Asilimia 88 ya vijana (umri 30 - 35) hutegemea wazazi na mashemeji

Asilimia 88 ya vijana (umri 30 - 35) hutegemea wazazi na mashemeji

Sio mbaya maana nao watakuja kuwafuga shemeji zao na hivyo ndivyo walivyoandaliwa.

Labda nikufungue akili kidogo

Kila kita huenda kwa mipango na wala sio kukutupuka.

Unamwambiaje kijana aloyesomea uhasibu kuwa leo hii atafute kazi nyingine ya kufanya!!!
Yaani mnataka watu wafanye kazi bila taaluma. Huko ni kubahatisha. Sisi kama taifa inabidi tuwe na mkakati. Sio kufuata mkumbo kama mlivyo msio weza kujitegemea kifikra
sometime our profesions dnt pay bills, wana vpaji gani viwatoe
 
1479041077768.jpg
1479041093307.jpg
 
Vijana wanapenda mteremko. Huko mbeleni kuna hatari ya dada zetu kukosa wanaume wa kuwaoa maana kutakua hakuna wanaume wa umri wao.
 
Sasa mwendo wa rivasi tu sijui mwisho tutafika wapi

kwanza tumerudishwa nyuma miaka 50 by Jenerali ulimwengu na sasa tunarudishwa mpaka mwaka 1928 by Tundu Lisu.
 
Swala siyo kuishi au kutegemea wazazi au mashemeji, jambo la kujiuliza ni kuhusu serikali yetu pamoja na nchi yetu, nini serikali imefanya kwa lengo la kufungua fursa vijana wajiajiri, kama serikali yaendelea kudidimiza sekta binafsi huyo unayetaka ajiajiri mfano kwenye kilimo yupi akanunua mazao yake, ni msomi kajiajiri kufundisha wanafunzi wanatoka wapi kama uchumi wa nchi haueleweki, kijana akaanzisha biashara yake tayari serikali kuhesabu kodi bila kutafakari huyo kijana anaingiza shilingi ngapi. Tuwe makini tunapo post habari zetu make mnarudisha watu nyuma kwenye mawazo ya kukonda, hususani vijana
 
Back
Top Bottom