote katika kanisa katoliki panaposema kuna Mungu Mama,eti virgin Mary.Kuna Mungu mmoja tu,ambae ndani yake kuna utatu mtkatifu.Yaani Baba,Mwana na Roho mtakatifu.Sio kila kitu mna google tu,kipuuzi na kuhusianisha matukio pasipo na facts za kutosha.Jikiteni kwenye mada.Maana kuchamba kwingi,mtajikuta mnajipaka kinyesi bureee.Viva Kanisa katoliki.
 
Mtoa mada nimekuelewa sana....ila naumia sana kuona hadi jukwaa hili kuna watu wanawahusudu wazungu kwa kuwapa superiority over us.. ...kila kitachoongelewa lazma ukute kuna jitu linamuusisha mzungu da......tubadilike mind zetu bas coz kuna shaid nyingi znazoonyesha we r not inferior over other races....sisi pia tumeshirik kwa asilimia kubwa kuijenga dunia ya sasa
 
Ibada za wafu
FB_IMG_1541742879258.jpeg
 
Ushuhuda wa Tukio la ushirikina mjin Kigoma.

Habar zenu Wadau
Juzi shoga yangu alifukuzwa kazi hapa tukaelekezwa na rafiki yangu kwa mzee Kingwele anaishi Mpakan na Congo.

Tulipatiwa huduma pale siku nne tuu.
Siku ya pili na ya tatu tulivyokwenda nikashuhudia folen kubwa sana ya watu wenye shida mbalimbali ila idadi kubwa ni wanawake.

Tukiwa pale kuna mteja mmoja ndio alikuwa anahudumiwa na Babu.

Ndipo kwa mara ya kwanza kuona Babu akivuta msukule kupitia Mitambo yake.

Ndugu wa yule mgonjwa walilia sana kwa furaha.

Ikawa babu anahangaika na Madawa ili amrejeshe vizur akili yake aweze kuongea.

Wakat tupo pale baadae nikaona tena Wagonjwa wengine wakitoa shukran zao kwa kumpa Babu zawad.

Nilijaribu kudadisi kwa Wajukuu zake nikaambiwa.

A) Mzee Mangi alikuwa na kesi ya Kuua lakin file la kesi yake lilipotea hivyo kesi ikafa na yule Afande aliyeshika file alipata ajali na amelazwa hospital

B) Mama Omar alifanikiwa kurudiana na Mume wake aliyemtelekeza takriban miaka mitano.
Mama huyu alihudumiwa na Babu kwa siku saba tu

C) Ustadh Hussen nae alifanikiwa kupata utajir kwa njia nyepes tuu siyo kuua binadam bali kuchinja Mbuzi mmoja kwa Mwaka kila Tareh ikifika

D) Nikaona ...... Akimkabidhi babu Solar baada ya kufanikiwa kuua ndugu.... Aliyekuwa akimsumbua Sana.

E) Mama Zuwena alitoa sh... Ya shukran kwa Babu baada ya Mgahawa wake kujaza wateja sana na chakula hakilali.
Hivyo dawa ya Mvuto wa biashara iliyochanganywa na .... Ilifanya kazi vizur.

Note: Shoga yangu nae alirudishwa kazin baada ya wiki moja na hivisasa tupo Dar tumechukua likizo angalau tubadilishe Mazingira..

Kiufupi huyu Babu anawajukuu zake ambao ndio huwa anawatuma kuchimba dawa na anachanganya na VISIMBA na mambo mengine anayoyajua yeye....

Mmh! Najua kuna watakao toa Povu ila uhalisia ni kwamba Ushirikina/Uchawi upo na watu wanapata huduma mbali mbali wanafanikiwa ila watakaosema Uchawi haupo basi hao hawajapata matatizo.

Namba za huyo Babu.
(+255678134718) kwa ufafanuz zaid..
uchawi upo.
Musa alipambana na kikosi cha wachawi cha wamisri wakiongozwa na wababe wawili Yane na Yambre.
Zamani wachawi walikuwa anatambulika hadharani na ni cheo ikulu kabisa unalipwa mafwedha.

