Asilimia 100 ya wrong number ninazopokea ni kutoka Mkoa wa Mara, kwanini?

Asilimia 100 ya wrong number ninazopokea ni kutoka Mkoa wa Mara, kwanini?

sanalii

JF-Expert Member
Joined
Oct 1, 2018
Posts
1,639
Reaction score
5,767
Wiki haipiti sijapokea simu kwenye moja ya namba yangu, ukiuliza mtu anasema yuko mara, kingine wanakua ving'ang'anizi yani ukimwambia mtu humjui analazimisha mfahamiane, na unakuta mtu amepiga hata mara tatu, unadhani ni mtu anaekufahamu labda anadharura. Why Mara?
 
Akiongea lafuzi ile si utaona ni mshamba(dandara)ili akipige kazi
 
Hiyo line unayomiliki kwa sasa itakua ilikua ya ndugu yao
 
Huyu kanipigia mara tatu, nikampigia nikamwambia amekosea, then anatuma hii text
Screenshot_20221001-145447_Textra.jpg
 
Mara levo ya wananchi kielimu ni darasa la 7
 
Mjomba alishawahi kujiokotea mkurya akamuuoa kabisa..baada ya kupita mwaka binti akasema anaenda kwao kusalimia na ndio hajarudi Tena....!!
 
Wiki haipiti sijapokea simu kwenye moja ya namba yangu, ukiuliza mtu anasema yuko mara, kingine wanakua ving'ang'anizi yani ukimwambia mtu humjui analazimisha mfahamiane, na unakuta mtu amepiga hata mara tatu, unadhani ni mtu anaekufahamu labda anadharura. Why Mara?
Bila shaka wewe ni msukuma
 
Back
Top Bottom