Asilimia 50% ya Watanzania ni Ombaomba

Asilimia 50% ya Watanzania ni Ombaomba

Boss la DP World

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2021
Posts
2,318
Reaction score
8,464
Kwamujibu wa taarifa za sensa ya mwaka 2022, asilimia 51 ya Watanzania ni Wanawake na 49% ni wanaume.

Iko hivi utafiti wangu niliofanya Kwa kutumia sampuli 100, ulibaini kuwa kati ya wanawake 100 nilio watongoza, wanawake 98 waliniomba pesa siku 10 za kwanza.

Kwahiyo kwa wastani wanawake 98 kati ya 100 huwapiga mzinga watongozaji ndani ya muda mfupi.

Hiki si kitu cha kawaida, nimeishi nchi 1 ya Amerika kaskazini na nchi 2 za Nordic sijawahi ona tabia hii.

Sasa tuseme kati ya hao wanawake 51 waliopo Tanzania, 47% ni member wa kikosi cha mizinga halafu 4% hawana tabia hiyo, sasa ukichukua hiyo 47% ukijumlisha na asilimia 3% ya Ombaomba wengine hapo si tunapata 50%?

Nchi bado ngumu sana hii.
 
Kwa hiyo wanaume ombaomba ni wachache?
Mbona humu nyuzi za waombaji wengi ni wanaume?
Kuna tofauti ya ombaomba na mhongaji
Hizo takwimu ni zako ila kwa mimi nafikiri mwanamke hawezi kuja tu kwenye PM na kukuomba msaada

Kama msingewatongoza na wao wangeacha kuwaomba maana unatongoza kula na wewe lazima uliwe [emoji1]
Sasa mie nisietongoza ntaombwa lini?
 
IMG_3809.jpg
 
Kwamujibu wa taarifa za sensa ya mwaka 2022, asilimia 51 ya Watanzania ni Wanawake na 49% ni wanaume.

Iko hivi utafiti wangu niliofanya Kwa kutumia sampuli 100, ulibaini kuwa kati ya wanawake 100 nilio watongoza, wanawake 98 waliniomba pesa siku 10 za kwanza.

Kwahiyo kwa wastani wanawake 98 kati ya 100 huwapiga mzinga watongozaji ndani ya muda mfupi.

Hiki si kitu cha kawaida, nimeishi nchi 1 ya Amerika kaskazini na nchi 2 za Nordic sijawahi ona tabia hii.

Sasa tuseme kati ya hao wanawake 51 waliopo Tanzania, 47% ni member wa kikosi cha mizinga halafu 4% hawana tabia hiyo, sasa ukichukua hiyo 47% ukijumlisha na asilimia 3% ya Ombaomba wengine hapo si tunapata 50%?

Nchi bado ngumu sana hii.
Kwa zaidi ya %100 utafiti wako ni sahihi kabisa.
 
Write your reply... There's some sort of Truth in this article
 
Kwa hiyo wanaume ombaomba ni wachache?
Mbona humu nyuzi za waombaji wengi ni wanaume?
Kuna tofauti ya ombaomba na mhongaji
Hizo takwimu ni zako ila kwa mimi nafikiri mwanamke hawezi kuja tu kwenye PM na kukuomba msaada

Kama msingewatongoza na wao wangeacha kuwaomba maana unatongoza kula na wewe lazima uliwe [emoji1]
Sasa mie nisietongoza ntaombwa lini?

Waambie hao
 
Back
Top Bottom