Uchawi upo, na ukiufata utakunufaisha ila tambua ni temporary.
Lengo la mkuu wa wachawi shetani baada ya yote hayo ni kukutesa, kukujeruhi na atakuua kbisa.
Kuna mama anatuhuma za kupata mali kichawi, sasa hivi anahangaika kama mwehu, majini yanataka dau kubwa zaidi, au arudishe mali au mtoto wake wa kiume ambaye hakushirikishwa hizo mipango atolewe kafara. hadi sasa dogo ni graduate lkn yanamsumbua hadi mama yake aeleweke.

dawa ya Yote huwa ni Kumpa Yesu maisha. Sisi watu wa imani tumetest tunadhibitisha inalipa hata kama unapita katikati ya bonde la uvuli wa mauti.
 
Nauliza jamani hivi na ile kumbukumbu ya tarehe 14/10 ni Ibada ya wafu? Au ibada za wafu zinazozungumziwa zikoje?
 
uchawi upo.
Musa alipambana na kikosi cha wachawi cha wamisri wakiongozwa na wababe wawili Yane na Yambre.
Zamani wachawi walikuwa anatambulika hadharani na ni cheo ikulu kabisa unalipwa mafwedha.

Uchawi upo, na ukiufata utakunufaisha ila tambua ni temporary.
Lengo la mkuu wa wachawi shetani baada ya yote hayo ni kukutesa, kukujeruhi na atakuua kbisa.
Kuna mama anatuhuma za kupata mali kichawi, sasa hivi anahangaika kama mwehu, majini yanataka dau kubwa zaidi, au arudishe mali au mtoto wake wa kiume ambaye hakushirikishwa hizo mipango atolewe kafara. hadi sasa dogo ni graduate lkn yanamsumbua hadi mama yake aeleweke.

dawa ya Yote huwa ni Kumpa Yesu maisha. Sisi watu wa imani tumetest tunadhibitisha inalipa hata kama unapita katikati ya bonde la uvuli wa mauti.
Hata sasa tuna waganga.
 
Kuna mambo manne ambayo Yanapatikana duniani kote kwa asilimia kubwa kabla hata hatujaingiliana (globarization)

1:Watu kuabudu wafu katika desturi zao.

Desturi hii utaikuta utaikuta australia, japan, afrika yote, India,
America Yote, Ulaya, na kila mahala. Hii inaonyesha ufanano huu ambao hauwezi kutokea kwa kuibuka ''Evolve" ni ushahid tosha Kuna siku moja mahali flani watu wote walikuwa wanaishi sehemu moja.
Ibada hizi nyingi, zinapatikana siku hizi hadi katika baadhi ya imani za kikristo,baadhi ya waislam, wabudha.


2; Sikukuu za kumbukumbu za wafu.

Bibilia inasema Safina Ilituama juu ya mlima hararati tarehe ya kumi na saba ya mwezi wa kwanza.
Kwa Kalenda mpya ya kiebrania iliyoanza kuanzia walipotoka misri tarehe hiyo inaanguka mwanzoni mwa mwezi wa tisa.

Tarehe hii au karibu na hii inasherekewa
Peru,kwa wahindu,Mexico, Wakazi wa kaskazini wa visiwa vya pacific, wa australia wa asili, Waajemi na wamisri wa zamani waliisherekea, Mataifa ya kaskazini mwa ulaya, Warumi wa zamani na kwingineko. Baadhi ya wakristo wanasherehe zinazogongana na tarehe hiyohiyo katika kuadhimisha vifo vya watu wao wakidini.

3: uwepo kwa Stori za watu kuokolewa kupitia meli/mtumbwi na aina ya stori zinazoendana na ile ya Nuhu.
uwepo wa stori kuhusu kuwahi kutokea mafuriko na watu kuokolewa kwa njia ya kitu kama mtumbwi upo katika zaidi ya tamaduni 150 duniani kote.
Stori hizi zimekuwepo hata kabla mambo ya imani za kikristo na kiislam kuwepo. Hii ni ushahidi kwamba kuna siku moja watu walikuwa pamoja, wakatawanyika na hiki tunachokiona ni mwangwi wa kile ambacho waliwahi kukiamini wakati wako pamoja. Na mababu wa mababu wao ni wale waliotawanywa pale babeli kwenye mnara.

