Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao walioipa shule yao jina la Wilbroad Slaa sijui walikuwa wanafikiria nini?!!!
Hao walioipa shule yao jina la Wilbroad Slaa sijui walikuwa wanafikiria nini?!!!
Hao walioipa shule yao jina la Wilbroad Slaa sijui walikuwa wanafikiria nini?!!!
Hao walioipa shule yao jina la Wilbroad Slaa sijui walikuwa wanafikiria nini?!!!
Jitaidi ueunalala wakat mwingine akili inakaa sawa... ukisikia Dr Slaa rais wako 2015 yan mkun_u wako unawasha kila wakati.
nimemsikia hando tayari amemjibu kwenye jicho la ng'ombe kwa ukali sana
Hii tabia ya Shule kuziita majina ya Watu, sasa faida tunaanza kuzipata!!!
Shule enzi za Mwalimu zilikuwa zinapewa majina ya maeneo mf. Songea Boys Sec. School, Msalato Girls.... Sasa elimu imringiliwa na wanasiasa wenye njaaa kali!! Wanaojifanya wanajua huku wamelewa na sifa za kijinga kichwan. Hongera WALIMU Tanzania...
Wanamwonea mama wa watu kwa vile mkristo, mitoto yenu haisomi kutwa ngono na miziki.