elimikamtanzania
Senior Member
- Feb 7, 2017
- 141
- 46
Hahahaha wanasema maisha yana anza 40Mimi kyna shemeji yangu kazaliwa 1978 lkn mpaka leo anakaa kwa shemeji yake aliyemuoa dada yake, kazi yake anashinda kuosha magari ya shemeji kutwa nzima wakimtafutia kazi anafanya mwezi tu anaacha