4: KUABUDU JUA
Ibada za Kuabudu jua,miezi, miandamo ya miezi, nyote na viumbe pia ilianzia huko huko babeli.
Iliaminika wakuu wao wakina Nimrod walikufa walipaa kwenda mwezini, juani na huko angani.
Ibada hii inasura ya kidunia na utaikuta kila kona ya Dunia mfano.
*Misri ya Zamani - Ra, Osiris etc
*Kaanani - Baal, Shamas, Adoni etc
*Syria - Tammuz, Elagabalas
*Umedi na uajemi - Ormuz na Mithra
Wahindi - Mitra
Wagiriki - Apollo, Adonis na Hercules

HISTORIA YA UCHAWI/IBADA YA WAFU/ NA TAMADUNI ZOTE ULIMWENGUNI ZINATURUDISHA PALEPALE BABELI.

Kwa Mujibu wa Vyanzo mbalimbali vya kihistoria,
Vinakubaliana na inachokisema Bibilia kuwa Ustaarabu wa mwanadamu ulianzia pale katika Bonde la SHINARI.

1 Nchi yote ilikuwa na lugha moja na usemi mmoja.

" Ikawa watu waliposafiri pande za mashariki waliona nchi tambarare katika nchi ya Shinari; wakakaa huko...9 Kwa sababu hiyo jina lake likaitwa Babeli; maana hapo ndipo Bwana alipoichafua lugha ya dunia yote; na kutoka huko Bwana akawatawanya waende usoni pa nchi yote. ''
Mwanzo 11:2,3,9

Wababeli hawa waliambatana na Ibada ya wafu, ndugu zao waliokufa katika Ile Gharika. Lakini Pia waliianzisha sherehe hiyo ya wafu wao siku ambapo Safina Ilitua juu ya mlima hararati.
Hivyo baada ya Kutawanywa sio jambo la ajabu kukuta desturi hizo zikiendelea kila kona. Hapo ndio chanzo cha uchawi wote na tamaduni zote zakijadi duniani hadi huu Kwetu Tanzania.

Ustaarabu wa Dunia Ulianzia babeli kwa wakaldayo, Ukaenda Misri, wagiriki wakautoa misri na kuuingiza Ulaya. Warumi wakauchukua kutoka kwa Wagiriki. Na ustaarabu huo mwingii ukatapakaa tena dunia hii ya kisasa kutokea ulaya. Lakin kabla miaka mingi iliyopita Siku ambayo wanadamu walitawanywa na kuchafuliwa Lugha dunia nzima baada ya gharika walizisambaza katika asili na tamaduni zote duniani.





Miungu Ya Babeli ambayo ilikuwa na Utatu wao Mtakatifu yaani BABA,MAMA, na Mwana (Nimrod, semiramis na Tammuz) Imetapakaa dunia nzima kwa majina tofauti tofauti. Na miungu hii yote iliwahi kuwa watu halisi siku za nyuma kabla hawajafanywa miungu.
Mfano, Mwanahistoria Prutaech anasema makuhani wa kimisri waliwafundisha kuwa hao miungu yaani Osiris, Horus na Volcan walikuwa watu halisi huko nyuma.
Alexander The great aliwahi kumuandikia barua mama yake mzazi akimwambia miungu yao Saturn, Jupiter, Juno, wote walikuwa watu halisi kama alivyoambiwa na kuhani mkuu wa miungu ya kimisri Leo alipokuwa akifundishwa siri za miungu. Miungu hii inauwezo wa Kutokea watu na kuwapa maelekezo ya Kiungu.


Mwisho;
Hakuna jipya chini ya jua. Miungu na taratibu nyingi za kipagani dunia ya sasa bila kujali ni ya kisasa kiasi au imeingizwa kwenye dini kwa kificho kiasi gani chanzo chake ni Babeli, Zikaingia Misri, na Kuingizwa Ulaya na Wagiriki kisha kusambaa dunia yote ya kisasa. Ila dunia ya Kale ilisambaa kupitia Machafuko ya Lugha pale mnara.


