NZURI PESA
JF-Expert Member
- Mar 25, 2011
- 5,958
- 2,954
ila next time kwenye case study ongezea mkoa wa DODOMA (WAGOGO & WARANGI) wale mashemeji ni furushi la misumari. SAMAHANI LAKINI.
Muache tu ajitoe akili na Tanzania yake ya viwandaNchi ya viwanda vya gongo
Kaka umepotea mkuu... Huku watu wanalima wanafuga hata kama kuna ukamee... Watu wanakomaaaa...ila next time kwenye case study ongezea mkoa wa DODOMA (WAGOGO & WARANGI) wale mashemeji ni furushi la misumari. SAMAHANI LAKINI.