Asilimia 88 ya vijana (umri 30 - 35) hutegemea wazazi na mashemeji

Asilimia 88 ya vijana (umri 30 - 35) hutegemea wazazi na mashemeji

Vijana tafuteni shughuli halali za kuingiza kipato kuliko kuwategemea shemeji zenu. Siku ukiombwa TOPE usilalamike maana hakuna msaada wa bure usawa huu
 
hivi kwanini asilimia kubwa mashemeji (ndugu wa mke).. ndio wanajazanaga sana nyumbani tofauti na ndugu wa mume..???..tena wakiwa na uhakika wa pa kulala...??..lakini poa maisha yanakwenda na rizki zinapatikana......ila daah...
 
Sitooa mwanamke nisiye mfahamu kwao! Na hili walijue kabisa kwamba ukiona Nina mahusiano na msichana na kwao sipafahamu, sina nia ya kupafahamu na wala sijui historia yake! Ajue kabisa kuwa hapo namtembezea moto lakini kwenye mahesabu hayupo.
Mjini pasua kichwa. Tembelea instagram ndo utajua mabinti ni shiida. Full usaniii
 

Attachments

  • downloadfile-8.jpg
    downloadfile-8.jpg
    114.2 KB · Views: 84
Tatzo ni chanel .wape chanel wapige kaz
Wazee wanazeeka na kustaafu wanachaguliwa ktk system na kupewa uongozi. Hao madokta na maprofesa waliopewa uongozi ni kuanzia 50yrs and above. Unategemea atakuja kukumbuka kuna vijana wanatakiwa kuingia ktk system huuu ndio mfumo wa ubepari ulivyo mpaka mabadiriko ni lazima kuna MTU afe Kwanzaa. Sisi vijana tumekuwa chambo na ndio tujifunze ukizaaa, unaleta watoto wenye malengo apa duniani na wachache
 
Back
Top Bottom