Hii ndiyo sababu Kitabu cha UFunuo kwa mafumbo kinaifananisha hali ya dunia ya siku za mwisho na Babeli ile ya zamani na upagani wake.
Anawaita wanadamu Wote watoke katika mifumo ya kiibada inayoelekezwa kwa wafu, Jua, miezi, Ushetani na kila aina ya mfumo wa maisha usiompendeza.

Ufunuo 18:1Baada ya hayo naliona malaika mwingine, akishuka kutoka mbinguni, mwenye mamlaka kuu; na nchi ikaangazwa kwa utukufu wake.

2 Akalia kwa sauti kuu, akisema, Umeanguka, umeanguka Babeli ule mkuu; umekuwa maskani ya mashetani, na ngome ya kila roho mchafu, na ngome ya kila ndege mchafu mwenye kuchukiza;

3 kwa kuwa mataifa yote wamekunywa mvinyo ya ghadhabu ya uasherati wake, na wafalme wa nchi wamezini naye, na wafanya biashara wa nchi wamepata mali kwa nguvu za kiburi chake.

4 Kisha nikasikia sauti nyingine kutoka mbinguni, ikisema, Tokeni kwake, enyi watu wangu, msishiriki dhambi zake, wala msipokee mapigo yake.
Ongezea na wanaaoabudu siku haswa sabato. Kwao siku ni muhimu kuliko kuacha dhambi
 
Nijuavyo mimi tunaishi kizazi cha nyoka.... Kizazi kile cha Sodoma na Gomora
Kaka mkubwa with due respect I beg to differ with you.

Nijuavyo Mimi tupo kwenye kizazi cha Mungu.

Mungu anasema yeye ni Alpha na Omega Yani Mwanzo na mwisho na sasa tupo nyakati za " mwisho" na " mwisho " ndio Mungu .

Maana yake tupo kizazi cha Mungu
 
uchawi upo.
Musa alipambana na kikosi cha wachawi cha wamisri wakiongozwa na wababe wawili Yane na Yambre.
Zamani wachawi walikuwa anatambulika hadharani na ni cheo ikulu kabisa unalipwa mafwedha.

Uchawi upo, na ukiufata utakunufaisha ila tambua ni temporary.
Lengo la mkuu wa wachawi shetani baada ya yote hayo ni kukutesa, kukujeruhi na atakuua kbisa.
Kuna mama anatuhuma za kupata mali kichawi, sasa hivi anahangaika kama mwehu, majini yanataka dau kubwa zaidi, au arudishe mali au mtoto wake wa kiume ambaye hakushirikishwa hizo mipango atolewe kafara. hadi sasa dogo ni graduate lkn yanamsumbua hadi mama yake aeleweke.

dawa ya Yote huwa ni Kumpa Yesu maisha. Sisi watu wa imani tumetest tunadhibitisha inalipa hata kama unapita katikati ya bonde la uvuli wa mauti.
Huyo Yesu tunampata wapi?
Ikiwa Mapadre Ela za Sadaka, Wahisan/Wafadhili zinaliwa.
Fedha za kulea Mayatima zinaliwa, waumin wa makanisan nao wanakula Pombe, Zinaaa, wanapiga dilu za ela.
Na hivi sasa kumeibuka wanaojiita Manabii wa uwongk ambak wanapiga Ela halafu wanatembea.
Mmh! Mambo ya Iman Magum sana aisee...
 
UKICHUNGUZA KWA MAKINI UTAGUNDUA MAMBO MENGI HAPA DUNIANI NI BATILI.
SIKU ZA KUMUABUDU MUNGU, NYAKATI ZA SIKU ZIMEBADILISHWA KITU KINACHOFANANA MOJA KWA MOJA NA KILE KILICHOTABIRIWA KWENYE KITABU CHA DANIELI 7:25.
 
Back
Top Bottom