Asilimia 88 ya vijana (umri 30 - 35) hutegemea wazazi na mashemeji

Asilimia 88 ya vijana (umri 30 - 35) hutegemea wazazi na mashemeji

Vizuri kushikiliziana, mama mtu akisafiri anamuacha mdogo wake anashika nafasi, kuliko kumwacha ahangaike na ma barmade mwishowe mleteane ukimwi ndani ya nyumba.
 
Tatizo mnawachekea hao ...

Waambiwe ukweli akili zitawakaa sawa.

Kuna familia nyingi sana zina watu wa namna hiyo...tena wengine wanazaa kabisa mnawalea wao na watoto wao
ukwer upi kuna familia naijua kijana ana miaka 34 ana watoto wa 3 ila toka dingi yao avute miaka ya 2005 hana jipya anaishi na maza yake mpaka leo kwel kazi sana kufanikiwa maana umri huo anaona aibu ata kwenda kufanya kazi ya kumuingizia bk 2000
 
Katika kutathimini namna ambavyo kama taifa linapaswa kuwekeza kwenye elimu ya biashara (ujasiriamali) na ubunifu badala ya vijana kutegemea ajira za serikali, uchunguzi uliofanywa katika miji ya Dar es Salaam, Morogoro, Tanga, Mwanza & Kagera umegundua 88% ya vijana kati ya umri wa miaka 30 na 35 bado hutegemea kwa matumizi yao yote toka kwa wazazi ama Mashemeji zao.

Hii si dalili nzuri tunapoelekea kwenye nchi ya viwanda na kutimiza dira ya Taifa ya maendeleo ya 2025 (Tanzania Vision 2025). Vijana amkeni fanyeni kazi, biashara, kilimo, acheni kubweteka na ku-bet kutwa nzima, kushangilia mipira ya ulaya na siasa za Marekani huku hamna namna ya kuingiza kipato binafsi zaid ya kutegemea mashemeji na wazazi kuwapa pesa ya matumizi.
Sio mbaya maana nao watakuja kuwafuga shemeji zao na hivyo ndivyo walivyoandaliwa.

Labda nikufungue akili kidogo

Kila kita huenda kwa mipango na wala sio kukutupuka.

Unamwambiaje kijana aloyesomea uhasibu kuwa leo hii atafute kazi nyingine ya kufanya!!!
Yaani mnataka watu wafanye kazi bila taaluma. Huko ni kubahatisha. Sisi kama taifa inabidi tuwe na mkakati. Sio kufuata mkumbo kama mlivyo msio weza kujitegemea kifikra
 
taifa baada ya miaka 10 mpaka 20 ijayo litakuwa na VIJANA WAVAA DIAPERS (pampaz)
 
Back
Top Bottom