Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
- Thread starter
- #61
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mikoani smart phone chache.kuliko majembe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mikoani smart phone chache.kuliko majembe.
Exactly, sio analeta story za vijiweni hapa......!methodology please
Hamtatupata tulipo ng'oo!Tuanze na Mimi , Mimi sio wa dar nipo GEITA kama na wewe upo mkoani jitokeze ili tuone kweli kama wapo wengi kuliko sisi, tafadhali usione aibu hata kama upo koromije we sema tu
kwa kwel mikoan member ni wachache sana naunga mkono hoja pengine member wa nje ya nchi wana weza kuwa wengi kuliko wa mikoani.....
mabashite yamejaa kila konaWewe umetumwa na TISS au? kwanini unataka kujuwa wanajf wanakaa wapi, wewe umetumwa hiyo hoja ni ya kinafiki kwa sababu kujuwa tunakaa wapi haisaidii, sana si kwa maana nzuri, you want members to provoke whereabout their stay so you start zerodown to locate the living area, hatutaki hatutaki, kamwambie Magu hutupati ng'oooo
Hiyo avatar tuuu mmmhhTuanze na Mimi , Mimi sio wa dar nipo GEITA kama na wewe upo mkoani jitokeze ili tuone kweli kama wapo wengi kuliko sisi, tafadhali usione aibu hata kama upo koromije we sema tu
imefanya nini tena jovitaHiyo avatar tuuu mmmhh
[emoji1] [emoji1] [emoji1]Tuanze na Mimi , Mimi sio wa dar nipo GEITA kama na wewe upo mkoani jitokeze ili tuone kweli kama wapo wengi kuliko sisi, tafadhali usione aibu hata kama upo koromije we sema tu
Babuu hayo majina ya mwisho vepe teh teh teh teh[emoji125] [emoji125] jina kaaaaaa.......sijui nimaliziee ila ngoja niache tu utanichapa0787128158 jina daby KIBORI NANGAAYA. [emoji16][emoji16]
imefanya nini tena jovita
Ulitaka nijiite cha usiku , unaangalia jina unaangalia madini nayotema , shwaini mkubwa weweKwa hili jina lako tu huwezi kuwa wa dar